Tuwaache wakutane na wajadili mstakabali wa ndoa yao. Wana mambo mengi ya kujadili ila jambo moja Watanganyika lazima tulijue kuwa Wazanzibari wana nchi yao lakini wanakuja huku kwenye bunge la jamhuri kwa maslahi ya kututawala Watanganyika. Uwakilishi wao katika bunge la jamhuri hautusaidii chochote kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bali kutuletea usanii tu. Iweje watu wajitungie katiba yao na kutamka kuwa Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake na rais wake kama kiongozi wa nchi bado tuwe nao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Wanamwakilisha nani katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Tuwaache wakutane na wajadili mstakabali wa ndoa yao. Wana mambo mengi ya kujadili ila jambo moja Watanganyika lazima tulijue kuwa Wazanzibari wana nchi yao lakini wanakuja huku kwenye bunge la jamhuri kwa maslahi ya kututawala Watanganyika. Uwakilishi wao katika bunge la jamhuri hautusaidii chochote kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bali kutuletea usanii tu. Iweje watu wajitungie katiba yao na kutamka kuwa Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake na rais wake kama kiongozi wa nchi bado tuwe nao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Wanamwakilisha nani katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Dah, Hivi zubeda maana yake ni nini :twitch:Ni kimbelembele cha yule Hayati anaeitwa Baba wa TAIFA kuomba kuungana na Marehemu Abeid A. Karume! sasa wache Wazanzibari watukune vichwa sawasawa! walikuwa na nchi yao huru na yenye maendeleo makubwa kuliko nchi yoyote ktk afrika Mashariki na kati! Nyerere alipeleka jeshi la mamluki kupindua Serikali halali ya Zanzibar na kuwaomba kuungana sasa tunaanza kuonja uovu alioufanya mzee huyo!
Tuwaache wakutane na wajadili mstakabali wa ndoa yao. Wana mambo mengi ya kujadili ila jambo moja Watanganyika lazima tulijue kuwa Wazanzibari wana nchi yao lakini wanakuja huku kwenye bunge la jamhuri kwa maslahi ya kututawala Watanganyika. Uwakilishi wao katika bunge la jamhuri hautusaidii chochote kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bali kutuletea usanii tu. Iweje watu wajitungie katiba yao na kutamka kuwa Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake na rais wake kama kiongozi wa nchi bado tuwe nao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Wanamwakilisha nani katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania?