VVU haionekani baada ya kupima tena

Naboti

Senior Member
Apr 17, 2015
189
48
Nina shangaa kuna jirani yangu alikuwa na VVU miaka mitano imepita akawa bado hajaanza kutumia dawa kwa kuwa CD4 hazijashuka.

Ila cha kutushangaza ni kwamba kapimwa na madaktari kuangalia kama CD4 zimeshuka wamuanzishie dozi wanashangaa kukuta hana VVU tena.

Sasa wadau hapo ni nini? Kwamba huyo jamaa ana kinga sana hadi kapona? Au nini Kwa wataalamu wetu wa afya msaidie hapo.
 
Jirani yako alienda kupima miaka mi5 ilopita...maswali je ulienda nae kupima au alivotoka kupima akakwambia kuwa yeye ni HIV+!!? Mmhh labda kama sio Tanzania, manake hapa nchini huu ugonjwa bado unakuwa refered kama ugonjwa wa 'aibu' coz of ignorance among us! Elezea vizuri scenario mkuu, au ni wewe!!??
 
Sio hivyo jamani wadau wangu mi niko kwa jamii so nilishangazwa kuona mwenye virusi ambaye mtaa mzima tunamjua leo hii kapima hana?
 
Mimi ninazo Dawa za kutibu HIV na ukapona na utakwenda kupima Hospitaliwatakuta upo HIV Negative
Mkuu kama hii dawa unayo kwanini usiitangaze??? Unadhan wangapi wanakufa kwa kukosa dawa??? Marekani na Ulaya wameshindwa kwanini wewe usiitangaze au ukapeleka wizara husika ili uokoe watu???
 
Mkuu kama hii dawa unayo kwanini usiitangaze??? Unadhan wangapi wanakufa kwa kukosa dawa??? Marekani na Ulaya wameshindwa kwanini wewe usiitangaze au ukapeleka wizara husika ili uokoe watu???
Nimesha sema hivyo kuwa kama kuna mtu yuko HIV Positive anione au kama kuna mtu anayo Maradhi ya Kansa yoyote ile ninatibu au kama kuna Mtu anayo Maradhi ya Hepatit B ninatibu pia kazi kwenu
 
Hapa ndio namkumbuka Deception

Ha haaa utanisaidia kusambaza uelewa kwenye uzi huu.

Lakini pamoja na mkanganyiko huu watu wanajifanya kama hawaoni tatizo na kuendelea kung'ang'ania fikra zao potofu za kizamani bila hata kujiuliza.Wengine wanatangaza dawa yake wakiamini kwamba kweli kuna HIV na wanaamini kwamba HIV anasababisha AIDS.Huwa nasikitika sana ninapoona jamii kama hii ya watu wasiokuwa na hata chembe ya akili ya kujiuliza wakati wao wenyewe wanaona mikanganyiko hiyo.

Wanapoona mikanganyiko kama hii kitu kikubwa wanachoweza kukifanya ni kujifariji kwa kujisemea eti "labda vipimo vilikosea" au "labda amedanganya" au "hamna kitu kama hicho".

Waliotudanganya wamefanikiwa sana kwenye kitengo cha 'MIND CONTROL'.Na hii ndio sababu kubwa ya mafanikio ya biashara ya ARVs na biashara zao nyingine kama CANCER,DIABETES nk.

Ushauri wangu mkubwa kwa watu ni kwamba tupende kudadisi kila jambo hasa mambo yanayohusu afya zetu kama haya.Vinginevyo tutabaki kwenye utumwa huu wa kiakili mpaka mwisho wa nyakati.
 
Naboti hii si scenario ni kitu cha kutunga.tutumue hayo najibu ya awali na ya sasa.tutakusaidia majibu vizur
 
Sio hivyo jamani wadau wangu mi niko kwa jamii so nilishangazwa kuona mwenye virusi ambaye mtaa mzima tunamjua leo hii kapima hana?

Ulikuwa na ushahidi gani kuthibitisha alikuwa na vvu? unadhani wataalam wanapokwambia upime vituo vitatu tidauti wana maana gani?
 
Mkuu Deception nakuelewa sana lakini naomba ufafanuzi juu ya jambo moja..ni kwa nini katika couple nyingi ukikuta mmoja ni +ve na mwenzie akipima nakutwa +ve na kinyume chake,ingawa kuna case chache ndio hua ni tofauti...yani kwenye familia baba akifa kwa ukimwi na mama atakufa kwa ukimwi hizi case ni nyingi sana mitaani na tunazishuhudia kila siku sasa hii inakuaje na wewe unasema h.i.v haipo na haisababishi ukimwi?na ukimwi hausababishwi kwa njia ya ngono.Naomba kueleweshwa.
 
Last edited by a moderator:
ukimwi ni uleule Chambo81 hakuna kilichobadilikaaa. maambukizi ni yaleyale usidanganyike
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Naboti inawezekana ukimwi ni ule ule na maambukizi ni yale yale lakini possibly kuna tatizo kwenye suala la kirusi au vipimo vinavyopima uwepo wa kirusi sababu haiwezekani mtu mmoja akapima h.i.v positive leo then baada ya muda akapima h.i.v negative kama unavyoshuhudia kwa huyo jirani yako na shuhuda hizo tunazo nyingi mitaani kwa hiyo tunahitaji kufikiri nje ya box katika suala hili...afadhali huyo jirani yako alikua na subira mpaka anakuja kupima tena anaonekana yupo negative sasa fikiria watu wangapi wamejiua au kuingia kwenye ulevi wa kupindukia na hatimae kifo kinamkuta kwa maradhi yatokanayo na ulevi baada ya kukuta wapo positive kwa mujibu wa vipimo visivyo na uhakika.
 
Mkuu Deception nakuelewa sana lakini naomba ufafanuzi juu ya jambo moja..ni kwa nini katika couple nyingi ukikuta mmoja ni +ve na mwenzie akipima nakutwa +ve na kinyume chake,ingawa kuna case chache ndio hua ni tofauti...yani kwenye familia baba akifa kwa ukimwi na mama atakufa kwa ukimwi hizi case ni nyingi sana mitaani na tunazishuhudia kila siku sasa hii inakuaje na wewe unasema h.i.v haipo na haisababishi ukimwi?na ukimwi hausababishwi kwa njia ya ngono.Naomba kueleweshwa.

UKIMWI:

Kwanza kabisa lazima ufahamu kwamba Ukimwi na VVU/Ukimwi ni mambo mawili tofauti kabisa;

Ukimwi ni kifupi cha upungufu wa kinga mwilini,kila mtu anaweza kuwa na ukimwi nyakati mbalimbali za maisha yake na baadaye kinga yake inarudi 'normal' pengine hata bila mwenyewe kutambua,mwili hujirekebisha wenyewe kwa namna mbalimbali kama vile kwa kutumia virutubisho vya chakula kama mtu mwenyewe anatabadili namna au style yake ya maisha kwenye vyakula,pombe kali,madawa ya kulevya,kuacha kutumia madawa ya hospitali mara kwa mara pasipo sababu za msingi,kunywa maji safi na salama na kufanya mambo yote muhimu ambayo yanaendana na asili ya mwanadamu.

Hivyo Ukimwi si tatizo na wala si jambo la kutisha,ukimwi unaonekana unatisha kutokana na matangazo ya muda mrefu kwenye media yanayoambatana na picha za kutisha za kutunga bila watu kujua vyanzo halisi vya picha hizo ni nini.Propaganda za muda mrefu za kupindua ukweli wa kisayansi ili kuwadanganya wajinga walio wengi hasa nchi masikini kama kama za kiafrika.Hivyo basi,sababu zinazosababisha ukimwi si HIV/VVU kama tulivyoambiwa huko nyuma bali ukimwi husababishwa na lifestyle/aina ya maisha tunayoishi.

HIV/VVU:

HIV(HUMAN IMMUNODEFICIENCY VIRUS) ni jina la kibiashara alilopewa RETROVIRUS ambalo linaakisi kwamba RETROVIRUS huyo ana uwezo wa kusababisha ukimwi.VVU(Virusi Vinavyosababisha Ukimwi),ukweli ni kwamba hakuna kirusi yoyote duniani ambaye anafahamika na mwanadamu hadi sasa mwenye uwezo wa kusababisha ukimwi.Hii ndio sayansi ya kweli kutoka kwa wanasayansi wa kweli wenye ethics za kweli za kisayansi.Wanasayansi wazandiki wenye roho za kinyama na wenye lengo la kibiashara zaidi ambao hawana hata chembe ya huruma wamekiuka ethics za kweli za kisayansi ili kujipatia fedha zisizohesabika kwenye biashara hii ya ARVs na dawa zinazoambatana nazo.Kuna vithibitisho visivyohesabika kuonesha kwamba huyo HIV hanayupo bali kuna RETROVIRUS na Retrovirus huyu hana uwezo wa kusababisha ukimwi.Wanasayansi hawa waliotudanganya wakiongozwa na kina R.Gallo na Anthony Faucci wa CDC hawana hata uthibitisho mmoja kuonesha kwamba HIV anasababisha ukimwi.Kuna mdau mmoja ametoa link ya uzi mmoja hapo juu,watu wanaweza kuusoma kama wana nia ya kuelewa haya ninayosema.

HIV TEST/VIPIMO VYA VVU:

Vipimo vya HIV/VVU ndio marketing department ya ARVs,hapa ndipo wanapatia wateja wao wa ARVs,bila vipomo hivi hawana njia nyingine ya kupata wateja wa ARVs.Sasa kwa kuwa vipimo ndio kitengo muhimu kinachowapatia wateja,wametumia sayansi ya hali ya juu kudanganya watu ili waone kwamba kweli vipimo vinapima HIV.Ukweli usiopingika ni kwamba vipimo hivi havipimi HIV kama watu wanavofikiri.Vipimo hivi vimetengenezwa ili ku detect uwepo wa protini fulani ambazo wamedanganya watu kwamba protini hizo zinazalishwa na HIV ilihali kuna sababu lukuki kwenye mwili wa mwanadamu ambazo zinaweza kuzalisha protini hizo,sasa kama mwili wako utazalisha protini hizo wakati fulani kutokana na sababu fulani basi kama utapima wakati huohuo utaonekana una HIV,lakini muda fulani ukipita na sababu hizo zikitoweka na ukapima tena utaonekana ni HIV-(huna HIV).Watu wengi hawajui ukweli huu masikini,wanadanganywa huku wakiweka imani zao kwa hawa miungu watu bila hata kuhoji mikanganyiko inayojitokeza.Baadhi ya sababu zinazoweza kuzalisha protini hizo mwilini ni kama vile magonjwa kama malaria,TB,Pneumonia na mengine lukuki zaidi ya 50,Hofu/msongo wa mawazo,mimba kwa wanawake nk.Fuatilia uzi uliotolewa hapo juu kwa maelezo zaidi.

Hivyo basi,mtu yeyote anaweza kupimwa HIV+ wakati wowote na anaweza kupimwa HIV- wakati wowote bila kujali kama alishawahi kufanya ngono katika maisha yake au la,bila kujali kama aliwahi kuwa katika mazingira hatarishi au la.Vipimo vya HIV ni feki na vimetengenezwa kwa ujanja mkubwa wa kisayansi ili kurubuni akili za watu kwa lengo la kupata wateja wa ARVs.Kwa hiyo vipimo vya HIV ni upuuzi tu.

ARVs:

ARVs zinaelezwa kuwa ni dawa za kupunguza makali ya ukimwi,he he heeeee!,nacheka kwa sababu najua ukweli,ukweli ndio unanifanya nione kwamba ARVs ni kichekesho na wakati mwingine huwa nasikitika,nasikitika kwa kuwa ARVs ndio MWIBA wenyewe ambao unasababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.Yaani hawa jamaa wameturubuni akili tujue kwamba HIV ndio tatizo kumbe tatizo ni ARVs.Ukifuatilia kwa karibu watu wanaoteseka na magonjwa ambayo sisi tumeambiwa ndio ukimwi utagundua kwamba sababu za magonjwa yao zinatokana na matumizi ya ARVs.Nawaasa watu wafanye utafiti wao,wasikimbilie kupinga.

Watu wanaotumia ARVs ambao wamefikia hatua za mwisho huwa wana matatizo yafuatayo;

1.Matatizo ya moyo
2.Matatizo ya Ini
3.Matatizo ya Figo
4.Cancer/saratani yoyote ile,kina mama mara nyingi hupata saratani ya kizazi.Na ndio maana NGO nyingi zinazojishughulisha na mambo ya ukimwi zimeanzishiwa kitengo cha cervical cancer.Hii sio coincidence/bahati mbaya,wameona kwamba kinamama wengi wanaotumia ARVs husumbuliwa na cancer hii,sasa cancer hii husababishwa na ARVs.
5.Anaemia/upungufu wa damu.Najua wengi mmeshawahi kusikia hata kama hamjaona,kwamba wagonjwa wengi wanaotumia ARVs huongezewa damu mara kwa mara,msiniambie kwamba HIV ndio ananyonya damu zao maana mtanifanya nicheke siku nzima na kuwasikitikia kwa kukosa maarifa.

6.Kisukari/Diabetes, mara chache.

Nisingependa watu wapinge,bali wafanye utafiti wao wenyewe,ni rahisi sana,tembeleeni vituo vya afya.Hebu onesheni utu,bebeni chakula kidogo na mwende kutembelea wagonjwa hasa wale mlioambiwa kuwa wana HIV mahospitalini,halafu fanyeni uchunguzi wenu huko,mtanielewa.

Hivyo basi,ukiona familia nzima inakufa kwa ugonwa mmoja,na ukaamua kufanya uchunguzi wa kina lazima utapata jibu sahihi ambalo linalingana kabisa na maelezo haya.Watu wanaelemea upande mmoja kwamba baba HIV+,mama HIV+,mtoto HIV+, lakini hawaangalii familia nyingine ambazo ndio nyingi zaidi ambapo utakuta baba HIV+,mama HIV- na mtoto HIV- au kinyume chake ilimradi kuwe na changanyiko wa HIV+ na HIV-.Hapa ndipo utakapoona kwamba kupima HIV+ au HIV- ni ujanja wa vipimo tu.Vipimo havipimi virusi bali hupima protini fulani kama niliyoeleza mwanzo.

Sasa swali la kujiuliza,kwa nini hawapimi HIV kwa muonekano kama ilivyo kwenye TB,malaria,Typhoid nk?Najua watasema HIV ni mjanja,haonekani kirahisi,hujificha.He he heee,yaani HIV ni mjanja na ana akili,anajua kwamba sasa napimwa ngoja nijifiche.Sasa tujiulize,kama haonekani kirahisi je,ile picha yake kwenye vitabu waliipata wapi?Watakwambia HIV anaweza kuonekana kwa kufanya process ndefu za kimaabara ambazo ni ngumu kuzifanya kwa mgonjwa.Sasa ukitaka kujua kwamba wanachosema ni uongo,uliza tena kwa kuomba upatiwe electronics micro graphs za huyo HIV baada ya kuonekana huko kwenye maabara zao,HAWANA,ha haaa haaa! Sasa jiulize,picha zile za HIV mwenye shape ya ajabu ya kutisha wameipata wapi?

Hebu muulize daktari yeyote ambaye unamjua na unamwamini kwamba ana uwezo mkubwa.Muulize kama alishawahi kumwona HIV kwa kutumia chombo chochote cha ki maabara katika maisha yake yote ya udaktari,atakwambia HAJAWAHI,ha ha haaa!Sasa jiulize wanapima nini sasa?

Mtu yeyote akifungua akili yake kidogo tu,lazima atauona ukweli huu.Vinginevyo nitaendelea kusema kwamba wakubwa hawa wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa katika kitengo chao cha MIND CONTROL.
 
ukimwi ni uleule Chambo81 hakuna kilichobadilikaaa. maambukizi ni yaleyale usidanganyike

Wewe ndiye uliyeleta uzi huu,lakini bado unaonekana una mawazo yaleyale ya zamani.Nilitegemea jambo hili ndilo lingekufanya uanze kudadisi kuhusu tatizo hili.Labda nikuulize;

Wewe ndiye uliyeleta mada hii kwa lengo la kutafuta jawabu,je,umeshapata jibu lake? au tuseme mungu ameonesha miujiza kwa huyo jirani yako? au vipimo vilikosea mwanzo? au vipimo vimekosea sasa?
 
Hebu muulize daktari yeyote ambaye unamjua na unamwamini kwamba ana uwezo mkubwa.Muulize kama alishawahi kumwona HIV kwa kutumia chombo chochote cha ki maabara katika maisha yake yote ya udaktari,atakwambia HAJAWAHI,ha ha haaa!Sasa jiulize wanapima nini sasa?.
unapotosha watu bwana,HIV ipo na inasababisha UKIMWI,kwani we unajua UKIMWI umeanza lini na ARV's zimeanza lini?
Huna ndg aliyekufa kwa UKIMWI uliosababishwa na HIV?
 
unapotosha watu bwana,HIV ipo na inasababisha UKIMWI,kwani we unajua UKIMWI umeanza lini na ARV's zimeanza lini?
Huna ndg aliyekufa kwa UKIMWI uliosababishwa na HIV?

Naomba ujibu swali la mleta mada/aliyeanzisha uzi huu hapo chini.Ukishajibu ndio nitajua kama napaswa kujadiliana na wewe au la.

Nina shangaa kuna jirani yangu alikuwa na VVU miaka mitano imepita akawa bado hajaanza kutumia dawa kwa kuwa CD4 hazijashuka.

Ila cha kutushangaza ni kwamba kapimwa na madaktari kuangalia kama CD4 zimeshuka wamuanzishie dozi wanashangaa kukuta hana VVU tena.

Sasa wadau hapo ni nini? Kwamba huyo jamaa ana kinga sana hadi kapona? Au nini Kwa wataalamu wetu wa afya msaidie hapo.
 
mmmm umefafanua hadi naogopa. Thanks for ufafanuzi mzuri, naanza kupata picha ya mambo jinsi yalivyo. Kweli humu JF kuna kila kitu tunachokihitaji, anaebisha aseme tumpige mawe!!!!.
 
mmmm umefafanua hadi naogopa. Thanks for ufafanuzi mzuri, naanza kupata picha ya mambo jinsi yalivyo. Kweli humu JF kuna kila kitu tunachokihitaji, anaebisha aseme tumpige mawe!!!!.

Hakuna mwenye uwezo wa kupinga ukweli huu.Ukweli uliothibitika kuwa ukweli kamwe hauwezi kubadilika kuwa uongo.Ni propaganda pekee ndio inayoweza kufanya ukweli uonekane kuwa uongo kwa muda fulani lakini ukweli huo hubaki kuwa ukweli.

Watu wote wanaojaribu kupinga ukweli huu hawana hoja za kupinga zaidi ya kuleta siasa na kutumia sanaa ya lugha ili kukwepa hoja za msingi kwa lengo la kurubuni akili za wasiojua ukweli huu.Mpaka sasa hakuna aliweza kupingana na hoja hizi na hawezi kutokea mtu yeyote atakayeweza kupinga hoja hizi kwa kuwa hizi ni hoja za kweli,hazipingiki.

1.Historia ya HIV/AIDS sio kweli,ni uongo mtupu.

2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni uongo mtupu,HIV hayupo kiuhalisia,hivyo basi,AIDS haisababishwi na HIV.Hakuna kirusi chochote duniani chenye uwezo wa kushusha kinga ya mtu.

3.Vipimo vya HIV ni feki kupindukia,watu wanajua kwamba vipimo hivi vinapima HIV mwenyewe kwa muonekano, lakini ukweli ni kwamba hupima protini fulani ambazo zinaaminika hutoka kwa huyu HIV feki lakini kuna mambo mengi sana mwilini huweza kuzalisha protini hizo kama mtu atakumbwa na mambo hayo.Ndio maana kupima +ve leo halafu ukaja kupima -ve kesho si jambo la kushangaza.

4.Dawa za ARVs ni biashara kubwa ambayo ndio lengo la kuanzisha uongo huu,hazina faida yoyote mwilini zaidi ya kusababisha AIDS/UKIMWI ambao ndio watu wanauogopa.

Mtiririko wa uongo huu uko hivi kwa kifupi;

-Kwanza, wamekwambia kwamba kuna ugonjwa unaoitwa UKIMWI/AIDS,halafu wamekwambia kwamba UKIMWI unaua na hauna tiba.(Ukimwi hauui,bali ugonjwa halisi unaokuingia baada ya kinga yako kushuka eg TB,ndio unaoua,hivyo ukimwi si kitu cha kuogopa,pia ukimwi ulikuwapo tangu kuumbwa kwa mwanadamu,haujaanza mwaka 1984)

-Pili, wamekwambia kwamba UKIMWI/AIDS husababishwa na virusi viitwavyo HIV.(HIV hayupo kiuhalisia,wamempachika jina hili Retrovirus ili aonekane kwamba ana sifa ya kusababisha ukimwi ilihali sio asili yake)

-Tatu,wamekuaminisha kwamba njia ya kujua kwamba una HIV ni kwa kutumia vipimo vya HIV,na wamekuaminisha ujue kwamba vipimo hivyo vinapima HIV kwa muonekano na vipimo hivyo ni sahihi.Huu ni uongo mkubwa kama nilivyoeleza hapo juu.Kupima kitu HEWA ni ulimbukeni uliopitiliza.

-Nne, baada ya kuonekana una huyu 'HIV' (feki) wamekwambia kwamba dawa pekee inayoweza kumfubaza na kupunguza makali ya ukimwi na kurefusha maisha ni ARVs.(Sasa hapa ndipo kwenye siri kubwa,ARVs baada ya kutumiwa kwa muda fulani husababisha ukimwi na matatizo yale yote yanayoonekana kwa watu ambao tumeambiwa wana HIV)

-Tano,kwa kuwa tayari umeshaaminishwa kwamba una HIV/AIDS,na haiponi,hivyo ukianza kupata matatizo kama vile presha,matatizo ya ini,matatizo ya figo,cancer yoyote,upungufu wa damu,kisukari,kupungua uzito,nywele kudhoofika,pneumonia nk,wewe utajua kwamba HIV ndio ameanza kushika hatamu.Hivi ndivyo ubongo/akili za watu zilivyokuwa manipulated.Yaani akili za watu zimegeuzwa kiasi cha kushindwa kufikiri na kutambua kwamba matatizo haya yote yanasababishwa na ARVs pamoja na dawa zinazoendana nazo.HIV hahusiki hapa hata chembe,na ndio maana kuna watu wasiohesabika wameambiwa wana HIV na hawatumii ARVs lakini wana afya njema zaidi ya miaka 20(najua watakwambia hawa ni carriers,pia huu ni uongo mtupu).


Sasa basi,jiulize maswali yafuatayo:

1.Mbona kuna watu wengi wanaishi pamoja kama mke na mume na wamezaa watoto lakini mmoja +ve ilihali mwingine ni -ve na watoto ni -ve au vinginevyo?

2.Mbona kuna watu wasiohesababika ambao wameambiwa wana HIV lakini hawatumii ARVs na wana afya njema zaidi ya miaka 20?

3.Mbona kuna watu wameacha kutumia ARVs kwa muda mrefu na hawapati matatizo ambayo wale wanaotumia ARVs wanayo?

4.Mbona kuna watu wasiohesabika wana UKIMWI lakini hawana HIV?

5. a/.Je HIV anasababishaje cancer?
b/.Je HIV anasababishaje matatizo ya moyo?
c/.Je HIV anasababishaje kufeli kwa ini?
d/.Je HIV anasababishaje kufeli kwa figo?
e/.Je HIV anasababishaje kisukari?
f/.Je HIV anasababishaje upungufu wa damu/anaemia?

Matatizo haya kamwe hayawezi kusababishwa na HIV kwa namna yoyote ile.Matatizo haya husababishwa na matumizi ya muda mrefu ya ARVs.Soma side effects za mojawapo ya ARV ambayo hutumika mara kwa mara hasa hapa kwetu Tanzania kwenye link hapo chini.ARVs zote zinaleta matatizo,huu ni mfano tu.Side effect hizi ndio MZIZI wa matatizo tajwa hapo juu kama una uelewa kidogo wa sayansi ya mwili.Pia hiyo ni website inatumika na CDC ya wamarekani wenyewe,hivyo taarifa utakayoiona humo haijachakachuliwa na mimi.

https://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient

Athari kubwa ya dawa hizi ni LACTIC ACIDOSIS kwenye damu.Lactic acidosis ndio mzizi wa matatizo yote yaliyotajwa hapo juu.Kinga hushuka,moyo hushindwa kufanya kazi kama kawaida yake,ini huathirika,figo huathirika,uzalishwaji wa damu huathirika,ni rahisi kupata kisukari,chembe hai za mwili hudhoofika kiasi ambacho hata nywele hudhoofika na ngozi hudhoofika.Kama mtumiaji wa ARVs atakuwa anakula sana vyakula vya asili na matunda,huwa na nafasi nzuri ya kuepukana na baadhi ya matatizo haya kwa kuwa vyakula hivyo vitamsaidia kuondoa sehemu ya sumu ya dawa hizo.
 
Back
Top Bottom