Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
akitoa shukrani hadi kwa wanyama wake kakaukiwa na koo hadi kaomba maji ya kunywa
mkuu, hivi Tanzania tuna viwanda kweli? najua tulishawagawia wahindi vyote - sasa huyu waziri na wizara yake wanasimamia vipi?