Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Wanajamvi kwa muda tangu vodacome wameingiza sokoni vocha ya shilingi 450 nimekuwa nashindwa kuelewa walilenga kumsaidia nini kati ya mnunuaji na muuzaji! Japo wao wanadai kuwa ni punguzo lakini ukiangalia kwa undani wanatuibia wao na kutunisha mfuko wa wauzaji kwa kuwa si rahisi kwa mteja kudai cheni y ash. 50 pale anapokuwa ametoa sh. 500.
Hebu tulijadili hili.
Hebu tulijadili hili.