Wabunge matajiri wafanyabiashara, wanasimamia Maslahi ya akina nani bungeni?

Wananchi ni waelewa,

Ingawa viwango vya uelewa vinatofautiana,

Ndio sababu sisi tuliobahatika kupata uelewa kidogo, tunatumia uelewa huo kidogo Kutoa ELIMU ya uraia ambayo ni HAKI ya wananchi ambayo Watawala wasingependa wananchi waipate.
Nakubaliana na wewe.

Lakini njia moja na pekee kabisa kuonyesha kuwa wapiga kura ni waelewa ni kufanya mabadiliko katika masanduku ya kura jambo ambalo litaweza hata kuwastua wanasiasa kwamba hawakuchaguliwa wao katika majimbo yao bali vyama vingine.

Kwa mfano jimbo la Kawe wakisema hatumtaki tena Mbunge fulani kwa sababu hakufanya hivi na hivi, ni lazima wapiga kura wafanye hivyo kwenye sanduku la kura.

Mwaka wa 2025 watakiwa kuwa ni mwaka wa mabadiliko katika kupiga kura ambayo hayakuwahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.
 
Nakubaliana na wewe.

Lakini njia moja na pekee kabisa kuonyesha kuwa wapiga kura ni waelewa ni kufanya mabadiliko katika masanduku ya kura jambo ambalo litaweza hata kuwastua wanasiasa kwamba hawakuchaguliwa wao katika majimbo yao bali vyama vingine.

Kwa mfano jimbo la Kawe wakisema hatumtaki tena Mbunge fulani kwa sababu hakufanya hivi na hivi, ni lazima wapiga kura wafanye hivyo kwenye sanduku la kura.

Mwaka wa 2025 watakiwa kuwa ni mwaka wa mabadiliko katika kupiga kura ambayo hayakuwahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.
Unaeleza vyema kabisa,

Tupambane Hadi tone la mwisho kuhakikisha kuwa tunapata tume HURU na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wowote Ili wananchi wajitokeze kupiga kura.

Wengi wamelipuuza Sanduku la kura sababu ya wizi wa kura.

Tuondoke ubatili huo Ili tuchague Kwa HAKI Ili nchi ibarikiwe na malalamiko yakome.
 
Mi naomba ipitishwe sheria mpya kuwa mtu akifikia atua fulani ya utajiri hasiruhusiwe kugombea uongozi wowote serikalini ili wabaki kwenye miradi yao na watakuwa na akili chanya ya kimaendeleo na kwa haki na usalama ✅
 
Kuwa mbungeni ni kitetea biashara zao ki msingi na kuendeleza kupandisha Bei za mafuta, Bei ya sukari, Bei ya nauli.
Lini umewahi kusikia matajiri wapi matajiri wa mabasi makubwa bungeni wanasemea kushusha Bei ya nauli
Lini umesikia Bei ya ruzuku ya mbolea inashuka 💫
 
Kuwa mbungeni ni kitetea biashara zao ki msingi na kuendeleza kupandisha Bei za mafuta, Bei ya sukari, Bei ya nauli.
Lini umewahi kusikia matajiri wapi matajiri wa mabasi makubwa bungeni wanasemea kushusha Bei ya nauli
Lini umesikia Bei ya ruzuku ya mbolea inashuka 💫
Kama hawaponkutetea maslah ya wapigakura,

Tuwakatae 2025,

Tuchague viongozi watakaowajibika Kwa wananchi na kutetea Maslahi ya wapigakura.
 
Back
Top Bottom