Wa-Salaam Aleikum

Al-Watan

JF-Expert Member
Apr 16, 2009
11,891
14,560
Wa-Salaam Aleikum sana, mabibi na mabwana
Waungwana hata watwana, jamvini mnaofana
Wembamba na wapana, wajuvi wa karakana
Ndimi Al-Watan Nyeti, ziso vyeti
Mtanzania burushi wa ki-sovieti
Najitambulisha kwa beti, mnifungulie geti
Nipate wasaa jamvi hili wakuketi
Siku hizi mambo neti, kwa kasi kama ya jeti
Tangu hisabati za seti, wazi wala haziteti
Alif mpaka zeti, nzuri kama alizeti,

N'shaperuzi makini na sasa nawaingia
kabla miluzi ju-chini vina nitawaimbia
Mpate kuburudika, mashairi yalopikwa
Kama tunda hakika si la kupepe vundikwa
Tarakimu na methali vionjo vya kupashana
Midahalo maridhali yenda kwa kupatana
Au kupingana hoja, pasipo tashtiti moja
Na kurusha maambizo pasipo kungoja ngoja
Ukakamavu kisoja, bila kuleta vihoja
Kwa kasi isochoja, hatari kama Kamboja

Hodi hodi wanabodi
 
Aleikum salaam....karibu mpaka ndani. Jisikie uko nyumbani....kaa usubiri futari...
 
Aleykum Islamu :), karibu sana yakhe jamvini, jisikie uko nyumbani kabisa.
 
Wa-Salaam Aleikum sana, mabibi na mabwana
Waungwana hata watwana, jamvini mnaofana
Wembamba na wapana, wajuvi wa karakana
Ndimi Al-Watan Nyeti, ziso vyeti
Mtanzania burushi wa ki-sovieti
Najitambulisha kwa beti, mnifungulie geti
Nipate wasaa jamvi hili wakuketi
Siku hizi mambo neti, kwa kasi kama ya jeti
Tangu hisabati za seti, wazi wala haziteti
Alif mpaka zeti, nzuri kama alizeti,

N'shaperuzi makini na sasa nawaingia
kabla miluzi ju-chini vina nitawaimbia
Mpate kuburudika, mashairi yalopikwa
Kama tunda hakika si la kupepe vundikwa
Tarakimu na methali vionjo vya kupashana
Midahalo maridhali yenda kwa kupatana
Au kupingana hoja, pasipo tashtiti moja
Na kurusha maambizo pasipo kungoja ngoja
Ukakamavu kisoja, bila kuleta vihoja
Kwa kasi isochoja, hatari kama Kamboja

Hodi hodi wanabodi

Aleikum salamu, salam twaitikia
Mgeni wetu Adhimu, leo umetufikia
Ni Swahiba Akiramu, mbali ametokea
karibu mgeni karibu, tuambie tusio yajua

Kwa jina lake Rahimu, ndugu yetu karibia
Ndani ya hii forumu, mengi twatarajia
Nikadiri kukhitimu, hayo ulokusudia
karibu mgeni karibu, tuambie tusio yajua

Amekuja ana hamu, baada ya kutuangalia
leo ametema sumu, ile ilomwingia
Amekuja na Ilimu, ilimu tusio ijua
karibu mgeni karibu, tuambie tusio yajua

Karibu wetu mgeni, kwa hamu twakupokea
Ajuaye ni manani, siri na yako nia
Sisi zetu mboni, kilicho moyoni wakijua
karibu mgeni karibu, tuambie tusio yajua

Haya wana foramu , mgeni ashaingia
Aje na yake hamu, twasubiri kwa nia
Ulonayo muhimu, tupe tupate ridhia
karibu mgeni karibu, tuambie tusio yajua
 
Wa-Salaam Aleikum sana, mabibi na mabwana
Waungwana hata watwana, jamvini mnaofana
Wembamba na wapana, wajuvi wa karakana
Ndimi Al-Watan Nyeti, ziso vyeti
Mtanzania burushi wa ki-sovieti
Najitambulisha kwa beti, mnifungulie geti
Nipate wasaa jamvi hili wakuketi
Siku hizi mambo neti, kwa kasi kama ya jeti
Tangu hisabati za seti, wazi wala haziteti
Alif mpaka zeti, nzuri kama alizeti,

N'shaperuzi makini na sasa nawaingia
kabla miluzi ju-chini vina nitawaimbia
Mpate kuburudika, mashairi yalopikwa
Kama tunda hakika si la kupepe vundikwa
Tarakimu na methali vionjo vya kupashana
Midahalo maridhali yenda kwa kupatana
Au kupingana hoja, pasipo tashtiti moja
Na kurusha maambizo pasipo kungoja ngoja
Ukakamavu kisoja, bila kuleta vihoja
Kwa kasi isochoja, hatari kama Kamboja

Hodi hodi wanabodi
Karibu jamii forums.

Wewe ni Me au Ke?

Weka picha.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kiranga una mbwembwe..
Wa-Salaam Aleikum sana, mabibi na mabwana
Waungwana hata watwana, jamvini mnaofana
Wembamba na wapana, wajuvi wa karakana
Ndimi Al-Watan Nyeti, ziso vyeti
Mtanzania burushi wa ki-sovieti
Najitambulisha kwa beti, mnifungulie geti
Nipate wasaa jamvi hili wakuketi
Siku hizi mambo neti, kwa kasi kama ya jeti
Tangu hisabati za seti, wazi wala haziteti
Alif mpaka zeti, nzuri kama alizeti,

N'shaperuzi makini na sasa nawaingia
kabla miluzi ju-chini vina nitawaimbia
Mpate kuburudika, mashairi yalopikwa
Kama tunda hakika si la kupepe vundikwa
Tarakimu na methali vionjo vya kupashana
Midahalo maridhali yenda kwa kupatana
Au kupingana hoja, pasipo tashtiti moja
Na kurusha maambizo pasipo kungoja ngoja
Ukakamavu kisoja, bila kuleta vihoja
Kwa kasi isochoja, hatari kama Kamboja

Hodi hodi wanabodi
 
Noo siwez amini kua hawa ni watu wawili tofauti kamwee..
Noo siwez amini kua hawa


ni watu wawili tofauti kamwee..


BTW. Naomba unipatie Link ya hizo nyuzi

nikajisomee..
hii jingle yao ndiyo imekuchanganya?>
ugu zanguni wajuvi, wadadisi nawengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda waviunga vya bandari iso salama, Kiranga waupande wa Mbwamaji, Kiranga waMkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisijunikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
ugu zanguni wajuvi, wadadisi nawengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda waviunga vya bandari iso salama, Kiranga waupande wa Mbwamaji, Kiranga waMkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisijunikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
ugu zanguni wajuvi, wadadisi nawengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda waviunga vya bandari iso salama, Kiranga waupande wa Mbwamaji, Kiranga waMkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisijunikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
ugu zanguni wajuvi, wadadisi nawengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda waviunga vya bandari iso salama, Kiranga waupande wa Mbwamaji, Kiranga waMkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisijunikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
ugu zanguni wajuvi, wadadisi nawengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda waviunga vya bandari iso salama, Kiranga waupande wa Mbwamaji, Kiranga waMkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisijunikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa


BTW. Naomba unipatie Link ya hizo nyuzi nikajisomee..
Jingle zao zinafanana kweli! Cheki Kiranga alivyoingia>
Ndugu zanguni wajuvi, wadadisi na wengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda wa viunga vya bandari iso salama, Kiranga wa upande wa Mbwamaji, Kiranga wa Mkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisiju nikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
Ndugu zanguni wajuvi, wadadisi na wengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda wa viunga vya bandari iso salama, Kiranga wa upande wa Mbwamaji, Kiranga wa Mkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisiju nikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
Ndugu zanguni wajuvi, wadadisi na wengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda wa viunga vya bandari iso salama, Kiranga wa upande wa Mbwamaji, Kiranga wa Mkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisiju nikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
Ndugu zanguni wajuvi, wadadisi na wengineo,
Mie ndugu yenu Kiranga cha Ngeda wa viunga vya bandari iso salama, Kiranga wa upande wa Mbwamaji, Kiranga wa Mkuranga,kakae Muamini na mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.

Mara nilivyotoka pande za Msanga Kisiju nikaambiwa ukishangaa maajabu ya Rufiji gari kupita juu ya mto hutafika Utete wala Mpwapwa, zaidi ya hapo maendeleo siku hizi yako huku bandari iso salama kwenye majumba yaliyopandiana, nikachungulia nikaona kweli mnafaudu, hata Mbagala na Charambe tu harufu wanaisikia, na mimi nikaona niombe kugonga hodi hodi mnikaribishe mlionitangulia.Nisambe nimenyimwa maji wakati kisima chatitiri.

Salamu sana kutoka Msanga Kisiju, Kilwa Pande, Kilwa Kivinje, Kilwa Kisiwani, Songo Songo, Somanga, Muhoro mpaka pande za Sala Sala na Mkuranga.Ningewatumia pepeta na mabumunda ya motomoto lakini nimeambiwa humu naweza kutuma picha tu, na mie kamera sina, labda siku nyingine wakija wapima viwanja na midarubini yao ile nitawaomba wanipige picha niiweke muone ninavyofukuzana na ngedere na kima. Sasa niage nikimbilie kuangalia hesabu za minazi maana wakwezi na komba hawakawii kumuadhiri mwenzenu huku. Baada ya hapo mkiniona kimya mjue safari ya Mafia imewadia.

Natanguliza ungo wa shukurani

Kwa leo ni hayo tu,

Wasalaam,

Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa
Noo siwez amini kua hawa ni watu wawili tofauti kamwee..

BTW. Naomba unipatie Link ya hizo nyuzi nikajisomee..
 
Back
Top Bottom