hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
AiseeJamba tu maana nitaelewa kua unanialika eneo pendwa.
AiseeJamba tu maana nitaelewa kua unanialika eneo pendwa.
Yaani we acha tuPia msisahau mkija navyo mgeuze navyoo maana tunachoka kuvificha kwa mauvungu ya mavitanda yetu pindi wanapokuja wengine pia
1. Kitambaa cha kufunga kichwani, si unajua tena nywele zinasumbua wakati wa kuoga au kulala so jipange hivo hawanaga na ukikikuta ujue kuna shida
2. Khanga nyepesi. Hata hizo hawanaga ukikuta ipo jua kuna mambo
3. Mswaki. Jikeep clean yaani hata ukipewa maji tu ukimaliza kunywa swaki. Harufu mbaya mbaya inaweza ikakufanya ukatolewa mjengoni kabla hakujapambazuka.
4. Usile samaki wala dagaa.Vitu vya shomboshombo achana navyo
5. Uwe na kiberiti.
Ukiachia ushuzi unaonuka washa njiti moja then nzima ili kuua soo. Ila ni vema usile sana ili usijambe maana hutoalikwa tena mjengoni
Itaendelea...
Ha ha ha1. Kitambaa cha kufunga kichwani, si unajua tena nywele zinasumbua wakati wa kuoga au kulala so jipange hivo hawanaga na ukikikuta ujue kuna shida
2. Khanga nyepesi. Hata hizo hawanaga ukikuta ipo jua kuna mambo
3. Mswaki. Jikeep clean yaani hata ukipewa maji tu ukimaliza kunywa swaki. Harufu mbaya mbaya inaweza ikakufanya ukatolewa mjengoni kabla hakujapambazuka.
4. Usile samaki wala dagaa.Vitu vya shomboshombo achana navyo
5. Uwe na kiberiti.
Ukiachia ushuzi unaonuka washa njiti moja then nzima ili kuua soo. Ila ni vema usile sana ili usijambe maana hutoalikwa tena mjengoni
Itaendelea...
Jamba tu maana nitaelewa kua unanialika eneo pendwa.
Kupima vyanini?Mpaka ukalale huko mshapimana .
Daaah.. 0713!!!Jamba tu maana nitaelewa kua unanialika eneo pendwa.
😀😀😀😀Towels kwa wanaume wengi ni shida. Yaani yeye akitoka kuoga anajikung'uta kama ng'ombe aliyetoka kwenye josho anavaa nguo kiguu na njia
Wanawake wengi wanatabia ya kuacha vitu ghetto kwa ajili ya ulinziPia msisahau mkija navyo mgeuze navyoo maana tunachoka kuvificha kwa mauvungu ya mavitanda yetu pindi wanapokuja wengine pia