Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
Naomba Msaada, Mimi Nina dual SIM card, Ina voda na tigo, iliyo namba moja ni tigo, Lakini Mara nyingi nakuta hela ya voda imeliwa, na vile vile, nikitaka kutuma tigo pesa nikibonyeza nabata MSG ya m pesa. nadhani tigo wAna mchezo mbaya wanafanya. JIREKEBISHNI TAFADHALI MAANA NITAACHA KABISA KUTUMIA MTANDAO WENU