Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

PASKALI nimesoma andiko lako kwa tafakuri kubwa sana! Unaweza kuwa sahihi kwa sauti yako ya ndani ambayo iko juu ya uwezo wako kuweza kui control.. Lakini tukija kwenye uhalisia wa maandiko kwa imani ya mhusika ni kwamba wafu bado hawajafika peponi bali wote wako kaburini wakisubiri kiama ama mwisho wa dunia ambapo kila mtu atapewa hesabu yake
Mkuu Mshana Jr humu jf kuna baadhi ya members ni authority, wewe ni mmoja wao, hivyo mimi siwezi kubishana na authority yako ila na mimi ni mtu enlightened hivyo nimeona mwanga na ninawajibu wa kuwaangazia na wengine.

Mtu akifa kabla hajazikwa ndio roho yake inatangatanga, akiisha ziko ni roho inakwenda straight hukumuni, na tunahukumiwa kwa mzani wa mema na mabaya, mema yakizidi mabaya unaingia peponi hata kama duniani ulikuwa muuaji!.

Unaanza kutumikia adhabu pale pale na sio kusubiria siku ya hukumu ya mwisho. Siku ya mwisho ya kiama na ufufuko wa miili, miili inayofufuliwa ni ile mili ya roho, na sio miili ya nyama, ukiisha kufa ule mwili wa nyama ukiisharudi mavumbini, ni mavumbi na shughuli yake imeishia hapo!.

Hivyo usidhani mtu akifa leo anasubiri hukumu ya mwisho!. No!. Ukifa leo unaingia kwa pilato leo Leo.
Niliwahi kuandika hapa kwamba zana ya pepo/peponi na Jehanum kuzimu iko pale kaburini, kwamba wale waliotenda mema roho zao ziko pale zimelala kwa utulivu lakini wale waliotenda mabaya (kwa tafsiri yoyote ya ubaya) roho zao zinahamanika na kuhangaika huko na huko, hiyo ndio tafsiri ya kuzimu/jehanum
You are not right on this, ukifa unahukumiwa na adhabu unaanza kuitumikia pale pale, hakuna kusubiria.
Kwa upande wa karma.. Hii sote tunajua haikopeshi.. Tendo kwa tendo ..ubaya kwa ubaya na wema kwa wema.. Hivyo inategemea nani anaamini kwenye nini ndio atamuweka mhusika huko..
Hapa niko na wewe.
Kuna hili la mizania ya haki.. Hili hupimwa kwa matendo ya mtu mabaya na mazuri..Asili ndio huhukumu., hapa si dini bali ni asili, asili itakuchagulia njia yako kutokana na maisha uliyoishi kabla ya kifo
Naounga mkono hoja na hukumu hii ndio hukumu ya karma, kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake. Ukitenda ubaya, ukajuta, ukatubu, ukaomba msamaha, ukatenda mema, unakwenda mbinguni.
Sauti ile niliyosikia, inamaanisha mzani wa JPM, ametenda mema mengi kuliko mabaya, hivyo ameingia mbinguni straight!.
P
 
Makosa gani aliowatendea watanzania, hebu yataje hapa.
Nyinyi watu mnao jaribu kumchafua magu haiitaji akili nyingi kugundua ujuha wenu, inaonyesha wazi Magu aliwakatia mirija sawasawa.
Ushahidi wenu mnao utoa kuhusu ubaya wa magu ni wakijinga na hamna dhamira ya kutetea uovu, vinginevyo mnge mlalamikia mkapa pia kwa vurugu za uchaguzi zanziba.

Mna kaza mafuvu kwa Magu sababu ya ushabiki wa kijinga na wengine nikwaajili ya kutumbuliwa kwa ufisadi na vyeti feki.
Kaa kimya pengine wewe sio Mtanzania kwamba yaliyotokea hujui, Vyeti feki na huo ujinga unasema usifiki kila mtu anategemea vyeti tuu maisha yaende..
 
Utakatifu kaupata wapi? Covid19 ilimkata kauli mpaka akwekwa kwenye induced comatose ili aweze pumulia ventilator. Hiyo nafasi ya kufanya sala ya toba aliipataje?

Pia hakua mkristo wa kweli ndiyo maana alizikwa kichawi huku akiwa amesimamishwa wima ,maziko yake hayakuonyeshwa live kama Nyerere ,Mkapa.

Mwamba aliumiza wengi sana, Kuna Ustaadh mmoja jamaa yetu alikua mnunuzi mkubwa sana wa mchele . Bahati mbaya alikua hajui kusoma au kuandika,alifikia level ya kununua Michele wa zaidi ya B1 kwa msimu wa mavuno. Kuanzia bonde la morogoro mpaka kanda ya ziwa kila msimu.

Mwaka 2020 kaenda bank kutoa pesa ili aendelee na mishe zake kakuta account imepigwa pin. Akaambiwa aende makao makuu dar,kufika kule baada ya mahojiano na kikosi kazi akaambiwa anaiibia Serikali. Wakapiga panga hela wakamuachia m600, karudi mkoani anakuta wamekomba hela zote.

Ustaadh alikufa amekaa saa saba mchana kwa kupata sudden seizure kama kapigwa shoti ya umeme. He was a victim of unyang'anyi wa utawala wa magufuli.

Wanyang'anyi hawatoiona pepo Magufuli akiwemo maana alikua muuwaji pia.
Mkuu waliofanyiwa hivyo nawajua kama wanne hivi na walikuwa smart tuu, mmoja alipata stroke jumla mpaka leo alafu hii misukule yake iliyobaki inatetea sijui ujinga gani..
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?. Why watu wengine waendelee kumshutumu, kumsakama na kumsimanga?. Kwa nini asiachwe ajipumzikie zake kwa amani!. Mtu ameisha tangulia mbele ya haki, kwanini watu waendelee kumsema sema kwa ubaya.

Mimi mwana jf mwenzenu ni Mzee wa Sauti za Ndani "the inner voice", unafanya kitu fulani na mara unasikia sauti from within ikikuambia jambo fulani.

Angalizo kuhusu Abstract Topics.
Issues na mtu akiisha kufa, we all knows what happens to the body, but roho huwa inakwenda wapi, no one knows for sure, hivyo tunategemea mafundisho ya dini zetu.
Kuna sisi dini za wana wa Nabii Ibrahim, Wakristo na Waislamu tumefunzwa kuhusu mbinguni, peponi, ahera, jehanam ya moto wa milele, na kuna siku ya mwisho siku ya hukumu ya mwisho ya kiama atakapo rudi Mwana wa Adamu, ambapo kutakuwa na ufufuko wa miili na uzima wa milele.

Kuna wenzetu wa Buddhism na Hindu ambao ni waumini wa karma, wao wanaamini kwenye after life na incarnation.

Hakuna yeyote awaye yote aliwahi kufa akayashudia hayo na kurejea duniani kututhibitishia mbingu ipo, peponi kupo na motoni kupo, wala waumini wa reincarnation no one can say for sure alikuwa nani before, zaidi ya ushahidi wa deja vu, hakuna uthibitisho wowote wa reincarnation Ila kwa vile na mimi niliishi India, I know for sure karma ipo and it's for real!.
Hivyo hii mada ni mada ya imani, kama wewe huamini, please keep your faith nakuomba usibeze imani za wengine, ukijiona huamini, nakuomba jipitie zako kimya kimya, tuache sisi waumini.

Leo asubuhi nilikuwa nasoma michango ya wachangiaji wa bandiko langu hili,

Kuna mtu akachangia kitu, katika kumjibu nikatumia link hii

Sasa ni wakati nasoma bandiko lenyewe, na naomba nililete hapa bandiko lenyewe lote kwa faida ya wavivu to follow links.

Ndipo nikaisikia sauti, voices from within kuwa JPM yuko peponi, ahera, mbinguni kwa Baba!.

Kwa kawaida ya sauti, huwa inakuambia tuu kitu na haikupi sababu, hivyo naomba msiniulize sababu, hapa kazi yangu ni moja tuu kuwaeleza kile nilichosikia Leo ni JPM yuko peponi!.

Hivyo baada ya kuisikia hiyo sauti nikamsikiliza tena JPM kwa makini sana katika video hii
Nimejirisha bila chembe ya shaka, huyu mtu yuko mbinguni kwa Baba yake!.

Hapa simaanishi kuwa JPM yuko peponi kwasababu he is perfect kama malaika, no!. JPM was a human being hivyo he is not perfect and no one is perfect, kilichofanya hiyo sauti ni despite his human mistakes JPM alitubu kabla ya umauti na kusamehewa makosa yake yote, na ndio maana nimeambiwa, sasa he is in heaven now!.

Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

 
Yan ata mimi nikimkuta yule ibilisi mbinguni siingii humo. Huyu muovu lilikuwa onevu sana kwa mengi. Ukiachilia mbali waliouliwa, kuteswa, kupigwa marisasi nk nyumba yetu kimara aliizoa tu akaitupia kule kama takataka tu hadi leo tunatangatanga familia nzima pa kukaa hatuna. Iliniuma mnoo aliposema wa kabila lake wao wasibomolewe sababu walimpa kura!!!!!! Dah!! Magufuli maguful maguful weee...nimekuita mara tatu magu....utachomwa moto sana wee babu.
Yaani hatamimi alichoma nyavu zangu bila kosa tatizo watu wake niliwanyima pesa nahata Hutu mama atuangalie wavuvi kata yakalya tulionewa sana hadi Leo wanashikilia Mali zetu eti dhuluma nayo nichanzo cha mapato bora hivyo alivyo kufa
 
Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.
Mkuu, kuna mambo unachanganya , tuyaweke sawa

1. Kumshambulia JPM kama mwanadamu mwingine akiwa amefariki na hawezi kujitetea si sawa.

2. JPM alikuwa Kiongozi wa nchi, alitunga sera, kutoa maamuzi yaliyoathiri maisha yetu kwa kupenda au kutopenda

Mfano, aligomea chanjo kwa imani zake na kuwanyima fursa wengine, wakipoteza maisha kwa manung'uniko.

Kwa kuwa kiongozi, JPM aliishi kwa KODI zetu , alipewa kila fursa kuliko Mtanzania mwingine.

Kuna msemo 'with great power comes great responsibility ', hapo huwezi kutenganisha maisha yake na ya uongozi.

Ni kwa mantiki hiyo, wakosoaji wanazikosoa sera, mitazamo, madhaifu na maamuzi yake kama kiongozi wa nchi.
Hilo si kumkosoa binafsi ni kumkosoa kama kiongozi aliyebeba fursa na dhamana.

Ni kumkosoa kama kule kwa Nyerere tunaoufanya kwa miaka 23 au ule wa Mkapa. Wote ni Hayati.

Tofauti na Watangulizi wake rekodi ya JPM imegubikwa na mengi yanayokihiri na jitihada za kuyafunika ni hizi za marehemu hasemwi! mbona huko nyuma tumewaseama akina Nyerere, Mkapa n.k.?
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?. Why watu wengine waendelee kumshutumu, kumsakama na kumsimanga?. Kwa nini asiachwe ajipumzikie zake kwa amani!. Mtu ameisha tangulia mbele ya haki, kwanini watu waendelee kumsema sema kwa ubaya.

Mimi mwana jf mwenzenu ni Mzee wa Sauti za Ndani "the inner voice", unafanya kitu fulani na mara unasikia sauti from within ikikuambia jambo fulani.

Angalizo kuhusu Abstract Topics.
Issues na mtu akiisha kufa, we all knows what happens to the body, but roho huwa inakwenda wapi, no one knows for sure, hivyo tunategemea mafundisho ya dini zetu.
Kuna sisi dini za wana wa Nabii Ibrahim, Wakristo na Waislamu tumefunzwa kuhusu mbinguni, peponi, ahera, jehanam ya moto wa milele, na kuna siku ya mwisho siku ya hukumu ya mwisho ya kiama atakapo rudi Mwana wa Adamu, ambapo kutakuwa na ufufuko wa miili na uzima wa milele.

Kuna wenzetu wa Buddhism na Hindu ambao ni waumini wa karma, wao wanaamini kwenye after life na incarnation.

Hakuna yeyote awaye yote aliwahi kufa akayashudia hayo na kurejea duniani kututhibitishia mbingu ipo, peponi kupo na motoni kupo, wala waumini wa reincarnation no one can say for sure alikuwa nani before, zaidi ya ushahidi wa deja vu, hakuna uthibitisho wowote wa reincarnation Ila kwa vile na mimi niliishi India, I know for sure karma ipo and it's for real!.
Hivyo hii mada ni mada ya imani, kama wewe huamini, please keep your faith nakuomba usibeze imani za wengine, ukijiona huamini, nakuomba jipitie zako kimya kimya, tuache sisi waumini.

Leo asubuhi nilikuwa nasoma michango ya wachangiaji wa bandiko langu hili,

Kuna mtu akachangia kitu, katika kumjibu nikatumia link hii

Sasa ni wakati nasoma bandiko lenyewe, na naomba nililete hapa bandiko lenyewe lote kwa faida ya wavivu to follow links.

Ndipo nikaisikia sauti, voices from within kuwa JPM yuko peponi, ahera, mbinguni kwa Baba!.

Kwa kawaida ya sauti, huwa inakuambia tuu kitu na haikupi sababu, hivyo naomba msiniulize sababu, hapa kazi yangu ni moja tuu kuwaeleza kile nilichosikia Leo ni JPM yuko peponi!.

Hivyo baada ya kuisikia hiyo sauti nikamsikiliza tena JPM kwa makini sana katika video hii
Nimejirisha bila chembe ya shaka, huyu mtu yuko mbinguni kwa Baba yake!.

Hapa simaanishi kuwa JPM yuko peponi kwasababu he is perfect kama malaika, no!. JPM was a human being hivyo he is not perfect and no one is perfect, kilichofanya hiyo sauti ni despite his human mistakes JPM alitubu kabla ya umauti na kusamehewa makosa yake yote, na ndio maana nimeambiwa, sasa he is in heaven now!.

Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.



Je, Sauti ya within inatoka kwako tu au zinatoka hata kwa wale "waliojeruhiwa" kwa namna mbalimbali na huyo Kajoni??, kuna walijeruhiwa kiuchumi, kimwili, kijamii (ndugu zao kupotezwa), kudhalilishwa kwa kutumbuliwa hadharani nk, hao wote na wao wanazo sauti from within na wao wanayohaki ya kuongea hizo sauti hadharani kama jinsi wewe unavyoongea hadharani hiyo sauti yako ya within, basi tambua kwamba haki ya kuongea kwa suala hili ipo kwa kila mtu kulingana na jinsi alivyoguswa katika utawala wa huyo Kajoni.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huwaletea makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Mada ya leo ni a bit abstract, ambapo Nimesikia sauti ya Voices From Within ikiniambia JPM yuko Mbinguni kwa Baba, hivyo nauliza swali, jee wajua kuwa JPM yuko peponi, Mbinguni, Kwa BABA YAKE?. Why watu wengine waendelee kumshutumu, kumsakama na kumsimanga?. Kwa nini asiachwe ajipumzikie zake kwa amani!. Mtu ameisha tangulia mbele ya haki, kwanini watu waendelee kumsema sema kwa ubaya.

Mimi mwana jf mwenzenu ni Mzee wa Sauti za Ndani "the inner voice", unafanya kitu fulani na mara unasikia sauti from within ikikuambia jambo fulani.

Angalizo kuhusu Abstract Topics.
Issues na mtu akiisha kufa, we all knows what happens to the body, but roho huwa inakwenda wapi, no one knows for sure, hivyo tunategemea mafundisho ya dini zetu.
Kuna sisi dini za wana wa Nabii Ibrahim, Wakristo na Waislamu tumefunzwa kuhusu mbinguni, peponi, ahera, jehanam ya moto wa milele, na kuna siku ya mwisho siku ya hukumu ya mwisho ya kiama atakapo rudi Mwana wa Adamu, ambapo kutakuwa na ufufuko wa miili na uzima wa milele.

Kuna wenzetu wa Buddhism na Hindu ambao ni waumini wa karma, wao wanaamini kwenye after life na incarnation.

Hakuna yeyote awaye yote aliwahi kufa akayashudia hayo na kurejea duniani kututhibitishia mbingu ipo, peponi kupo na motoni kupo, wala waumini wa reincarnation no one can say for sure alikuwa nani before, zaidi ya ushahidi wa deja vu, hakuna uthibitisho wowote wa reincarnation Ila kwa vile na mimi niliishi India, I know for sure karma ipo and it's for real!.
Hivyo hii mada ni mada ya imani, kama wewe huamini, please keep your faith nakuomba usibeze imani za wengine, ukijiona huamini, nakuomba jipitie zako kimya kimya, tuache sisi waumini.

Leo asubuhi nilikuwa nasoma michango ya wachangiaji wa bandiko langu hili,

Kuna mtu akachangia kitu, katika kumjibu nikatumia link hii

Sasa ni wakati nasoma bandiko lenyewe, na naomba nililete hapa bandiko lenyewe lote kwa faida ya wavivu to follow links.

Ndipo nikaisikia sauti, voices from within kuwa JPM yuko peponi, ahera, mbinguni kwa Baba!.

Kwa kawaida ya sauti, huwa inakuambia tuu kitu na haikupi sababu, hivyo naomba msiniulize sababu, hapa kazi yangu ni moja tuu kuwaeleza kile nilichosikia Leo ni JPM yuko peponi!.

Hivyo baada ya kuisikia hiyo sauti nikamsikiliza tena JPM kwa makini sana katika video hii
Nimejirisha bila chembe ya shaka, huyu mtu yuko mbinguni kwa Baba yake!.

Hapa simaanishi kuwa JPM yuko peponi kwasababu he is perfect kama malaika, no!. JPM was a human being hivyo he is not perfect and no one is perfect, kilichofanya hiyo sauti ni despite his human mistakes JPM alitubu kabla ya umauti na kusamehewa makosa yake yote, na ndio maana nimeambiwa, sasa he is in heaven now!.

Kwa bandiko hili, sasa ningewaomba watu humu, kutoendelea kumsakama, kumshutumu, kumsimanga na kuendelea kumsema vibaya, na badala yake tumwache apumzike kwa amani. Kama Mungu mwenyewe amemsamehe na kumuita kwake, who are you kuendelea kumsema sema vibaya?.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Huyu ndiye Mayalla halisi bila ya chemical reaction, keep posting like that
 
Je, Sauti ya within inatoka kwako tu au zinatoka hata kwa wale "waliojeruhiwa" kwa namna mbalimbali na huyo Kajoni??, kuna walijeruhiwa kiuchumi, kimwili, kijamii (ndugu zao kupotezwa), kudhalilishwa kwa kutumbuliwa hadharani nk, hao wote na wao wanazo sauti from within na wao wanayohaki ya kuongea hizo sauti hadharani kama jinsi wewe unavyoongea hadharani hiyo sauti yako ya within, basi tambua kwamba haki ya kuongea kwa suala hili ipo kwa kila mtu kulingana na jinsi alivyoguswa katika utawala wa huyo Kajoni.
Mtoa mada kaeleza vizuri tu kuwa mwamba hayuko peponi kwa sababu he was perfect, alitubu aliamini, akasamehewa, Kuna watu wengi waliona Christo ni katili kwa madai kuwa alifanya fujo kanisani na kwa tukio lile Kuna watu waliumizwa, Rejea Marko 11-15-16 It is just from my mind.
 
Magufuli ni Mkatoliki. Wakatoliki tunaamini katika aina mbili za hukumu baada ya kifo:
  • Hukumu binafsi mara tu unapokufa; ambapo utaenda ama mbinguni, toharani au motoni
  • Hukumu ya jumla au ya pamoja siku ya kiama; ambapo utaenda ama mbinguni ama motoni
Kwa kuwa Magufuli alipokea masakramenti kabla ya kifo chake, maana yake alikufa katika hali ya neema ya utakaso, ambapo;
  • Ameenda mbinguni moja kwa moja kama hakuwa na dhambi ndogo (which is more likely)
  • Ameenda toharani kutakaswa kabla ya kwenda mbinguni kama alikufa akiwa na dhambi ndogo alizozitenda baada ya kupokea masakramenti (which is less likely)
Uwezekano mkubwa ni yupo mbinguni anafurahi na malaika na watakatifu wengine wa Bwana. Huu ni ukweli unaowauma sana CHADEMA, Mafisadi, vyeti feki, wauza madawa ya kulevya na vibaraka wa mabeberu. Poleni.

Mimi ni Mkatoliki, lakini huyo Laana kum Magufuli ameenda moja kwa moja jehanum....Tena yupo katikati ya moto kama kuni
 
You will be surprised one day utakapomuona yupo mbinguni nawewe ukajikuta moto wa milele, wait and see
Mbingu ipi mnayoiongelea? Labda mbingu iliyo na akina Adolph Hitler, Benito Mussolini, Iddi Amini, Paul Kagame, Pieter Botha, Jean Bokassa !!
 
Mtoa mada kaeleza vizuri tu kuwa mwamba hayuko peponi kwa sababu he was perfect, alitubu aliamini, akasamehewa, Kuna watu wengi waliona Christo ni katili kwa madai kuwa alifanya fujo kanisani na kwa tukio lile Kuna watu waliumizwa, Rejea Marko 11-15-16 It is just from my mind.


Kama watu waliumizwa basi huwezi kuwazuia na wao kusema from within hiyo ni sawa na jinsi yeye paskal alivyoguswa na ameongea from within himself.
 
Back
Top Bottom