Viwiko kuwa vyeusi

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Utafiti usio rasmi unaonyesha sugu hiyo inatokana style za mapenzi zinazopelekea viwiko kusugua godoro au sakafu.

Utafiti uliofanywa kwa watu 50 kati ya 250, umethibitisha kwa kwa asilimia 93 bila shaka yeyote.

Utafiti bado unaendelea kwa watu 200 waliobakia.
 
Utafiti usio rasmi unaonyesha sugu hiyo inatokana style za mapenzi zinazopelekea viwiko kusugua godoro au sakafu.

Utafiti uliofanywa kwa watu 50 kati ya 250, umethibitisha kwa kwa asilimia 93 bila shaka yeyote.

Utafiti bado unaendelea kwa watu 200 waliobakia.

Kama kweli ninavielewa vizuri viwiko, basi hizo style zinampelekea muathirika kuwa amekishikilia kichwa chake wakati kiuno kikiwa juu(maana yake ameinama) au?

Tafadhali sahihisha kama nimekosea.
 
Huu ulikua ucheshi wa Bukuku kwenye live standup comedy
1.Alisema we angalia magoti yakiwa yamechakaa basi ujue anafanya style ya mbuzi kagoma
2.Akasema angalia nywele za kisogoni kama ukiona zimelika lika basi ujue anapenda sana missionary position
 
Kwa kiwiko unamaanisha nini? Manake na mie nachukia wanawake unakuta kipepsi kina sugu kimepaukaaa! Sijui lotion hawajipaki? Kha!
 
Sababu ya viwiko ku wa na rangi nyeusi nyeusi na magamba gamba ni kutokusugua hiyo sehemu wakati wa kuoga
 
Hahaaaaa na mie nayependa style ya kusimama je....au tuna gala visigino
 
Heh! Mbona mie naegemea na sipati sugu! Basi tuwe tunavaamo zile ndude za kufanyia scating, kha!
jamani kinaletwa na kukaa mezani afu unaegemea kwa kiwiko.

ina maana kunakuwa na ukoko gani? kuna mtu anakuwa na sugu kabisa na magamba yanatoka. Huwa natamani kumpakaza lotion ila ndo vile tena.
Sababu ya viwiko ku wa na rangi nyeusi nyeusi na magamba gamba ni kutokusugua hiyo sehemu wakati wa kuoga
 
Back
Top Bottom