Acha waje na ujinga wao.adhabu watakayopata awa wabunge wa ccm hawataisahau.nchi ikiingia kwenye machafuko watu watatarget vitu vyao kwa kuwa ndio matajiri na ndugu zao. Nalisema ili nikiona yaliyoko mbele yetu.machafuko yakiwa kama ilivyokuwa kenya,hapa itakuwa mbaya zaid kwani watz watachanganya na ujinga iwe genocide mbaya.kenya walikuwa weled lakin waliuana tu sembuse sisi wenye elimu kiduchu?