MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 61
Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
Last edited by a moderator:
Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
Kabisaa...!Let the dead bury the dead!
Jamani hivi hawa wanaongea nini hasa...! mimi binafsi sijawaelewa...Kama watanzania watachagua chama hiki basi Tanzania tuna tatizo kubwa kuliko ninavyofikiri....!
HIvi hawa jamaa wanakaaga na ku evaluate mambo yao wanayofanya kwenye kampeni?mi naona ujinga mtupu