Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,542
- 12,404
WanaJF longtime hizo 80's-90's Wadau walikuwa wanakwenda kujivinjari sehemu ambazo kitambo hicho ndo ilikuwa kunawika vibaya sana; watu wa kitambo hicho kwa sasa maarufu kama old school. Baadhi ya club ninazozikumbuka zilizokuwa gumzo wakati ule ni kama:- Morogoro hotel maarufu kama shimoni ambapo namkumbuka DJ John mkimbizi (DJ JD au John Dillinga) alikuwa DJ mkali sana wakati huo akifuatiwa na dJ peter moo na Dj sweet coffee banana, kiukweli Mji wa moro ulikuwa upo juu sana katika suala la muziki wa disco hasa ukizngatia breakdance na funck ndo ilikuwa miondoko ya wakati huo! Pia kulikuwa na mango park garden, sapna bila kusahaulka! THOSE WHERE THE DAYS, ONLY MEMORIES REMAINS! WanaJF tukiwa tunamalizia weekend Tukumbushane viwanja vingine maeneo mengine.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.