Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha Misugusugu

menat

Senior Member
May 5, 2013
154
36
Punguzo la beik kubwa


Karibu ujipatie viwanja vizuri maeneo ya Kibaha Misugusugu. Viwanja tambarare kabisa. Viwanja viko 2km kutoka Morogoro road. Huduma za kijamii zipo karibu
20kwa20 bei 1.8m waweza kuunganisha zaidi ya kimoja. Kwa maelezo zaidi piga 0685401051

20200625_191909.jpeg
 
Karibu ujipatie viwanja vizuri maeneo ya Kibaha Misugusugu. Viwanja tambarare kabisa. Viwanja viko dakika 10 kutoka Morogoro Road kwa gari rough road. Mazungumzo ya bei yapo
25x25 bei 3m
20x25 bei 2.5m
20x20 bei 2m
Huduma za kijamii zipo karibu. Mawasiliano zaidi piga 0755401051

Pia kama unahitaji heka ama nusu heka mazungumzo yapo
Eneo ni langu nauza kwa dharura hakuna dalali

Kutoka hapo kwenye viwanja hadi pale Check point ni kilomita ngapi ?
 
Karibu ujipatie viwanja vizuri maeneo ya Kibaha Misugusugu. Viwanja tambarare kabisa. Viwanja viko dakika 10 kutoka Morogoro Road kwa gari rough road. Mazungumzo ya bei yapo
25x25 bei 3m
20x25 bei 2.5m
20x20 bei 2m
Huduma za kijamii zipo karibu. Mawasiliano zaidi piga 0755401051

Pia kama unahitaji heka ama nusu heka mazungumzo yapo
Eneo ni langu nauza kwa dharura hakuna dalali

Kuna umbali gani kwenye viwanja hadi check point ?
 
Check point iko kwa mbele. Eneo lenyewe unaingilia pale karibu na kituo cha daladala cha Misugusugu kituo hicho ni baada ya kongowe. Kwenye kituo cha daladala upande wa kushoto kuna njia inayoelekea kwenye machimbo ya mchanga ndiyo unafuata hiyo. Ila machimbo na kiwanda cha nondo viko kwa mbele zaidi. Eneo lenyewe liko kwa nyuma kabla hujafika kwenye machimbo ya mchanga
Kuna umbali gani kwenye viwanja hadi check point ?
 
Hapana hiyo niliyoiweka ni bei ya dharura mimi ni mmiliki siyo dalali. Eneo lile bei halisi 20 kwa 20 inaanzia 3m. Hata serikali ya mtaa wanatulaumu tunavyouza 20 kwa 20 2m wanaona tunawanyima mapato kwasababu wenyewe ndio wanasimamia na kuratibu mauziano. Na sisi tuna dharura
20*20 milioni moja, nije ??
 
Check point iko kwa mbele. Eneo lenyewe unaingilia pale karibu na kituo cha daladala cha Misugusugu kituo hicho ni baada ya kongowe. Kwenye kituo cha daladala upande wa kushoto kuna njia inayoelekea kwenye machimbo ya mchanga ndiyo unafuata hiyo. Ila machimbo na kiwanda cha nondo viko kwa mbele zaidi. Eneo lenyewe liko kwa nyuma kabla hujafika kwenye machimbo ya mchanga
Unaweza kutuma google map. Mimi nipo kwa Kipofu, ningependa kuwa mteja wako
 
Check point iko kwa mbele. Eneo lenyewe unaingilia pale karibu na kituo cha daladala cha Misugusugu kituo hicho ni baada ya kongowe. Kwenye kituo cha daladala upande wa kushoto kuna njia inayoelekea kwenye machimbo ya mchanga ndiyo unafuata hiyo. Ila machimbo na kiwanda cha nondo viko kwa mbele zaidi. Eneo lenyewe liko kwa nyuma kabla hujafika kwenye machimbo ya mchanga
Umbali gani au km ngapi kutoka Morogoro road?

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo shule siijui ilipo ila ni Misugusugu unaingilia wanapopaki malori unafuata njia inayokwenda kwenye machimbo ya mchanga ni about 2km kutoka Morogoro road
Unainglia pale Camel , kwenye ile njia inaelekea kwenye Kanisa Katoliki ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom