Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 752
- 3
Sidhani kama pesa kutopungua bado ni kigezo.
Je ukiambiwa kuwa pesa haipungui na Michango inaingia hiyo si itakuwa asara ya Vodacom?
Tusilaumu kwanza ni vizuri tukapeleleza tatizo ni nini maana technology haina gurantee.
Mwizi ana hasara gani akishalipwa fidia ya anachotaka kuiba?