Leo mmeona mnianike hapa.....Pole we.
Ila una kumbukumbu hatari.
Mie nilishadumbukia pale wakati naenda kumpokea LiverpoolFC
Sina hamu...
Hebu nikumbushe ilikuwaje....Yani nimelikumbuka lile dimbwi lilokuwa pembeni ya kijiwe hatari sana na kale kagiza..,,,! Kama sio Mtambuzi nilikuwa niogelee pale ..,,😂😂😂😂
Yani nimelikumbuka lile dimbwi lilokuwa pembeni ya kijiwe hatari sana na kale kagiza..,,,! Kama sio Mtambuzi nilikuwa niogelee pale ..,,😂😂😂😂
Weka yako yenye mantiki waungwana tuichangie tukiwa hapa kaunta ya juuThread kama hizi hazina mantiki yoyote, kwamba unataka kutuonyesha we wa town kitambo
We mzee unapotea sana.Leo mmeona mnianike hapa.....
Nipo MadameeeeWe mzee unapotea sana.
Au umefichwa na mtu?
OkayNipo Madameeee
TrueBora umemwambia, nishapekuliwa wallet uzuri pesa nyingi niliisunda ndani ya bag. Sina hamu na mademu wa Arusha nikifika huwa nawaona kama mabroo tu sishoboki nao, mi mitungi tu nikichoka haraka kulala. Halafu yanatongoza hadi wanaume haki wallah