Hivi paradise hotel ndo hapo karibu na TRA? (Kuna kipindi nilipita Dom nikakuta Kuna jengo linajengwa). Maana nachanganya whichi is which kati ya Dodoma Cinema na Paradise cinema ambayo moja ndio baadae ikawa ukumbi wa NK Discotheque. Tulikuwa tunatimba enzi za utoto enzi zile picha za kihindi za kina MithunMwanza
Tivoli Cinema
Liberty Cinema
Deluxe discotheque
Magnum DISCOTHEQUE
Capri Cabana club -Capri point
Dodoma
Dodoma cinema
Paradise CINEMA
NK Discotheque
Hii imenikumbusha mbali sana.Rungwe Ocenic Resort- Bahari Beach
Hivi paradise hotel ndo hapo karibu na TRA? (Kuna kipindi nilipita Dom nikakuta Kuna jengo linajengwa). Maana nachanganya whichi is which kati ya Dodoma Cinema na Paradise cinema ambayo moja ndio baadae ikawa ukumbi wa NK Discotheque. Tulikuwa tunatimba enzi za utoto enzi zile picha za kihindi za kina Mithun
yeah, you're rightHivi paradise hotel ndo hapo karibu na TRA? (Kuna kipindi nilipita Dom nikakuta Kuna jengo linajengwa). Maana nachanganya whichi is which kati ya Dodoma Cinema na Paradise cinema ambayo moja ndio baadae ikawa ukumbi wa NK Discotheque. Tulikuwa tunatimba enzi za utoto enzi zile picha za kihindi za kina Mithun
Samaki,mtori ilikuwa poa Sana.Yenu bar palikuwa na misosi sana, nyuma guest house
Huo mtaa palikuwa na bar ilikuwa inaitwa Planet nimekunywa sana bia mwaka 2013Buhemba Bar & Night Club, Mfaranyaki Street - Songea.
Hiyo sama ilikua maeneo gani mkuu?Sama Night -Old Forest
Banyamulenge Bar -Old Forest
Kamangila Bar-Tukuyu
Valentine Bar -Tukuyu
Sisimizi bar ubungo njia panda ya kwenda udsm, Yenu ubungo mataa, watu wa wizara ya maji kabla hawajahama wanaitambua vyema ilikuwa na misosi poa sana. Karambezi bar ubungo kibo karibu na kanisa la ufufuo/gwajima, kihedu bar ubungo kibo, alikuwa akipiga hapo Dr Remy ongala.Yenu bar & Sisimizi bar Ubungo
Hii Bonga Bar ni ya zamani sana sana. Bado ipo? Imekarabatiwa au ni vile vile? Si unazungumzia ile pale karibu na Komakoma?Ipo kuna mishkaki bomba sana.
Wapi wapis ilikuwa moto. Kipindi hicho bendi zinapiga pale. Hivi DDC Kariakoo haipo tena? Hivi maeneo ya Ubungo si kulikuwa na bar inaitwa White House?Nilidhani wewe ni ajuza kama mimi kumbe wa jana hapa
- Jasmeena, Kijitonyama
- Silent Inn, Mwenge
- La Prima, Victoria
- Lang'ata (FM), Kinondoni Makaburini
- DDC, Kariakoo
- Makondeko, Mbezi Luguruni
- Bahama Mama, Kimara
- Wapi Wapis Bar, Chang'ombe
- Lango la Jiji........
Killy Night club Shekilango1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
No Mimi mzawa wa Ubungo hapo mishe zote hapo toka kuzaliwa nikaingia msituni nikarudi then nikaondoka zangu now msituni tenaItakuwa ulisoma UDSM
Wewe umeishi sana dar,na umeishi kiduuchu pale mbeya. Ntarudi kuongezea viwanja1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Msocha hakukuchapq?? McMaster au Kinara?Tulikuwa tunatoroka Galanos kwenda LA Casa Chica. Kuna kipindi tukawa tunaenda disco la Manyani kule Kisosora.
Lango la Jiji1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Karibu na Radio Free Africa, ikaja kufanywa Hostel za wanafunzi.Hiyo sama ilikua maeneo gani mkuu?