Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Waamuzi wazidi kumbana Ferguson
Mkuu wa chama cha waamuzi nchini Uingereza ametaka meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson afungiwe kutokana na madai yake kwamba mwamuzi Alan Wiley hakuwa imara inavyotakiwa.
Ferguson amekwishaomba msamaha kwa kauli yake baada ya mchezo baina ya timu yake na Sunderland ambapo timu hizo zilifungana mabao 2-2.
Lakini Alan Leighton, mkuu wa chama cha waamuzi, ameiambia BBC, msamaha wa Ferguson ni wa "kijuujuu tu".
Amesema Leighton, adhabu kali kama zinazotolewa na Uefa za kumfungia meneja wa timu ndio zinamfaa Ferguson kuliko tu kumzuia asikae na timu yake na kutoa maelekezo uwanjani.
Source:http://www.bbc.co.uk/swahili/football/story/2009/10/091015_adhabu_fergusson.shtml
Mkuu wa chama cha waamuzi nchini Uingereza ametaka meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson afungiwe kutokana na madai yake kwamba mwamuzi Alan Wiley hakuwa imara inavyotakiwa.
Ferguson amekwishaomba msamaha kwa kauli yake baada ya mchezo baina ya timu yake na Sunderland ambapo timu hizo zilifungana mabao 2-2.
Lakini Alan Leighton, mkuu wa chama cha waamuzi, ameiambia BBC, msamaha wa Ferguson ni wa "kijuujuu tu".
Amesema Leighton, adhabu kali kama zinazotolewa na Uefa za kumfungia meneja wa timu ndio zinamfaa Ferguson kuliko tu kumzuia asikae na timu yake na kutoa maelekezo uwanjani.
Source:http://www.bbc.co.uk/swahili/football/story/2009/10/091015_adhabu_fergusson.shtml