themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Yaani mimi na wewe hadi kichanga mpaka tunakufa hakuna mtu atashuhudia Israel ikisumbuliwa na Mwarabu yoyote pale mtaendelea kutandikwa kama hamtokuwa na heshima mkubali mkatae Wayahudi ni watu waliobarikiwa sana akili
Kwenye sayansi ambayo imevumbua vitu vingi ambavyo hadi leo hii wote tunanufaika ikiwemo mitambo, Mifumo ya mawasiliano Satelite,Internet ni hao hao wayahudi
Saudi Arabia kitovu cha uislam inalindwa na mifumo ya hao wayahudi, Kila kukicha Saudi ananunua silaha za wamarekani kujilinda, Uvumbuzi wa mafuta pale saudi hadi mitambo ya kuchimba na teknolojia ni mifumo ya wayahudi yaani wale ni kama maji hutaki utayanywa unataka utakunywa tu
Mitandao kama facebook,Insta,Whatsapp wavumbuzi ni wayahudi, Kuna watu hapa ukiwakataza kutumia hii mitandao wanaumwa ila wakiamka asubuhi wanakwambia myahudi kafiri, kafiri unatakiwa uache kutumia kila alichokivumbua ili uwe na msimamo
Kwenye Uvumbuzi wa madawa hadi sasa vinara ni wazungu wenye asili ya kiyahudi,Madawa kama antibiotics,Dawa za kuzia magonjwa mazito yaliyoisumbua Dunia wavumbuzi ni wayahudi na dawa zao mnabugia wale ni kama maji tu hutaki utakunywa usipotaka utakunywa
Waarabu wamewkeza sana kwenye kusambaza elimu ya Dini kuliko elimu Ya uvumbuzi na ndio maana sehem
Walizotawala waaarabu hakuna cha maana ila alipopita mzungu ushahidi mnao, sasa unawekeza kwenye Dini elimu dunia mmeikacha alafu ni wachokozi mnamshambulia mtu alafu akilpa kisasi mnasema mnaonewa
Mmeilipua istrael
Kwa makombora mkauwa watu 1400, mpakani mwa Israel mkavunja fensi mkaingia mkachoma watoto kwa halaiki yaani watoto wamekutwa kama ndafu, Na bada ya hilo tukio Palestina yote ikawa inashangilia ushindi, Wale mateka wakati wanaingizwa gaza ilionekana wananchi wanawashambulia kwa kipigo huku wakishangilia
Sasa Israel kaanza kuwatandika mnampangia pa kupiga nyie wakati mnauwa mlizipiga kambi za Israel?
Inandelea
Kwenye sayansi ambayo imevumbua vitu vingi ambavyo hadi leo hii wote tunanufaika ikiwemo mitambo, Mifumo ya mawasiliano Satelite,Internet ni hao hao wayahudi
Saudi Arabia kitovu cha uislam inalindwa na mifumo ya hao wayahudi, Kila kukicha Saudi ananunua silaha za wamarekani kujilinda, Uvumbuzi wa mafuta pale saudi hadi mitambo ya kuchimba na teknolojia ni mifumo ya wayahudi yaani wale ni kama maji hutaki utayanywa unataka utakunywa tu
Mitandao kama facebook,Insta,Whatsapp wavumbuzi ni wayahudi, Kuna watu hapa ukiwakataza kutumia hii mitandao wanaumwa ila wakiamka asubuhi wanakwambia myahudi kafiri, kafiri unatakiwa uache kutumia kila alichokivumbua ili uwe na msimamo
Kwenye Uvumbuzi wa madawa hadi sasa vinara ni wazungu wenye asili ya kiyahudi,Madawa kama antibiotics,Dawa za kuzia magonjwa mazito yaliyoisumbua Dunia wavumbuzi ni wayahudi na dawa zao mnabugia wale ni kama maji tu hutaki utakunywa usipotaka utakunywa
Waarabu wamewkeza sana kwenye kusambaza elimu ya Dini kuliko elimu Ya uvumbuzi na ndio maana sehem
Walizotawala waaarabu hakuna cha maana ila alipopita mzungu ushahidi mnao, sasa unawekeza kwenye Dini elimu dunia mmeikacha alafu ni wachokozi mnamshambulia mtu alafu akilpa kisasi mnasema mnaonewa
Mmeilipua istrael
Kwa makombora mkauwa watu 1400, mpakani mwa Israel mkavunja fensi mkaingia mkachoma watoto kwa halaiki yaani watoto wamekutwa kama ndafu, Na bada ya hilo tukio Palestina yote ikawa inashangilia ushindi, Wale mateka wakati wanaingizwa gaza ilionekana wananchi wanawashambulia kwa kipigo huku wakishangilia
Sasa Israel kaanza kuwatandika mnampangia pa kupiga nyie wakati mnauwa mlizipiga kambi za Israel?
Inandelea