The Quonquerer
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 777
- 111
Jamani nimepata tetesi kuwa Iran inatarajiwa kupewa hekta laki na ishirini mkoa wa Pwani ku - swap na deni la mafuta wanalotudai na tayari walishapewa hekta 5000 huko Mkuranga kwa kupitia kwa wakubwa licha ya watalaam wa kilimo na chakula kupinga jambo hilo kwa sababu linakiuka utaratibu wa TIC wa ubia!
Na nasikia wa Iran wameshashusha vitu fulani kwa wakulu kwa ajili ya uchaguzi, sitaki kuvitaja ila ni vya thamani kubwa! Oman nao wanahusishwa kwa mipango hiyo michafu.
Kama kuna mtu ana full nyuzi na data azimwage na tuzimwage upinzani au njia nyingine sahihi angalau tuzime jaribio hili la kutaka tuwe watumwa nchini mwetu! Saa ya ukombozi ni sasa! Muungwana ni vitendo!
Na nasikia wa Iran wameshashusha vitu fulani kwa wakulu kwa ajili ya uchaguzi, sitaki kuvitaja ila ni vya thamani kubwa! Oman nao wanahusishwa kwa mipango hiyo michafu.
Kama kuna mtu ana full nyuzi na data azimwage na tuzimwage upinzani au njia nyingine sahihi angalau tuzime jaribio hili la kutaka tuwe watumwa nchini mwetu! Saa ya ukombozi ni sasa! Muungwana ni vitendo!