Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 244
- 431
Elimu ya kompyuta.
Sote tunaufahamu umuhimu wa kompyuta katika dunia ya leo.Tumefundishwa vitu vya ajabu kwa muda mrefu,tumepoteza nguvu&muda bila kusaidia taifa letu.
Ilitakiwa tufundishwe vitu Kama web design, freelance,how to surf the web,usalama wa mtandao,jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii Kama Facebook kwa ajili ya uzalishaji
Kinachosikitisha ni kwamba watoto wanatumia muda mwingi kucheza game,kupost&vituko vingi.
Elimu ya fedha.
Kuna baadhi ya wazazi wanaamini watoto hawatakiwi kuwa na pesa,hivyo huamini wakikua ndipo waitafute pesa.Kumpa mtoto pesa kunamjengea uzoefu,akiitumia vibaya atajifunza.Mtu aliyeshika pesa tangu utotoni ni vigumu kufilisika kwani anao uzoefu wa kutosha.
Inasikitisha mtu unakua hujui hata kutumia ATM mpaka umuite mlinzi akusaidie,wakati wewe umemaliza kidato cha sita,mtu hajui credit au debit card,hajui payment methods za mtandaoni.Kuna watu hawajui hata kujaza documents za fedha wakiwa benki hadi amuite muhudumu.Wazazi&walimu wafundishe banking in practice,wahamasishe watoto wawe na account bank,wajue ishu za riba,ishu za pesa ya kidijitali.Hii itasaidia watu wengi kuwa na ufahamu wa fedha hivyo kulisaidia taifa kwa namna mbalimbali
Saikolojia sahihi ya mapenzi.
Vijana wengi wanateswa na mapenzi.Hii ni kwa sababu hakuna mwongozo wa kitaifa wa kuwaelewesha kuhusu mapenzi.Mapenzi ni swala la experience au uzoefu lakini tungepewa maarifa sahihi ingekuwa vizuri zaidi.
Silabasi ya mapenzi ipo kwenye love story za kikorea au kifilipino ambazo watoto huangalia (hasa watoto wa kike) ambapo hujifunza mapenzi ya kweli,usaliti nk.Kwenye mapenzi ya kweli huwa wanaona wahusika wa filamu wanaopendana kwelikweli kwa kupeana zawadi za birthday za gharama,wanatoana outing za gharama (wanakula bata sehemu nzurinzuri),wanakunywa pombe,misosi safi,wanaogelea,safari nzuri nk.Mtu huyu akishakua Saikolojia yake inakuwa imeshaathiriwa na hizo movie.Hivyo atatamani maisha ya gharama,kwa hiyo atachagua mchumba mwenye hela ili akidhi tamanio lake analoliona kwenye filamu.Hivyo huamua kutafuta masponsa waume za watu wakidhi matakwa yake,na hii hupelekea wengi wao kupatiwa magonjwa &mimba zisizotarajiwa.
Kwa kugundua hili kundi kubwa la vijana wa kiume ambao asilimia kubwa ni makapuku huamua kufake maisha ili kuwatafuna wadada
Vijana wengi wanawaza sana mapenzi.Hii ni kwa sababu hawapewi ushauri wa kisaikolojia namna gani wakabiliane nayo.Mfano,unakuta kijana anamuwaza crush wake,je hajui kuwa Kuna wanawake wengi na wazuri zaidi ya huyo?je, ana pesa kuhudumia?
Kwa nini vijana hawajitengi na ngono zembe? Psychology
Kijana wa kiume unaamini mapenzi ya kweli?na unalalamika mademu wanakukataa?Elewa uhalisia acha kulialiaInapendwa pesa sio wewe.Wekeza nguvu zako uitafute.Labda Kama una mvuto wa wanawake itasaidia sana.
Psychology! Psychology! psychology!
Kuna vitu vingi vingine tumevikosa!
#Thanks.
Sote tunaufahamu umuhimu wa kompyuta katika dunia ya leo.Tumefundishwa vitu vya ajabu kwa muda mrefu,tumepoteza nguvu&muda bila kusaidia taifa letu.
Ilitakiwa tufundishwe vitu Kama web design, freelance,how to surf the web,usalama wa mtandao,jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii Kama Facebook kwa ajili ya uzalishaji
Kinachosikitisha ni kwamba watoto wanatumia muda mwingi kucheza game,kupost&vituko vingi.
Elimu ya fedha.
Kuna baadhi ya wazazi wanaamini watoto hawatakiwi kuwa na pesa,hivyo huamini wakikua ndipo waitafute pesa.Kumpa mtoto pesa kunamjengea uzoefu,akiitumia vibaya atajifunza.Mtu aliyeshika pesa tangu utotoni ni vigumu kufilisika kwani anao uzoefu wa kutosha.
Inasikitisha mtu unakua hujui hata kutumia ATM mpaka umuite mlinzi akusaidie,wakati wewe umemaliza kidato cha sita,mtu hajui credit au debit card,hajui payment methods za mtandaoni.Kuna watu hawajui hata kujaza documents za fedha wakiwa benki hadi amuite muhudumu.Wazazi&walimu wafundishe banking in practice,wahamasishe watoto wawe na account bank,wajue ishu za riba,ishu za pesa ya kidijitali.Hii itasaidia watu wengi kuwa na ufahamu wa fedha hivyo kulisaidia taifa kwa namna mbalimbali
Saikolojia sahihi ya mapenzi.
Vijana wengi wanateswa na mapenzi.Hii ni kwa sababu hakuna mwongozo wa kitaifa wa kuwaelewesha kuhusu mapenzi.Mapenzi ni swala la experience au uzoefu lakini tungepewa maarifa sahihi ingekuwa vizuri zaidi.
Silabasi ya mapenzi ipo kwenye love story za kikorea au kifilipino ambazo watoto huangalia (hasa watoto wa kike) ambapo hujifunza mapenzi ya kweli,usaliti nk.Kwenye mapenzi ya kweli huwa wanaona wahusika wa filamu wanaopendana kwelikweli kwa kupeana zawadi za birthday za gharama,wanatoana outing za gharama (wanakula bata sehemu nzurinzuri),wanakunywa pombe,misosi safi,wanaogelea,safari nzuri nk.Mtu huyu akishakua Saikolojia yake inakuwa imeshaathiriwa na hizo movie.Hivyo atatamani maisha ya gharama,kwa hiyo atachagua mchumba mwenye hela ili akidhi tamanio lake analoliona kwenye filamu.Hivyo huamua kutafuta masponsa waume za watu wakidhi matakwa yake,na hii hupelekea wengi wao kupatiwa magonjwa &mimba zisizotarajiwa.
Kwa kugundua hili kundi kubwa la vijana wa kiume ambao asilimia kubwa ni makapuku huamua kufake maisha ili kuwatafuna wadada
Vijana wengi wanawaza sana mapenzi.Hii ni kwa sababu hawapewi ushauri wa kisaikolojia namna gani wakabiliane nayo.Mfano,unakuta kijana anamuwaza crush wake,je hajui kuwa Kuna wanawake wengi na wazuri zaidi ya huyo?je, ana pesa kuhudumia?
Kwa nini vijana hawajitengi na ngono zembe? Psychology
Kijana wa kiume unaamini mapenzi ya kweli?na unalalamika mademu wanakukataa?Elewa uhalisia acha kulialiaInapendwa pesa sio wewe.Wekeza nguvu zako uitafute.Labda Kama una mvuto wa wanawake itasaidia sana.
Psychology! Psychology! psychology!
Kuna vitu vingi vingine tumevikosa!
#Thanks.