Samahani kwa kuuliza wakuu! Huyu aliyepewa heshima ya kupeperusha bendera yetu ni nani? Harafu naona kama hatuna timu vile maana naona wote kama wanywaji wa pombe, vitambi mbele na wana umri ulioenda tofauti na inavyotakiwa katika mashindano. Sasa tusubiri wakati wa kurudi hayo mabegi yatakavyokuwa yamefuraaaaa!!.
Wana michezo wa 2 viongozi 12.Samahani kwa kuuliza wakuu! Huyu aliyepewa heshima ya kupeperusha bendera yetu ni nani? Harafu naona kama hatuna timu vile maana naona wote kama wanywaji wa pombe, vitambi mbele na wana umri ulioenda tofauti na inavyotakiwa katika mashindano. Sasa tusubiri wakati wa kurudi hayo mabegi yatakavyokuwa yamefuraaaaa!!.
Wana michezo wa 2 viongozi 12.
Huyu mzee naye si alikuwa na maslahi binafsi! Hukumbuki ya Mauritias na bondia wake. Hizi zote ni impact za uongozi wa juu kupenda shortcuts. Viongozi wetu wangekuwa wanajua madhara wanayosababishia wananchi wangeachia ngazi mapema kabla ya mambo hayajaharibika na kufikia point of no return.Ndo mpango mzima! hii ndo bongo bana! wapi al haji MINTANGA!!? I miss you!
Hapo ndo choka mbaya na viongozi wetu!! Wanalalamika vijana hawana kazi, Oooh vijana ni bomu la ajira, Ooooh tusipochukua hatua ni hatari! Sasa sijui wanadhani hizo ajira zitajileta? Its a bullshit slogan aka cheap politics. Wangechangisha hiyo mipesa kwa ajili ya kupeleka team Olimpics si ingeanza kutoa mwamko mapema? Sasa hivi nitashangaa mtu akisimama mbele za watu na kuanza kujinasibu Oooh nitatengeneza ajira kwa vijana wakati fursa nyingi zinapita bila kutoa uhamasishaji au hata kuonyesha nia basi ya kuwatembelea wanapokuwa kwenye makambi ya mazoezi potelea mbali wakienda kushindwa ndo kujifunza na kupata uzoefu.Wana michezo wa 2 viongozi 12.
Kwani kuna inshu gani tuko serious? Labda Ufisadi na kupenda shortcuts za kufanikiwa.Wamependeza...TZ bado mambo ya sports hawajachukulia serious.
Hii ya chini kidogo imenituliza kama ni kweli ndo team yetu!!Niliitazama parade yao jana usiku na huyo aliyeshika bendera anitwa Zakia Mrisho, mwanariadha. Lakini tazama hapa chini naona wengine wanabandika picha tofauti sijui walipita tena au ni uwanja mwingine.
Niliitazama parade yao jana usiku na huyo aliyeshika bendera anitwa Zakia Mrisho, mwanariadha. Lakini tazama hapa chini naona wengine wanabandika picha tofauti sijui walipita tena au ni uwanja mwingine.