Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Nyuma ni plain kabisa. Lakini nina namba zake za simu ................,
bwaksi, fanya hima nipe hiyo namba nikajionee kwa ziro distansi.
Nyuma ni plain kabisa. Lakini nina namba zake za simu ................,
Huyo habakwi Mkuu.Si bora angevua kabisa akatembea bila nguo kabisa????. Vikundi vya kutetea haki za akina mama huwa vinakuwa wapi watu kama hawa wanapowadhalilisha akina mama??? Sasa hapo akibakwa atasema kaonewa au yeye amewakaribisha wabakaji???
sio kutishika la! ni msisimko na mshahawashahawasha.......napenda sana hizo sampuli
eeeh mwenyewe huyo wawashwa washwa wasema??? haya na msisimko wako mi nakusoma tuu....
Karibu tena, uliadimika sana.
mmmhh tanks.... i'm here now...
ila unaanza kubadilika. ulipoingia humu ulikuwa mtoto mzuri, jf wameshakuchakachua. yaani unaunga mkono uvaaji huu!
vaa hivyo halafu katiza mtaa wa kongo usikie habari yake
Lakini KAPENDEZA!This is too much! wanawake wengine wanatudhalilisha tu wenzao!