VIVA World Cup - Zanzibar Heroes Yatinga Nusu Fainali

Ilulu

Senior Member
Mar 22, 2008
161
31
TIMU ya soka ya Taifa Zanzibar, ‘Zanzibar Heroes', inaongoza katika kundi "B" la michuano ya Kombe la Dunia kwa nchi zisizo wanchama wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), (VIVA World Cup), inayoendelea huo Iraqi Kurdistan.

Hii ni baada ya kushinda katika mchezo wa kwanza dhidi ya
22px-Raetiaflag.jpg
Raetia kwa mabao 6-0 siku ya tarehe 4 Juni 2012 na kuendeleza ushinda katika mchezo uliochezwa jana tarehe 6 Juni 2012 dhidi ya
22px-Bandera_LTTE.png
Tamil Eelam kwa mabao 3-0

Source: 2012 VIVA World Cup - Wikipedia, the free encyclopedia
200px-Vivaworldcup2012.png

UPDATES;
Hatimaye Zanzibar Heroes yashika nafasi ya Tatu
9 June 2012
16:30 AST
Provence
22px-Provence_%28alternate_flag%29.svg.png
2 - 7
22px-Flag_of_Zanzibar.svg.png
Zanzibar
Source: http://en.wikipedia.org/wiki/2012_VIVA_World_Cup
 
Hahaha! Nilichogundua haraka haraka ni kuwa nchi zote hizi zimo katika harakati za kudai uhuru.
 
Makubwa....hizo nazo ni nchi,na zinashughulika na hiihii soka tunaoijua wote?,anyway big-up Wazee wa Urojo
 
Back
Top Bottom