mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
kuna baadhi ya waajiri hasa ktk mashirika binafsi wanakwepa kuajiri wasichana, mi niliwah kusikia katika ofisi moja mkurugenzi akisema ukiajiri msichana graduate una hasara, akifanya kazi kidogo utasikia anataka kuolewa, akiolewa atapata mimba na kuanza kuumwa umwa kila mara anaomba ruhusa, akijifungua anadai matenity leave. Baada ya hapo mara mtoto anaumwa nampeleka hospitali mara clinic. Jamani waajiri na nyie mmezaliwa na wanawake tendeni haki kwa mabinti. Mnawanyanyasa kijinsia haipendezi kabisa.