Electron
Member
- Jul 3, 2012
- 92
- 49
Hapana; binafsi nataka wabara walioko Zanzibar wagome kupokea vitambulisho hivyo wala kuvitumia tuone Zanzibar watafanya nini
Uamsho wataandamana na kuchoma nyumba zao, tena wakitokea kwenye nyumba za ibada!
Hapana; binafsi nataka wabara walioko Zanzibar wagome kupokea vitambulisho hivyo wala kuvitumia tuone Zanzibar watafanya nini
Hapana; binafsi nataka wabara walioko Zanzibar wagome kupokea vitambulisho hivyo wala kuvitumia tuone Zanzibar watafanya nini
Wewe ungekataa hicho kitambulisho? Mbona enzi zile za kwenda Zenji na Passport walibeba hizo Passport?Mbona hili halina shida; na hao Watanzania watakaoklubali kupewa vitambulisho vya uraia kama wageni Zanzibar watakuwa wapuuzi!!
Hapana; binafsi nataka wabara walioko Zanzibar wagome kupokea vitambulisho hivyo wala kuvitumia tuone Zanzibar watafanya nini
Wa znz wanatutia vidole wabara....kisha wanatuambia nusa! nusa!, na Wabara wametulia tuli...kwa kupenda Muungano
na kudumisha fikra za Baba wa Taifa
Hapana; binafsi nataka wabara walioko Zanzibar wagome kupokea vitambulisho hivyo wala kuvitumia tuone Zanzibar watafanya nini
Zanzibar ni Nchi.
Hapana; binafsi nataka wabara walioko Zanzibar wagome kupokea vitambulisho hivyo wala kuvitumia tuone Zanzibar watafanya nini
Mwanakijiji,
Hawa wazanzibar ni wabinafsi sana binafsi nilikuwa nawaunga mkono but kadri siku zinavyokwenda ndivyo navyowaona wabinafsi kupindukia. Hii ni moja ya dalili unapowaambia wabara wapewe vitambulisho na je wazanzibar nao wapewe vitambulisho bara vya ugeni??? Binafsi naunga mkono wabara wagomee hivyo vitambulisho tuone watafanya nini.
Sijui watafukuzwa kwenye nchi ya watu?
Hii ni dhana ya chako ni chakwangu lakini chakwangu ni changu
Kila Mzinzibari ni Mtz lakini si kila Mtz ni Mzanzibari
Huu muungano haupo bali kuna dhana ya muungano tu
" nakusahihisha kidogo sijui umekosea ama kwa makusudi .... ni kwamba "kila mZanzibari ni mTanzania ila si kila mTanania ni mZanzibari, hiyo ndio reality, japo kuna waZanzibari wengi tu hawautaki uTanzania na waTanzania wengi tu wanajiita waZanzibari ....solution pigania Tanganyika yako urudishe utaifa wako"