Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

Mwanza
Tivoli Cinema
Liberty Cinema
Deluxe discotheque
Magnum DISCOTHEQUE
Capri Cabana club -Capri point

Dodoma
Dodoma cinema
Paradise CINEMA
NK Discotheque
Hivi paradise hotel ndo hapo karibu na TRA? (Kuna kipindi nilipita Dom nikakuta Kuna jengo linajengwa). Maana nachanganya whichi is which kati ya Dodoma Cinema na Paradise cinema ambayo moja ndio baadae ikawa ukumbi wa NK Discotheque. Tulikuwa tunatimba enzi za utoto enzi zile picha za kihindi za kina Mithun
 
Hivi paradise hotel ndo hapo karibu na TRA? (Kuna kipindi nilipita Dom nikakuta Kuna jengo linajengwa). Maana nachanganya whichi is which kati ya Dodoma Cinema na Paradise cinema ambayo moja ndio baadae ikawa ukumbi wa NK Discotheque. Tulikuwa tunatimba enzi za utoto enzi zile picha za kihindi za kina Mithun
Hivi paradise hotel ndo hapo karibu na TRA? (Kuna kipindi nilipita Dom nikakuta Kuna jengo linajengwa). Maana nachanganya whichi is which kati ya Dodoma Cinema na Paradise cinema ambayo moja ndio baadae ikawa ukumbi wa NK Discotheque. Tulikuwa tunatimba enzi za utoto enzi zile picha za kihindi za kina Mithun
yeah, you're right
 
Yenu bar & Sisimizi bar Ubungo
Sisimizi bar ubungo njia panda ya kwenda udsm, Yenu ubungo mataa, watu wa wizara ya maji kabla hawajahama wanaitambua vyema ilikuwa na misosi poa sana. Karambezi bar ubungo kibo karibu na kanisa la ufufuo/gwajima, kihedu bar ubungo kibo, alikuwa akipiga hapo Dr Remy ongala.
 
Nilidhani wewe ni ajuza kama mimi kumbe wa jana hapa

  1. Jasmeena, Kijitonyama
  2. Silent Inn, Mwenge
  3. La Prima, Victoria
  4. Lang'ata (FM), Kinondoni Makaburini
  5. DDC, Kariakoo
  6. Makondeko, Mbezi Luguruni
  7. Bahama Mama, Kimara
  8. Wapi Wapis Bar, Chang'ombe
  9. Lango la Jiji........
Wapi wapis ilikuwa moto. Kipindi hicho bendi zinapiga pale. Hivi DDC Kariakoo haipo tena? Hivi maeneo ya Ubungo si kulikuwa na bar inaitwa White House?
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Killy Night club Shekilango
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Wewe umeishi sana dar,na umeishi kiduuchu pale mbeya. Ntarudi kuongezea viwanja
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Lango la Jiji
Madoto Bar
Silent Inn
Mbalamwezi
Escape one
 
Back
Top Bottom