masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Bado hatupo pamoja mkuu, na ukikamata nchi hii utaiendesha kwa sera ipi?Kwani unadhani mabilioni ya EPA yaliyorudishwa ni sababu ya nini kama si kutimiza wajibu wa kusimamia utumiaji mzuri wa rasilimali za serikali?
Kwani mabadiliko ya uongozi TBS na kwenye uwaziri wa Viwanda na biashara ni kwa ajili ya nini kama si kwa CDM kutimiza wajibu wake wa kuangalia mwenendo mzuri wa utumishi wa serikali?
Kuna wajibu wa uwakilishi unaotetea maslahi ya mtu wa kawaida bungeni, huo watu wanaona.
Yapo mengi tu, ila macho yako hayako tayari kuona.
Au utamlaumu nani kwa failures zako katika uendeshaji.
Nchi haiendeshwi au kutawaliwa kwa bahati nasibu.