Ilulu
Senior Member
- Mar 22, 2008
- 161
- 31
TIMU ya soka ya Taifa Zanzibar, ‘Zanzibar Heroes', inaongoza katika kundi "B" la michuano ya Kombe la Dunia kwa nchi zisizo wanchama wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), (VIVA World Cup), inayoendelea huo Iraqi Kurdistan.
Hii ni baada ya kushinda katika mchezo wa kwanza dhidi ya
Raetia kwa mabao 6-0 siku ya tarehe 4 Juni 2012 na kuendeleza ushinda katika mchezo uliochezwa jana tarehe 6 Juni 2012 dhidi ya
Tamil Eelam kwa mabao 3-0
Source: 2012 VIVA World Cup - Wikipedia, the free encyclopedia
UPDATES;
Hatimaye Zanzibar Heroes yashika nafasi ya Tatu
Source: http://en.wikipedia.org/wiki/2012_VIVA_World_Cup
Hii ni baada ya kushinda katika mchezo wa kwanza dhidi ya
Source: 2012 VIVA World Cup - Wikipedia, the free encyclopedia
UPDATES;
Hatimaye Zanzibar Heroes yashika nafasi ya Tatu
Source: http://en.wikipedia.org/wiki/2012_VIVA_World_Cup