Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
<br />
<br />
Magwanda ful ukamanda...tuliwapotezea mkaishia kwa masecretary Uhazili..warsaw walikuwa monopoly yetu wataaluma..
Aaah wapi Warsaw walikuwa wanawaogopa hamkuwa social kabisa, madisko ya pale warsaw mnaiba maharage jikoni kwao, sijui kama hadi huku uraiani mnaendeleza tabia zenu za u antisocial