Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Ijumaa nilinunua muda wa maongezi wa 30 elfu kwa niaba ya kununua BIS service ya vodacom via M-pesa nikapata bonas ya 50% ambayo ni elf kumi na tano ss cha kushaangaza leo imebaki 9,105 lakini kila nikipiga naambiwa sina salio la kutosha ss sielewi maana bonus ilikuwa mwisho ni trh 27 ss,nimeongea na costtomer care anadai nimeke tu vocha nyingine hana maelezo ya kutosha plz nawakumbusha TCRA kufatilia kwa makini promotion za haya makampuni ya simu!!!!