YEYE
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 437
- 72
Vurugu zilizofanyika jana na mapema leo zimesababisha watu 235 wakamatwe..Mkurugenzi asema chanzo sio Wamachinga kama habari zinayosambazwa, ila ni kikundi cha watu wametumwa na kushawishiwa kufanya vurugu hz...
Source: Chanel Ten
NB:- Ka habari ndo hz basi nahisi kunachama ki1 kitakuwa kinanyooshewa mkono na policcm
Source: Chanel Ten
NB:- Ka habari ndo hz basi nahisi kunachama ki1 kitakuwa kinanyooshewa mkono na policcm