TASLIMU
Senior Member
- May 6, 2011
- 144
- 21
Kwa wale wenye shahada,Stashahada,astashahada(msingi) mnakaribishwa NYARUBANDA HIGH SCHOOL,
1.tuna olevel na alevel
2.pia kuna shule ya msingi
3.barabara rami tu,mwendo wa nusu saa kutoka town to sites(nyarubanda)magar yetu n Noha na tax,
4.wenyej wa hapa wanalima kahawa na ndiz(zipo nyingi sana)
5.matunda meng sana,mananasi,parachichi,
6.mboga za majani nyingi tu,njegere fungu miambili,viaz vitamu,mviringo kipindi cha msimu,
7.mchele@1800,unga@1000,mafuta ya taa@2800,sukar@2700,
8.nyumba za shule zimebaki 4
9.umeme upo katika nyumba zote(usiku)
10.mwambie na mwenzako
SASA HIVI TUPO GRADUATE 5,Wa3 tupo tokea 2009,mmoja2010,mmoja headmaster(babu)amehamia disemba mwaka jana
,Njoo na blanket,sweta
1.tuna olevel na alevel
2.pia kuna shule ya msingi
3.barabara rami tu,mwendo wa nusu saa kutoka town to sites(nyarubanda)magar yetu n Noha na tax,
4.wenyej wa hapa wanalima kahawa na ndiz(zipo nyingi sana)
5.matunda meng sana,mananasi,parachichi,
6.mboga za majani nyingi tu,njegere fungu miambili,viaz vitamu,mviringo kipindi cha msimu,
7.mchele@1800,unga@1000,mafuta ya taa@2800,sukar@2700,
8.nyumba za shule zimebaki 4
9.umeme upo katika nyumba zote(usiku)
10.mwambie na mwenzako
SASA HIVI TUPO GRADUATE 5,Wa3 tupo tokea 2009,mmoja2010,mmoja headmaster(babu)amehamia disemba mwaka jana
,Njoo na blanket,sweta