Nafahamu kuwa kutoa taarifa ipo kwenye kanuni za Bunge letu lakini katika Bunge hili la 11 linalo endelea naona kamtindo ka kutoa taarifa wakati mzungumzaji akichangia hoja kameshamiri kiasi kwamba kamekuwa kama kero au kamchezo ka shule!
Imekuwa kero na usumbufu.
Swali. Je, Wabunge wetu wanao toa taarifa kwa mzungumzaji/mchangiaji inamaana au wanatumia vibaya kanuni, tunamuomba Spika na wasaidizi wake watoe muongozo kwa wabunge waache kuchezea kanuni.
Imekuwa kero na usumbufu.
Swali. Je, Wabunge wetu wanao toa taarifa kwa mzungumzaji/mchangiaji inamaana au wanatumia vibaya kanuni, tunamuomba Spika na wasaidizi wake watoe muongozo kwa wabunge waache kuchezea kanuni.