Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Jana baada ya kufika nyumbani kwangu nikataka ku-download email zangu.Connection ilikuwa nzuri kabisa.
Hivyo nikafuata utratibu wa Vodacom kutuma ujumbe CHEKA INTANET kwenda 123.
Baada ya muda mfupi nikapata ujumbe "You have 15.00 MB available which expires on 25/07/2010"
Baada ya ujumbe huo connection haikupatikana kabisa hata nilipojaribu saa sita usiku,na Tshs 500 yangu ikawa imekwenda.
Baadaye nikagundua kuwa nimeshapigwa pick pocket na Vodacom.
Leo nimeuliza wengine wakabaki kunicheka, "we huijui voda bwana?"
Hivyo nikafuata utratibu wa Vodacom kutuma ujumbe CHEKA INTANET kwenda 123.
Baada ya muda mfupi nikapata ujumbe "You have 15.00 MB available which expires on 25/07/2010"
Baada ya ujumbe huo connection haikupatikana kabisa hata nilipojaribu saa sita usiku,na Tshs 500 yangu ikawa imekwenda.
Baadaye nikagundua kuwa nimeshapigwa pick pocket na Vodacom.
Leo nimeuliza wengine wakabaki kunicheka, "we huijui voda bwana?"