ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Makamu wa Rais wa Kenya bwana Rigachi amewataka Wanandoa wa Nchi hiyo kuzaa Watoto walau wasiopungua 8 Kwa Kila familia ili kukuza uchumi wa Nchi yake.
Amesema yeye anajilaumu kuwa na Watoto 2 hivyo anawataka Wakenya wasifanye kosa kama Hilo.
Swali
Wasukuma wamekuwa Wakitumia hii mbinu,Ni yapi maoni Yako kuhusu kukuza uchumi Kwa kutegemea idadi ya watu?
View: https://twitter.com/east_facts/status/1711042674684273032?t=efBO188R-p4dB-3negKC9g&s=19
Amesema yeye anajilaumu kuwa na Watoto 2 hivyo anawataka Wakenya wasifanye kosa kama Hilo.
Swali
Wasukuma wamekuwa Wakitumia hii mbinu,Ni yapi maoni Yako kuhusu kukuza uchumi Kwa kutegemea idadi ya watu?
View: https://twitter.com/east_facts/status/1711042674684273032?t=efBO188R-p4dB-3negKC9g&s=19