situjadiriane
Member
- Jan 5, 2023
- 28
- 37
Tafadhali naomba kuuliza mimi ni mkazi wa mkoa wa Mwanza wilaya ya Ilemela kata ya Ibungilo nilikuwa miongoni mwa watu waliovumilia jua Kali nikipanga musululu mrefu ili kupata huduma ya NIDA.
Leo miaka Mingi imepita bila matumaini ni metembelea ofisi za kata zaidi ya mara 50 siyo Mimi wala mke wangu aliyepata hicho kitambulisho.
Nilitembelea ofisi za Nida ilemela wilayani mara mbili kwa miaka Tofauti majibu ni kitambulisho chako hakijatengenezwa.
Hii ndio sababu nikauliza ni Siasa au kuna watu maalum wenye ndugu ofisini Wanaostahili kupewa kitambulisho cha Taifa? Aliye majibu naomba aniambie.
Au kama unajua njia ya kutumia ili nipate kitambulisho nijulishe
Leo miaka Mingi imepita bila matumaini ni metembelea ofisi za kata zaidi ya mara 50 siyo Mimi wala mke wangu aliyepata hicho kitambulisho.
Nilitembelea ofisi za Nida ilemela wilayani mara mbili kwa miaka Tofauti majibu ni kitambulisho chako hakijatengenezwa.
Hii ndio sababu nikauliza ni Siasa au kuna watu maalum wenye ndugu ofisini Wanaostahili kupewa kitambulisho cha Taifa? Aliye majibu naomba aniambie.
Au kama unajua njia ya kutumia ili nipate kitambulisho nijulishe