Vodacom, Tigo tuwaite Wezi au Wanyang'anyi?

tartoo

Senior Member
Jul 2, 2010
129
2
Haya makampuni ya simu have very interesting internet packages and when you get enrolled they screw you hard big time!!

How?

Mfano; ukinunua tigo TShs 450 package a day make sure salio lako ni zero isibaki hata senti OTHERWISE;

Ukimaliza hiyo package ya siku [50MB] kabla siku haijaisha; Hawatakutaarifu ng'oo kwamba package imeisha (they roll you back to normal very expensive charges without your consent- which is unfair [wizi]) ambapo kama una salio lolote katika simu yako wataendelea kuitafuna big time mpaka iishe yote bila wewe kujua.Wakishamaliza ndio wanasepa na internet yao [wewe huna lolote so huna mpango].

Vodacom hivyo hivyo

Sina experiance na airtel

Huu kama si Wizi/Unyanganyi ni nini?
 
Hawa si wezi tu bali majambazi wanaoshirikiana na watalawa wetu majambazi kutumaliza. Kwa ufupi ni kwamba Tanzania hakuna hata kampuni moja ya simu inayotoa huduma zaidi ya kufanya uchafu kama ule wa Richmond IPTL na majambazi wengine/ Makampuni haya licha ya kutoza viwango vikubwa yanatoa huduma dhaifu na za kishikaji. Hivi mlitegemea wahindi wawe waminifu kwenye biashara especially kwenye nchi inayoongozwa kifisadi?
 
ni kote tu Voda tiGo hata Airtel ukimakiza Bundle zao na umenogewa wao wanakata airtime money yako
unachotakiwa wewe nunua Bundle hiyo ndogo ya Tigo ya 450/= kwa siku kwa kupiga *148*01# ukimaliza lazima watakutumia sms ya kuwa bundle ya kudownlod picha na musiki imekaribia kuisha
Ila km umeweka Extreme ya 450/ na wakaktupa 50Mb za bure zikiisha na hela ikiisha wanaingia ya airtime ya kawaida wanafyeka bila taarifa
Kweli hakuna huduma nafuu km ya tiGo
BB ni shilingi 7,000/= za chini kabisa ni 3,000/=
 
Back
Top Bottom