Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Nimeangalia leseni mpya kwa umakini mkubwa na sample ya vitambulisho vya Taifa naona tunapungukiwa kitu cha umuhimu sana. Watu wengi hupata ajali hufariki na kuzikwa na viungo ambavyo ni vizima vingeweza kutumika kwa mtu mwingine ambao alikuwa na uhitaji.
Ikiwa hivyo ndivyo naomba wanao shughulikia driving license na vitambulisho vya taifa waweke nembo au ishara ya kubali kuwa donor wa organ incase of death kwenye vitambulisho vyetu.
Leo Hii tungekuwa na akiba ya figo, mioyo na vingenevyo vya kutosha kabisa.
Just wazo wadau
Ikiwa hivyo ndivyo naomba wanao shughulikia driving license na vitambulisho vya taifa waweke nembo au ishara ya kubali kuwa donor wa organ incase of death kwenye vitambulisho vyetu.
Leo Hii tungekuwa na akiba ya figo, mioyo na vingenevyo vya kutosha kabisa.
Just wazo wadau