WA IRAN NA WA OMAN wafanya ufisadi wa ardhi Tanzania!

The Quonquerer

JF-Expert Member
May 14, 2009
777
111
Jamani nimepata tetesi kuwa Iran inatarajiwa kupewa hekta laki na ishirini mkoa wa Pwani ku - swap na deni la mafuta wanalotudai na tayari walishapewa hekta 5000 huko Mkuranga kwa kupitia kwa wakubwa licha ya watalaam wa kilimo na chakula kupinga jambo hilo kwa sababu linakiuka utaratibu wa TIC wa ubia!

Na nasikia wa Iran wameshashusha vitu fulani kwa wakulu kwa ajili ya uchaguzi, sitaki kuvitaja ila ni vya thamani kubwa! Oman nao wanahusishwa kwa mipango hiyo michafu.

Kama kuna mtu ana full nyuzi na data azimwage na tuzimwage upinzani au njia nyingine sahihi angalau tuzime jaribio hili la kutaka tuwe watumwa nchini mwetu! Saa ya ukombozi ni sasa! Muungwana ni vitendo!
 
Hii ni hatari sana - nakumbuka ile mikataba enzi za ukoloni ya mtu kugawiwa eneo lote la ukanda wa pwani!
Kama ni kweli, basi huu ni utumwa wa dhahiri - nadhani deni hili ni lile ambalo RA alipewa hard cash akalipe halafu hakulipa!
 
Very easy to solve. Lakini itakuwa easy tu kama Slaa akiwa raisi...
 
Umepata tetesi,fanya utupatie habari zilizokamilika.Sidhani kama ni busara kujadili tetesi.
 
Mkuu umewaona/umewasikia hao tu? mbona wako wengi tumeshawakatia ardhi yetu mkuu. Nenda Kilombero ukaone jamaa walivyokatiwa nchi,na si Wairan au wale jamaa waliowakimbiza Wasangu pale Mbeya. Mkuu ukienda mikoani utalia. wale jamaa waliokimbizwa Zimbabwe na kuja Bongo unajua wanafanya nini na wapi.

Inatisha na kukatisha tamaa,inauma na kukera mno. Mswahili ukiomba eka mbili tu ni vikwazo hadi basi. Tuamkeni jamani.
 
Anyway, kama kuna yeyote mwenye kujua mizizi ya hii dhuluma aiweke hapa, ili uhakika uwepo na tuweze kuangalia ni jinsi gani tunaweza kupambana nalo ili kunusuru ardhi ya TZ.

Angalizo - " lisemwalo lipo, kama halipo laja "
 
Wairan na Waoman ni wawekaezaji kama walivyo wengine kama vile waingereza, wamerakani, wasweden wapo kwa mujibu wa sheria za uwekezaji..kama humpendi mu-irani fanya hivyo hivyo kwa wazungu..usiwe mnafiki mfano:-

Huko Arusha asilimia 70% ya makampuni ya uwindaji wa rasilimali yetu katika hifadhi ni "Waingereza".. hao ni wawekezaji? Wazungu

Huko Pangani wamepokanya almost wilaya nzima wakorea kusini kilimo kwanza..waasia weupe

Sijaona tatizo la wairan unless una matatizo yako binafsi na sura zenye uislamu ..period

Sheria ichungulie kwanza proportinality ya wazungu wanaovuna kwenye migodi, ardhi, uwindaji, etc ..wao sawa wairan balaa ..double standards zitawamaliza? wabongo.
 
Wairan na Waoman ni wawekaezaji kama walivyo wengine kama vile waingereza, wamerakani, wasweden wapo kwa mujibu wa sheria za uwekezaji..kama humpendi mu-irani fanya hivyo hivyo kwa wazungu..usiwe mnafiki mfano:-

Huko Arusha asilimia 70% ya makampuni ya uwindaji wa rasilimali yetu katika hifadhi ni "Waingereza".. hao ni wawekezaji? Wazungu

Huko Pangani wamepokanya almost wilaya nzima wakorea kusini kilimo kwanza..waasia weupe

Sijaona tatizo la wairan unless una matatizo yako binafsi na sura zenye uislamu ..period

Sheria ichungulie kwanza proportinality ya wazungu wanaovuna kwenye migodi, ardhi, uwindaji, etc ..wao sawa wairan balaa ..double standards zitawamaliza? wabongo.

anachopinga mtoa mada ni UKIUKWAJI WA TARATIBU ZA TIC NA UBIA na sio nani kapewa........na vilevile mtoa mada anasema hao WAIRAN wameshusha vitu fulani kwa WAKULU[rushwa??] kwa ajili ya uchaguzi.......bado hujaona tatizo hapo??
BTW ww ndio unaonyesha mdini kwa jinsi uivyojibu hii mada.kuna maswali mengi tu yakumuuliza mleta mada kabla ya kurukia hoja ya udini.
 
Thibitisha tetesi zako

Jamani nafanya jitihada, kulileta hapa maana yangu tushirikiane. Kuna mtu anaweza kuwa na data kamili! Vita ya ufisadi ya mtu mmoja, ni kwa faida yetu wote. Ila mwaka huu, we have to reward Dr. Slaa, Mwalimu Nyerere mwingine ameingia jamani!!!!!!! Uwiiiiiiiiii!!!Go go go Dr!!!!!!!!!!!!!!!!
 
ASema usiogope.
uzalendo ni utayari wa kuitetea nchi yako kwa kila hali.
Jamani nimepata tetesi kuwa Iran inatarajiwa kupewa hekta laki na ishirini mkoa wa Pwani ku - swap na deni la mafuta wanalotudai na tayari walishapewa hekta 5000 huko Mkuranga kwa kupitia kwa wakubwa licha ya watalaam wa kilimo na chakula kupinga jambo hilo kwa sababu linakiuka utaratibu wa TIC wa ubia!

Na nasikia wa Iran wameshashusha vitu fulani kwa wakulu kwa ajili ya uchaguzi, sitaki kuvitaja ila ni vya thamani kubwa! Oman nao wanahusishwa kwa mipango hiyo michafu.

Kama kuna mtu ana full nyuzi na data azimwage na tuzimwage upinzani au njia nyingine sahihi angalau tuzime jaribio hili la kutaka tuwe watumwa nchini mwetu! Saa ya ukombozi ni sasa! Muungwana ni vitendo!
 
Jamani nafanya jitihada, kulileta hapa maana yangu tushirikiane. Kuna mtu anaweza kuwa na data kamili! Vita ya ufisadi ya mtu mmoja, ni kwa faida yetu wote. Ila mwaka huu, we have to reward Dr. Slaa, Mwalimu Nyerere mwingine ameingia jamani!!!!!!! Uwiiiiiiiiii!!!Go go go Dr!!!!!!!!!!!!!!!!


Watu wengine mnashanga eti Mwalimu Nyerere mwengine ameingia ,hivi huono kama Nyerere ametudumaza ? Watu wanapata uhuru juzijuzi na wameshatupita na wengine hata kombe la dunia wamechezesha ? Naweza kusema Nyerere ameweza kwa 100% kuifanya stability hapa Tz na kuifanya kuwa nchi moja yenye kupigiwa mfano kwa kuwepo kwa amani ndani baina ya wananchi wake ,ila siku hizi mambo yameanza kuharibika.
Nyerere alikuwa mpigania uhuru ameshapigania tumeupata na yeye amekwenda zake ,sasa hatupiganii tena uhuru hivyo hatuhitaji Nyerere mwengine ,we vipi ???
 
Watu wengine mnashanga eti Mwalimu Nyerere mwengine ameingia ,hivi huono kama Nyerere ametudumaza ? Watu wanapata uhuru juzijuzi na wameshatupita na wengine hata kombe la dunia wamechezesha ? Naweza kusema Nyerere ameweza kwa 100% kuifanya stability hapa Tz na kuifanya kuwa nchi moja yenye kupigiwa mfano kwa kuwepo kwa amani ndani baina ya wananchi wake ,ila siku hizi mambo yameanza kuharibika.
Nyerere alikuwa mpigania uhuru ameshapigania tumeupata na yeye amekwenda zake ,sasa hatupiganii tena uhuru hivyo hatuhitaji Nyerere mwengine ,we vipi ???
Nakubaliana na wewe. Hata wewe unajua kwamba uhuru tulishapata, kwa hiyo vita kubwa ni ya ufisadi na Dr. Slaa mpaka sasa hivi ndiye Mtanzania pekee anayeonekana kuwa na uwezo wa kupambana na tumuunge mkono kwa hilo. CCM ya Nyerere si ya sasa hivi. Yaani kila zama na kitabu chae! Aluta continua!
 
Sasa kumbe unaleta tetesi ili mwaka huu tuweze kumreward Dr.Slaa! Nani unadhani anaweza kutupa data kamili?KAm unataka kumweka Dr.Slaa madarakani si lazima kuleta tetesi kwani sifa zake zinajulikana.
 
ngoja tusubiri waanze maendeleo ya hayo maeneo then tuconfirm hizi news tusipende kua watu wa ku sensitionalize issues unnecessarily.
 
Jamani nimepata tetesi kuwa Iran inatarajiwa kupewa hekta laki na ishirini mkoa wa Pwani ku - swap na deni la mafuta wanalotudai na tayari walishapewa hekta 5000 huko Mkuranga kwa kupitia kwa wakubwa licha ya watalaam wa kilimo na chakula kupinga jambo hilo kwa sababu linakiuka utaratibu wa TIC wa ubia!

Na nasikia wa Iran wameshashusha vitu fulani kwa wakulu kwa ajili ya uchaguzi, sitaki kuvitaja ila ni vya thamani kubwa! Oman nao wanahusishwa kwa mipango hiyo michafu.

Kama kuna mtu ana full nyuzi na data azimwage na tuzimwage upinzani au njia nyingine sahihi angalau tuzime jaribio hili la kutaka tuwe watumwa nchini mwetu! Saa ya ukombozi ni sasa! Muungwana ni vitendo!
Sijaelewa hilo deni la Mafuta....!! maana tujuavyo mafuta yote huwa tunalipia huu uwendawazimu wa kusema tunadaiwa ni upuuzi usiokubalika.... hata mjinga hawazi kubaliana na hili.... hao waliochukua mafuta ya Iran ndio walipe hilo deni msituletee uchifu mangungu karne hii ya sasa
 
Ndio maana wanang'ang'ana kuichakachua katiba mpya ili wakitoka madarakani tusiwezi kuwatia kitanzi....
 
Back
Top Bottom