Waafrika mazezeta!

Ochu

JF-Expert Member
May 13, 2008
975
47
Waafrika mazezeta!




Mtafiti wa TEKNOHAMA na mwandishi, Ole Jørgen Anfindsen (pichani) anasema kuwa Waafrika wana akili ndogo (IQ = intelligence quotient) kuliko watu wengine duniani. Amesema wazi leo kwenye kipindi cha “TV 2 alltid nyheter” saa 18:55 – 19:19 CET, kuwa kwa kuwa watu wa mataifa mengine akili zao ni finyu, basi ni vigumu watu kutoka mataifa hayo, kuzoea mila, desturi na utamaduni wa Norway, hususan wa nchi za magharibi. Akiendelea, alisema kuwa watu wenye IQ ndogo inakuwa vigumu kuenda sambamba na teknolojia inavyoenda kasi.


Alikuwa akielezea utafiti alioufanya na kuandika kwenye kitabu chake kiitwacho “Selvmordsparadigmet”. Pamoja na kuelezea uzezeta wa Waafrika, pia ameishambulia siasa na sheria za zinazohusu wageni kuwa ni laini mno kiasi cha kutia aibu. Anapendekeza sheria za wageni kuzibwa matundu na kukazwa zaidi ili wageni wasiingie Norway kiholela.
 
Huyu ni mtafiti wa pili wa kizungu namsikia akisema Africans tuna IQ ndogo ukilinganisha na wazungu.
Mimi sijafanya utafiti lakini inawezekana Waafrika kuwababaikia, kuwathamini na kuwaamini sana wazungu ndio sababu ya wao kutuona mapunguani.
Inawezekana waafrika tuna weakness katika hilo.
 
bwanaee mimi ni muafrica na ni mtanzania pia ila nakubaliana na huomzungu asilimia 100,anachosema ni kweli kabisa.
 
Waafrika mazezeta!





Mtafiti wa TEKNOHAMA na mwandishi, Ole Jørgen Anfindsen (pichani) anasema kuwa Waafrika wana akili ndogo (IQ = intelligence quotient) kuliko watu wengine duniani. Amesema wazi leo kwenye kipindi cha “TV 2 alltid nyheter” saa 18:55 – 19:19 CET, kuwa kwa kuwa watu wa mataifa mengine akili zao ni finyu, basi ni vigumu watu kutoka mataifa hayo, kuzoea mila, desturi na utamaduni wa Norway, hususan wa nchi za magharibi. Akiendelea, alisema kuwa watu wenye IQ ndogo inakuwa vigumu kuenda sambamba na teknolojia inavyoenda kasi.


Alikuwa akielezea utafiti alioufanya na kuandika kwenye kitabu chake kiitwacho “Selvmordsparadigmet”. Pamoja na kuelezea uzezeta wa Waafrika, pia ameishambulia siasa na sheria za zinazohusu wageni kuwa ni laini mno kiasi cha kutia aibu. Anapendekeza sheria za wageni kuzibwa matundu na kukazwa zaidi ili wageni wasiingie Norway kiholela.

Nadhani kuna haja ya kusoma kwanza matokeo ya utafiti wake ili kujua ni ushahidi gani amautumia kupata matokeo hayo.

Lakini kama siyo mazezeta kwa nini?
  • Hatuendelei kiuchumi na kijamii kama wenzetu
  • Tunagawa maliasili zetu - madini, misitu, wanyama, ardhi, etc - kana kwamba tunahama nchi yetu kesho
  • Tunajenga barabara mbovu
  • Tunasaini mikataba mibovu ambayo inatia hasara taifa na kuwanyima wananchi huduma nyeti
  • Tumeshindwa kusimamia sekta nyeti za kiuchumi kama reli ya kati na Tazara na sasa tumekabidhi wahindi waiendeshe
  • Huduma za afya duni - mwenye matatizo ya miguu anapasuliwa kichwa na wa kichwa miguu
  • Elimu duni
  • Hatuzoi takataka kwenye miji yetu - kipindupindu (yaani ugonjwa wa kula kinyesi) hakiishi kwenye miji yetu mikubwa
  • Majitaka yanaachiwa kupita kwenye barabara zetu wakati wa mvua na hata wakati mvua hazipo
  • Tunaua binadamu wenzetu (maalbino) tukiamini kuwa tutatajirika kwa kutumia viungo vyao
  • Tumeshindwa kusambaza huduma ya maji kwa wananchi
  • Tumeshindwa kusambaza huduma za umeme kwa wananchi
  • Hatuwezi kusimamia chaguzi zetu kujua ni watu wangapi wamepiga kura, nani kashinda na nani kashindwa
  • Etc. etc. etc.
May be this mzungu has a point. Let us critically assess our situation and see whether we can come up with a different conclusion.
 
Nadhani kuna haja ya kusoma kwanza matokeo ya utafiti wake ili kujua ni ushahidi gani amautumia kupata matokeo hayo.

Lakini kama siyo mazezeta kwa nini?
  • Hatuendelei kiuchumi na kijamii kama wenzetu
  • Tunagawa maliasili zetu - madini, misitu, wanyama, ardhi, etc - kana kwamba tunahama nchi yetu kesho
  • Tunajenga barabara mbovu
  • Tunasaini mikataba mibovu ambayo inatia hasara taifa na kuwanyima wananchi huduma nyeti
  • Tumeshindwa kusimamia sekta nyeti za kiuchumi kama reli ya kati na Tazara na sasa tumekabidhi wahindi waiendeshe
  • Huduma za afya duni - mwenye matatizo ya miguu anapasuliwa kichwa na wa kichwa miguu
  • Elimu duni
  • Hatuzoi takataka kwenye miji yetu - kipindupindu (yaani ugonjwa wa kula kinyesi) hakiishi kwenye miji yetu mikubwa
  • Majitaka yanaachiwa kupita kwenye barabara zetu wakati wa mvua na hata wakati mvua hazipo
  • Tunaua binadamu wenzetu (maalbino) tukiamini kuwa tutatajirika kwa kutumia viungo vyao
  • Tumeshindwa kusambaza huduma ya maji kwa wananchi
  • Tumeshindwa kusambaza huduma za umeme kwa wananchi
  • Hatuwezi kusimamia chaguzi zetu kujua ni watu wangapi wamepiga kura, nani kashinda na nani kashindwa
  • Etc. etc. etc.
May be this mzungu has a point. Let us critically assess our situation and see whether we can come up with a different conclusion.

Kwa vigezo hivyo, ni haki yao watuone Mazuzu.
 
Kwa vigezo hivyo, ni haki yao watuone Mazuzu.

"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

Kuna mengi sana kuhusu upeo wa kujua mambo wa waafrika na tafiti hizi za wazungu. Kama angefanya mwafrika au mtu wa rangi nyingine jibu lingeweza kuwa tofauti au pengine hilo hilo kutegemeana na mazingira na wakati. Labda utategemea nini iwapo hata tafiti zetu zotei zinahitaji kusaidiwa na fedha na mawazo ya wazungu?

Lakini yote hayo ni matokeo ya kutawaliwa kwetu na hayo weupe ambapo pia ndio walioweka vigezo vya kupima uwelewwa wetu kupitia elimu ya mifumo ya kwao. yawezekana hata huyo mzunu aliyefanya utafiti IQ yake ni robo kibaba kama si kijiko cha sukari lakini kwa kuwa ni Mzungu ataheshimiwa na huo utafiti kachala!.

utafiti huu na inayofanana imefanywa na wazungu ili kuthibitisha upumbavu wetu lakini wao wanakwepa wajibu wa kuwa wamechangia na wanaendelea kuchangia kwa waafrika kuonekana ni wapumbavu zaidi.

Historia inatufundisha kuwa ugunduzi wa mambo mengi ulianzia afrika na wadugunzi wengi ni waafrika lakini kwa kuwa tumekuwa tukiytawaliw, kimwwili na kiakili na hao wazungu, kamwe huwezi kusikia tumefikia katika ngazi ya juu ya uwelewa (intellegence) kwa kuwa taratibu zote za kuwezesha kujua uwelewa wetu ni lazima zithibitishwe na wao wazungu.

Tumetawaliwa kimawazo na mfumo wa elimu ya magharibi kiasi kwamba sasa hatuwezi kubainisha yale tunayoyaweza bila kuwauliza wao kama rejea (reference).

Hatuwezi kujua kuwa yetu yanathamani pasipo kumuuliza au kuona mzungu akifanya na ndio maana hata vile vikubwa sana na tunavyohisi ni bora tunaviita "vyakizubgu (inzi wa kizungu, kuku wa kizungu, rangi ya kizungu, tabia za kizungu nk).

Kweli tutakuwa mapunguani kila siku kwa tabia zetu za kupokea kila toleo la mabiliko ya hao wazungu..hata mzungu akiwa mpuuzi vipi tunampapatikia, ataingia mpaka Ikulu bila vibali kisa mzungu.

Nani anapenda kukaa huko ulaya na marekani kama Afrika isingefujwa rasilimali zake kwa ajili ya kuwekeza katika nchi hizo za wazungu?.

Tofauti na Wayaudi ambao shida zao za utumwani kule Misri ziliwafunza maarifa na sasa wanaheshimika duniani kwa kuwa na IQ kubwa, sisi wabantu shida zetu tunatumia kujinadi kwa mataifa mengine na rasimilali zetu tunazigawa bure ili tutukuzwe kwa wema n ukarimu wetu na wao tukiwaheshimu na kuwaogopa kwa kuwa watatufanya tushindwe kuishi.
Wametubana kila kona, sasa tumekuwa wabeba mizigo ya wazungu na imekuwa sifa kwetu iwapo tutaonekana kama wao kwa tabia na miendendo yetu.

Pale inapofikia dhamira zetu zinatutuma tule, tulale, tunywe, tuvae, tutembee, tuongee,tusali, tuiembe, tulie, tulale, na hata tufe na kuzikwa kama wazungu ndipo hapo wenzetu wanatuona IQ zetu ni ndogo sana na zitaendelea kushuka na ndogo zaidi na zaidi mpaka kiama cha Ulimwengu!
 
waafrika mazezeta!




mtafiti wa teknohama na mwandishi, ole jørgen anfindsen (pichani) anasema kuwa waafrika wana akili ndogo (iq = intelligence quotient) kuliko watu wengine duniani. Amesema wazi leo kwenye kipindi cha "tv 2 alltid nyheter" saa 18:55 – 19:19 cet, kuwa kwa kuwa watu wa mataifa mengine akili zao ni finyu, basi ni vigumu watu kutoka mataifa hayo, kuzoea mila, desturi na utamaduni wa norway, hususan wa nchi za magharibi. Akiendelea, alisema kuwa watu wenye iq ndogo inakuwa vigumu kuenda sambamba na teknolojia inavyoenda kasi.


alikuwa akielezea utafiti alioufanya na kuandika kwenye kitabu chake kiitwacho "selvmordsparadigmet". Pamoja na kuelezea uzezeta wa waafrika, pia ameishambulia siasa na sheria za zinazohusu wageni kuwa ni laini mno kiasi cha kutia aibu. Anapendekeza sheria za wageni kuzibwa matundu na kukazwa zaidi ili wageni wasiingie norway kiholela.

ni kweli 300 asilimia. Amewaagali watu kama chenge,kapuya,ghasia ,karamaji,lowasa,zuma,mu7,kibaki nk
 
Ni vizuri ukafungua website hii.http//news.yahoo.com/science itakupa mawazo mbadala.Angalia kwenye topic ya genes.:brick:
 
Kimsingi kama amefanya utafiti tumtendee haki na sisi kwa kufanya utafiti kupinga matokeo ya utafiti wake

tukumbuke waafrica walio wengi waliopo ulaya wanafanya mambo ya ajabu mno,na hawa wazungu wanachukulia upumbavu unaofanywa na hawa waafrica wachache waafrica wote ndo wako hivyo, nilishuhudia Nchi za Scandinavia waafrica wapo wengi, na wamekwenda huko kwa kisngizio cha elimu inayotolewa bure, wakimaliza hawarudi nyumbani mtu yuko tayari afanye masters hata 4 wakati anafanya kazi ya kufagia au kupanda miti misituni kwa ujira mdogo saana, kwa hili ni kwa nini tusionekane tuna IQ finyu??????? unamkuta kijana miaka 24 anaishi na bibi wa miaka 55.

Tukubali tukatae tunatia aibu nimesikia Swden wamehamua kuitroduce ada kwa vyuo vikuu vyao kwa sababu Waafrica wameabuse system wanaoma bure wanamaliza hawarudi kwao wengine program ya mwaka wanasoma miaka 3 mpaka 4, hawa wazungu wafanyeje sasa kama sio kuishia kutuzarau,,

Imefika mahali waafrica tubadilike
 
sipendi kusoma hii thread naona inataka kunitia majaribuni nitende zambi bure hapa, ngoja tu nikimbie nisiiangalie tena. this is very unfair...ni ajabu kwamba ameona wazungu mazezeta walio wengi mno hapa ulaya wana akili kuliko waafrica waliosoma na wenye uelewa mzuri kule bongo. all in all, kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa, na ajisifuye na ajisifu kwasababu anamjua yeye aliyetuumba na si kwa chochote kile hapa duniani. labda wenzetu akili zimepitiliza ndo maana wanaruhusu hadi ndoa za jinsia moja kitu ambacho hata mnyama huwa hafanyi.....pia, ni ajabu, hivi waafrica ni watu gani? je makaburu/wazungu wa south africa na zimbabwe, kenya etc ni waafrica pia au siyo, kama ndiyo mbona wako wazungu kama yeye na tunahangaika wote tu bongo humu?, waarabu kule kaskazini nao ni waafrica? je alipokuwa anaongea alikuwa ana define vipi uafrica, je ni weusi, weupe, uarabu au ukipilipili? Mungu amponye akili yake ili agundue kuwa chuki na ubaguzi vimepitwa na wakati. kama anachukia kwasababu watu wanahamia kwenye nchi yake, mbona wazungu pia wanakuja kwetu? kwani wao wakija africa hapa si wageni? sisi tu tukiwa ulaya ndo wageni wao wakiwa kwetu si wageni? very unfair kwakweli.
 
kimsingi kama amefanya utafiti tumtendee haki na sisi kwa kufanya utafiti kupinga matokeo ya utafiti wake

tukumbuke waafrica walio wengi waliopo ulaya wanafanya mambo ya ajabu mno,na hawa wazungu wanachukulia upumbavu unaofanywa na hawa waafrica wachache waafrica wote ndo wako hivyo, nilishuhudia nchi za scandinavia waafrica wapo wengi, na wamekwenda huko kwa kisngizio cha elimu inayotolewa bure, wakimaliza hawarudi nyumbani mtu yuko tayari afanye masters hata 4 wakati anafanya kazi ya kufagia au kupanda miti misituni kwa ujira mdogo saana, kwa hili ni kwa nini tusionekane tuna iq finyu??????? Unamkuta kijana miaka 24 anaishi na bibi wa miaka 55.

tukubali tukatae tunatia aibu nimesikia swden wamehamua kuitroduce ada kwa vyuo vikuu vyao kwa sababu waafrica wameabuse system wanaoma bure wanamaliza hawarudi kwao wengine program ya mwaka wanasoma miaka 3 mpaka 4, hawa wazungu wafanyeje sasa kama sio kuishia kutuzarau,,

imefika mahali waafrica tubadilike
hao wanashindwa kurudi sababu hata wakirudi maisha yatakuwa nidiyo the worst. Mimi naomba sana tukubaliane na tafiti ya huyu sisi tuichukue km hypothesis, ili baadaye tuje tuone km tutai-refute au tutaiprove correct. Nadhani inaweza ikaja ikatusaidia to start with. Anatyekuponda kwa sababu hauenendi vizuri, anakutakia mema. Tulitakiwa kuishi maisha mazuri sana kuzidi hata hao wazungu lakini to the contrary tunaishi maisha magumu afadhali hata wanyama, though nawapa pole baadhi ya wachache wetu waliopo na wanaoishi maisha mazuri sana, kwa sababu wengi wao watakuwa hawako very uncomfortable,na wengine watakuwa wako guilty conscious (fisadis), kwani mazingira wanayoishi kuna watu wengi na pengine ndugu zao, wamewazunguka, living kind of just a hell life!
 
IQ ktk jamii yeyote inaweza kuwa modelled na normal distribution..sivyo? Ningependa kuona huyo 'mtaalam' wa kizungu akionesha sampling distribution kutoka kwa race mbalimbali na tests zenye kuonesha hoja yake kwa ku-test hypothesis(es)..otherwise we can safely ignore him simply bcoz he just exposed his gullibility in front of the entire world .
 
what is IQ?

what is intelligence?

Itelligence=mental age/chronological age
Intelligence=ability to weigh up or size up stuations in a rational if not correct way for. These are as viewed from my head and my undertanding only, please check with the www for the more correct definitions!
 
Nadhani kuna haja ya kusoma kwanza matokeo ya utafiti wake ili kujua ni ushahidi gani amautumia kupata matokeo hayo.

Lakini kama siyo mazezeta kwa nini?

  • Hatuendelei kiuchumi na kijamii kama wenzetu
  • Tunagawa maliasili zetu - madini, misitu, wanyama, ardhi, etc - kana kwamba tunahama nchi yetu kesho
  • Tunajenga barabara mbovu
  • Tunasaini mikataba mibovu ambayo inatia hasara taifa na kuwanyima wananchi huduma nyeti
  • Tumeshindwa kusimamia sekta nyeti za kiuchumi kama reli ya kati na Tazara na sasa tumekabidhi wahindi waiendeshe
  • Huduma za afya duni - mwenye matatizo ya miguu anapasuliwa kichwa na wa kichwa miguu
  • Elimu duni
  • Hatuzoi takataka kwenye miji yetu - kipindupindu (yaani ugonjwa wa kula kinyesi) hakiishi kwenye miji yetu mikubwa
  • Majitaka yanaachiwa kupita kwenye barabara zetu wakati wa mvua na hata wakati mvua hazipo
  • Tunaua binadamu wenzetu (maalbino) tukiamini kuwa tutatajirika kwa kutumia viungo vyao
  • Tumeshindwa kusambaza huduma ya maji kwa wananchi
  • Tumeshindwa kusambaza huduma za umeme kwa wananchi
  • Hatuwezi kusimamia chaguzi zetu kujua ni watu wangapi wamepiga kura, nani kashinda na nani kashindwa
  • Etc. etc. etc.
May be this mzungu has a point. Let us critically assess our situation and see whether we can come up with a different conclusion.
Maelezo uliyotoa has nothing to do IQ au intelligence ya RACE NZIMA. Unachoongelea ni matukio ktk jamii ambayo yanaeza kukutwa sehemu yoyote duniani kutokana na misingi mibovu ya kijamii.
 
Nadhani kuna haja ya kusoma kwanza matokeo ya utafiti wake ili kujua ni ushahidi gani amautumia kupata matokeo hayo.

Lakini kama siyo mazezeta kwa nini?
  • Hatuendelei kiuchumi na kijamii kama wenzetu
  • Tunagawa maliasili zetu - madini, misitu, wanyama, ardhi, etc - kana kwamba tunahama nchi yetu kesho
  • Tunajenga barabara mbovu
  • Tunasaini mikataba mibovu ambayo inatia hasara taifa na kuwanyima wananchi huduma nyeti
  • Tumeshindwa kusimamia sekta nyeti za kiuchumi kama reli ya kati na Tazara na sasa tumekabidhi wahindi waiendeshe
  • Huduma za afya duni - mwenye matatizo ya miguu anapasuliwa kichwa na wa kichwa miguu
  • Elimu duni
  • Hatuzoi takataka kwenye miji yetu - kipindupindu (yaani ugonjwa wa kula kinyesi) hakiishi kwenye miji yetu mikubwa
  • Majitaka yanaachiwa kupita kwenye barabara zetu wakati wa mvua na hata wakati mvua hazipo
  • Tunaua binadamu wenzetu (maalbino) tukiamini kuwa tutatajirika kwa kutumia viungo vyao
  • Tumeshindwa kusambaza huduma ya maji kwa wananchi
  • Tumeshindwa kusambaza huduma za umeme kwa wananchi
  • Hatuwezi kusimamia chaguzi zetu kujua ni watu wangapi wamepiga kura, nani kashinda na nani kashindwa
  • Etc. etc. etc.
May be this mzungu has a point. Let us critically assess our situation and see whether we can come up with a different conclusion.

Mkuu!! kuna tofauti kati ya kuwa na akili mingi au akili in this case na kutofuata ethics za kazi.....kutokuwa na maadili sahihi ya kazi kwa makusudi mazima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom