Ni viwanja vizuri sana na ni tambarare na huduma zipo yaani we ni kujenga tu na ni vya uhakika kabisa. Barabara kubwa mpaka kiwanjani Bei ni 6.8m
0713507487 / 0767507487 / 0782898210
Viwanja vizuri vinauzwa goba mwisho mpakani kwa saizi tofauti kuanzia 23/25 mpaka 50/25 bei ni kuanzia 7m mpaka 13m. Ni tambarare kabisa ni flat na vipo kama mlimani kuna hewa nzuri sana.
Kwa aliye tayari nipigie
0713507487 / 0767507487 / 0782898210.
Galaksi ya Milk Way "njia ya maziwa", Sayari ya Dunia, barani Afrika, ukanda wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, jijini Dar es Salaam, wilaya ya Kinondoni, tarafa ya Goba
Sisi tunatafta appartments za NHC wewe unaturudish enzi za ujima?
Hivyo viwanja vina kesi mahakama kuu ya Ardhi,buyer bewer,naujua sana huo mgogoro,jamaa wamefidiwa alafu wanauza tena,hivi ninyi wakwere mmefanya Dsm hatimiliki yenuee.
Mama rwakatare majumba yake yamevunjwa seuze choka mbaya ya ghoba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.