Vita ya Propaganda itaposhindwa tegemeeni haya...

Tatizo lenu nyie mliolewa uCHADEMA. Ni kutokubaliana na ukweli hata mnapouona machoni.

Kuna kada mwenzenu alisema M4C ni njama tu za kuhujumu nchi isitawalike na kweli mmeshirikiana na polisi katika mauaji huko Morogoro na Iringa, licha ya kutokuwepo ulazima wa vurugu hizo.

Kama mikakati ya CDM ni kupambana na dola basi tuendelee kutegemea vurugu tu nchini ili CDM ichukue nchi kwa kumwaga damu za waTanzania wasio na hatia.

Na huo ndio naita "ukombozi" wa kijinga.

Sera zenu za kilimo ziko wapi
Sera zenu za biashara ziko wapi
Sera zenu za kuondoa uasikini ziko wapi
Sera zenu za kuboresha miundombinu ziko wapi
Sera za viwanda,uchumi, nishati, ardhi.......vyote vipo wapi?

Ati mnsubiri kumkomboa mtanzania?....... Au mna subiri kukomboa matumbo yenu?

Halafu mtu na "akili" kama hapo juu anafikiri mustakabali wa watanzania unaanza na kuishia na Polisi, TISS au TPDF ?

What shallow thinking!

Posti ya hapo juu na ni watu wajinga wajinga tu wataisapoti, wengi tuna jua kuwa CDM is hollow!
Soma sheria ya vyama vya siasa iko kwenye thread hii:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...2906-tuijadili-sheria-ya-vyama-vya-siasa.html

Kisha tueleze wapi Chadema wamekiuka mwenendo wa vyama vya siasa.
 
Soma sheria ya vyama vya siasa iko kwenye thread hii:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...2906-tuijadili-sheria-ya-vyama-vya-siasa.html

Kisha tueleze wapi Chadema wamekiuka mwenendo wa vyama vya siasa.
Mkuu CHADEMA haitachukua nchi hii ikiwa kama chama chenye kufuata taratibu za sheria ya vyama.

Uhalali wa CHADEMA waweza tu kuwa mbadala wa CCM ikiwa kama ina sera zinazoelewka kuendesha nchi hii na matarajio ya watu wa Tanzania.

CDM inoanzisha mikakati ya kupambana na polisi na vyombo vingine vya dola bils kuonyesha njia ya kumkomboa au kumwendeleza mtanzania kwa njia mbadala ya zilzopo, ni kujisumbua bure.

Katika uhai wake so far, CDM. Has shown to be a poor substitute to CCM.
 
Ikiwa MUNGU yupo upande wetu nani atainuka kinyume chetu? Viva CHADEMA.
 
Tatizo lenu nyie mliolewa uCHADEMA. Ni kutokubaliana na ukweli hata mnapouona machoni.

Kuna kada mwenzenu alisema M4C ni njama tu za kuhujumu nchi isitawalike na kweli mmeshirikiana na polisi katika mauaji huko Morogoro na Iringa, licha ya kutokuwepo ulazima wa vurugu hizo.

Kama mikakati ya CDM ni kupambana na dola basi tuendelee kutegemea vurugu tu nchini ili CDM ichukue nchi kwa kumwaga damu za waTanzania wasio na hatia.

Na huo ndio naita "ukombozi" wa kijinga.

Sera zenu za kilimo ziko wapi
Sera zenu za biashara ziko wapi
Sera zenu za kuondoa uasikini ziko wapi
Sera zenu za kuboresha miundombinu ziko wapi
Sera za viwanda,uchumi, nishati, ardhi.......vyote vipo wapi?

Ati mnsubiri kumkomboa mtanzania?....... Au mna subiri kukomboa matumbo yenu?

Halafu mtu na "akili" kama hapo juu anafikiri mustakabali wa watanzania unaanza na kuishia na Polisi, TISS au TPDF ?

What shallow thinking!

Posti ya hapo juu na ni watu wajinga wajinga tu wataisapoti, wengi tuna jua kuwa CDM is hollow!

Yaelekea nawe ni mpanga mipango na ndiyo maana povu linakutoka kuficha ukweli, pole sana. Kama Chadema walipanga na polisi mauaji ya Morogoro na Iringa kwanini washinikize hatua zichukuliwe dhidi polisi waliohusika? Kwanini isiwe serikali na rais wa chama tawala ambao pamoja na kushinikizwa wamegoma kuwachukulia hatua wahusika?
 
Mkuu CHADEMA haitachukua nchi hii ikiwa kama chama chenye kufuata taratibu za sheria ya vyama.

Uhalali wa CHADEMA waweza tu kuwa mbadala wa CCM ikiwa kama ina sera zinazoelewka kuendesha nchi hii na matarajio ya watu wa Tanzania.

CDM inoanzisha mikakati ya kupambana na polisi na vyombo vingine vya dola bils kuonyesha njia ya kumkomboa au kumwendeleza mtanzania kwa njia mbadala ya zilzopo, ni kujisumbua bure.

Katika uhai wake so far, CDM. Has shown to be a poor substitute to CCM.
Wewe si kipimo cha Watanzania.

Takwimu za uhakika ni kuongezeka kwa watu wanaoikubali CDM. Juzi tu Kwimba watu 15,000 wamejiunga na CDM, rudi nyuma chaguzi za Igunga na Arumeru na linganisha na 2010 utaona takwimu zinakwambia nini.

Mtwara mnapowatukana watu kuwa wanatumika kama condom wakati kiuchumi wanazidi kudorora, sijui mnatarajia mtawaombaje kura zao, na wao bado wanakumbuka ahadi za Maisha Bora kwa Kila Mtanzania.

Inawezekana wewe binafsi unafaidika na CCM, lakini wata hawa wanaoikataa wanaona hawafaidiki nayo, na ni haki yao ya kidemokrasia kuchagua wakipendacho.

Cha muhimu kwako na kwa wengine wa CCM, ni kujua kuwa, hapa hampambani na wahalifu au waasi, bali chama chenye uhalali wa kufanya yote kinayofanya kwa mujibu wa sheria, na watu ndio waamuzi.

Mwisho, hapa tunajadiliana hatugombani. Tunapoona unahamaki tunahisi unazidiwa hoja. Kwa nini usijadili kwa utulivu na lugha ya kiungwana?
 
CDM inoanzisha mikakati ya kupambana na polisi na vyombo vingine vya dola bils kuonyesha njia ya kumkomboa au kumwendeleza mtanzania kwa njia mbadala ya zilzopo, ni kujisumbua bure.

Katika uhai wake so far, CDM. Has shown to be a poor substitute to CCM.

Soma haki za vyama vya siasa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa 1992 Ibara ya 11.

11. -(1) Every party which has been provisionally or fully registered shall be entitled-
a) to hold and address public meetings in any area in the United Republic after giving notification to the police officer in-charge of the area concerned for purposes of publicizing itself and soliciting for membership;
b) to the protection and assistance of the security agencies for the purposes of facilitating peaceful and orderly meetings:
provided that provisional registration shall not entitle any party to put up a candidate or to campaign for any candidates in any parliamentary or presidential election or in a local authority election.

(2) Notwithstanding any other written law to the contrary sections 43, 44, 45 and 46 of the Police Force and Auxiliary Services Act shall apply and have effect as to all meetings to be held on any part of the United Republic by any political party whether provisionally or fully registered.

(3) Every party which has been fully registered shall be entitled to put up candidates and to campaign for any candidates in any parliamentary or presidential election or in a local government authority election.

(4) When a political party is desirous of holding a meeting or procession in any open public place in any area it shall, not less than forty eight hours before the meeting, submit a written notification of its impending to the police officer in charge of the area in which the meeting is to take place is situated.

(5) The written notification referred to in subsection (4) shall specify-
a) the name of the political party submitting the notification;
b) the place in and time at which the meeting is to take place;
c) the agenda or purpose in general of the meeting;
d) such other particulars as the Minister may from time to time by notice published in the Gazette specify.
(6) Where a political party submits a notification in accordance with subsection (4) it may proceed to hold the meeting in question as schedule unless and until it receives an order from the police officer in charge of the area directing that the meeting be not held as notified.

(7) A police officer to whom a notification is submitted pursuant to subsection (4) shall not give a stop order under subsection (6) in relation to the notification unless he is satisfied that –
a) a previous notification has been submitted by another political party or other persons for holding a meeting or other function or procession in the same place at the same time as is intended by the notifier;
b) the meeting or procession is intended to execute, or to be used for, an unlawful purpose; the meeting is likely or intended to cause a breach of the peace or to prejudice the public safety in the area;
c) the political party or group of persons giving the notification is not a registered political party or body of persons or the persons submitting the notification is not appropriately identified as an authorised representative of the political party concerned.
Note kuwa kufanya mikutano na maandamano ni haki ya vyama kwa mujibu wa sheria hii. (Angalia maandishi mekundu)

Sheria haidai vyama viombe ruhusa kwa polisi bali vitaarifu jeshi la polisi kwa ajili ya kupewa ulinzi.

Jeshi la polisi linapozuia, ni kutokana na amri ya watawala, jambo ambalo ni ubabe tu kinyume cha sheria na tayari Kikwete alishawaambia wasiendelee kubebwa.

Anayeua anajulikana, ndio maana kesi iliyofunguliwa mauaji ya Mwangosi wewe mwenyewe unamjua mshtakiwa. Ni askari polisi, ingawa wamemwonea mdogo, RPC na OCD walipaswa kuwa ndani.

Unataka kutwambia kuwa serikali ni dhaifu kiasi inashindwa kukamata wauaji?

Uwe mkweli japo unaipenda CCM.
 
Tatizo lenu nyie mliolewa uCHADEMA. Ni kutokubaliana na ukweli hata mnapouona machoni.

Kuna kada mwenzenu alisema M4C ni njama tu za kuhujumu nchi isitawalike na kweli mmeshirikiana na polisi katika mauaji huko Morogoro na Iringa, licha ya kutokuwepo ulazima wa vurugu hizo.

Kama mikakati ya CDM ni kupambana na dola basi tuendelee kutegemea vurugu tu nchini ili CDM ichukue nchi kwa kumwaga damu za waTanzania wasio na hatia.

Na huo ndio naita "ukombozi" wa kijinga.

Sera zenu za kilimo ziko wapi
Sera zenu za biashara ziko wapi
Sera zenu za kuondoa uasikini ziko wapi
Sera zenu za kuboresha miundombinu ziko wapi
Sera za viwanda,uchumi, nishati, ardhi.......vyote vipo wapi?

Ati mnsubiri kumkomboa mtanzania?....... Au mna subiri kukomboa matumbo yenu?

Halafu mtu na "akili" kama hapo juu anafikiri mustakabali wa watanzania unaanza na kuishia na Polisi, TISS au TPDF ?

What shallow thinking!

Posti ya hapo juu na ni watu wajinga wajinga tu wataisapoti, wengi tuna jua kuwa CDM is hollow!
Inawezekana in accordance to your definition, wenye akili ni wale wanaosapoti UTUMBO unaouamini! Haiihitajiki kuwa hata na certificate kujua weakness na failure ya hicho CHAMA CHAKO WEWE CHA WENYE AKILI, what surprise me you are the only one left the other side of the bridge. Hata watoto wadogo wanajua chama chako ni wabangaizaji, they dont know even where they are heading, yet unatukana watu hapa mtandaoni! What do u want to tell us? To be a ccm follower means a great thinker? Nadhani ni afadhali wanaopigania matumbo yao kuliko wanaofikiri kwa matumbo yao. After all you are right .. we are fighting for our stomach to have something, kwasababu chama chako kimeshindwa kutulisha!
 
Tatizo lenu nyie mliolewa uCHADEMA. Ni kutokubaliana na ukweli hata mnapouona machoni.

Kuna kada mwenzenu alisema M4C ni njama tu za kuhujumu nchi isitawalike na kweli mmeshirikiana na polisi katika mauaji huko Morogoro na Iringa, licha ya kutokuwepo ulazima wa vurugu hizo.

Kama mikakati ya CDM ni kupambana na dola basi tuendelee kutegemea vurugu tu nchini ili CDM ichukue nchi kwa kumwaga damu za waTanzania wasio na hatia.

Na huo ndio naita "ukombozi" wa kijinga.

Sera zenu za kilimo ziko wapi
Sera zenu za biashara ziko wapi
Sera zenu za kuondoa uasikini ziko wapi
Sera zenu za kuboresha miundombinu ziko wapi
Sera za viwanda,uchumi, nishati, ardhi.......vyote vipo wapi?

Ati mnsubiri kumkomboa mtanzania?....... Au mna subiri kukomboa matumbo yenu?

Halafu mtu na "akili" kama hapo juu anafikiri mustakabali wa watanzania unaanza na kuishia na Polisi, TISS au TPDF ?

What shallow thinking!

Posti ya hapo juu na ni watu wajinga wajinga tu wataisapoti, wengi tuna jua kuwa CDM is hollow!

Wajinga mpo wengi endeleeni kuwabeba watawala migongoni kwenu mwisho watawatupa chooni
 
Tatizo lenu nyie mliolewa uCHADEMA. Ni kutokubaliana na ukweli hata mnapouona machoni.

Kuna kada mwenzenu alisema M4C ni njama tu za kuhujumu nchi isitawalike na kweli mmeshirikiana na polisi katika mauaji huko Morogoro na Iringa, licha ya kutokuwepo ulazima wa vurugu hizo.

Kama mikakati ya CDM ni kupambana na dola basi tuendelee kutegemea vurugu tu nchini ili CDM ichukue nchi kwa kumwaga damu za waTanzania wasio na hatia.

Na huo ndio naita "ukombozi" wa kijinga.

Sera zenu za kilimo ziko wapi
Sera zenu za biashara ziko wapi
Sera zenu za kuondoa uasikini ziko wapi
Sera zenu za kuboresha miundombinu ziko wapi
Sera za viwanda,uchumi, nishati, ardhi.......vyote vipo wapi?

Ati mnsubiri kumkomboa mtanzania?....... Au mna subiri kukomboa matumbo yenu?

Halafu mtu na "akili" kama hapo juu anafikiri mustakabali wa watanzania unaanza na kuishia na Polisi, TISS au TPDF ?

What shallow thinking!

Posti ya hapo juu na ni watu wajinga wajinga tu wataisapoti, wengi tuna jua kuwa CDM is hollow!


Mimi nadhani umehamaki bure kabisa, nimepitia sehemu zote sijaona cha maana zaidi ya ushabiki uliuandika.

CDM haitawali nchi na hizo ulizoomba sera mbona walishazisemea 2010 na kuwaita waongo lakini baadae mnaiga na kutekeleza. Mfano elimu bure Lowasa keshakiri inawezekana, Kinana akakiri upo uwezekano wa kushusha gharama za material ya ujenzi na kufanya ujenzi uwe rahisi angalau kupunguza nyumba za tembe.

Sipendi siasa lakini kwa hili nahisi Bado Kidogo 2015 amkubana, ungetakiwa kumjibu na siyo kubwatuka, naona wanaCCM mna akili zinazofana sana maana hata leo Mwigulu Nchemba ametoa hoja zinazofanana na hizi na hivyo kupata shaka uelewa wenu na jinsi mnavyojipanga na hoja zenu ni kama mnakurupushwa!!!

CDM inawezaje kupanga njama za mauaji na Polisi na kisha Polisi wakatii amri ya CDM. Kwa lugha nyingine ni kulidharililisha Jeshi la Polisi kuwa lilitaka kuasi kwa kutekeleza maelekezo ya CDM ili nchi isitawalike!!!!

Niliposoma post yako ime reflect uelewa wako ulivyo chini.

Tujifunze kujipanga kwa hoja zenye mashiko.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lenu nyie mliolewa uCHADEMA. Ni kutokubaliana na ukweli hata mnapouona machoni.

Kuna kada mwenzenu alisema M4C ni njama tu za kuhujumu nchi isitawalike na kweli mmeshirikiana na polisi katika mauaji huko Morogoro na Iringa, licha ya kutokuwepo ulazima wa vurugu hizo.

Kama mikakati ya CDM ni kupambana na dola basi tuendelee kutegemea vurugu tu nchini ili CDM ichukue nchi kwa kumwaga damu za waTanzania wasio na hatia.

Na huo ndio naita "ukombozi" wa kijinga.

Sera zenu za kilimo ziko wapi
Sera zenu za biashara ziko wapi
Sera zenu za kuondoa uasikini ziko wapi
Sera zenu za kuboresha miundombinu ziko wapi
Sera za viwanda,uchumi, nishati, ardhi.......vyote vipo wapi?

Ati mnsubiri kumkomboa mtanzania?....... Au mna subiri kukomboa matumbo yenu?

Halafu mtu na "akili" kama hapo juu anafikiri mustakabali wa watanzania unaanza na kuishia na Polisi, TISS au TPDF ?

What shallow thinking!

Posti ya hapo juu na ni watu wajinga wajinga tu wataisapoti, wengi tuna jua kuwa CDM is hollow!

Ni kweli naungana na wewe, CDM wanapingana na ufisadi kweli ufisadi ni mbaya kwa maendeleo ya nchi ila wao hawafafanui hizo rasilimali vipi watazitumia wao ni kukosoa kwenda mbele tunataka sera vipi wananchi watanufaika na utajiri tulonao
 
Tatizo lenu nyie mliolewa uCHADEMA. Ni kutokubaliana na ukweli hata mnapouona machoni.

Kuna kada mwenzenu alisema M4C ni njama tu za kuhujumu nchi isitawalike na kweli mmeshirikiana na polisi katika mauaji huko Morogoro na Iringa, licha ya kutokuwepo ulazima wa vurugu hizo.

Kama mikakati ya CDM ni kupambana na dola basi tuendelee kutegemea vurugu tu nchini ili CDM ichukue nchi kwa kumwaga damu za waTanzania wasio na hatia.

Na huo ndio naita "ukombozi" wa kijinga.

Sera zenu za kilimo ziko wapi
Sera zenu za biashara ziko wapi
Sera zenu za kuondoa uasikini ziko wapi
Sera zenu za kuboresha miundombinu ziko wapi
Sera za viwanda,uchumi, nishati, ardhi.......vyote vipo wapi?

Ati mnsubiri kumkomboa mtanzania?....... Au mna subiri kukomboa matumbo yenu?

Halafu mtu na "akili" kama hapo juu anafikiri mustakabali wa watanzania unaanza na kuishia na Polisi, TISS au TPDF ?

What shallow thinking!

Posti ya hapo juu na ni watu wajinga wajinga tu wataisapoti, wengi tuna jua kuwa CDM is hollow!
masopakyindi Jionee mauaji ya Mwangosi:

 
Last edited by a moderator:
masopakyindi Jionee mauaji ya Mwangosi:
Mbona huelezei kuhusika kwa CDM makao makuu na mauaji haya katika mhadhara ambao hata kada wa CDM Bw Nyombi alisema haukuwa na ulazima kufanyika.CDM haielezi jinsi huyo Mwangosi alivyorubuniwa kuwa pale na mauaji yke kufanyika.Mtaendelea kuwa kondoo wa kafara hadi lini kwa ajili ya matkwa ya kiiasa ya watu fulani ndani ya CDM?
 
Last edited by a moderator:
Mimi nadhani umehamaki bure kabisa, nimepitia sehemu zote sijaona cha maana zaidi ya ushabiki uliuandika.CDM haitawali nchi na hizo ulizoomba sera mbona walishazisemea 2010 na kuwaita waongo lakini baadae mnaiga na kutekeleza. Mfano elimu bure Lowasa keshakiri inawezekana, Kinana akakiri upo uwezekano wa kushusha gharama za material ya ujenzi na kufanya ujenzi uwe rahisi angalau kupunguza nyumba za tembe.Sipendi siasa lakini kwa hili nahisi Bado Kidogo 2015 amkubana, ungetakiwa kumjibu na siyo kubwatuka, naona wanaCCM mna akili zinazofana sana maana hata leo Mwigulu Nchemba ametoa hoja zinazofanana na hizi na hivyo kupata shaka uelewa wenu na jinsi mnavyojipanga na hoja zenu ni kama mnakurupushwa!!!CDM inawezaje kupanga njama za mauaji na Polisi na kisha Polisi wakatii amri ya CDM. Kwa lugha nyingine ni kulidharililisha Jeshi la Polisi kuwa lilitaka kuasi kwa kutekeleza maelekezo ya CDM ili nchi isitawalike!!!!Niliposoma post yako ime reflect uelewa wako ulivyo chini.Tujifunze kujipanga kwa hoja zenye mashiko.
Mzee, uwezo wako wa kuchambua mambo uko na walakin mkubwa.Unaongelea leo 2012 masuala Ya 2010 na sera ambazo hata wewe mwenyewe huzijui?Na hebu niambie M4C hasa matarajio yke ni nini katika kueneza itikadi ya CDM, sana sana tulichokiona ni mauji ya Morogoro na Iringa, mauaji ambayo yamechochewa na CDM katika kile inachoamini ni uwezo wake kupambana na vyombo vya dola.Na hapo hebu nipe watanzania wamefaidika vipi zaidi ya ushiriki wa CDM katika mauaji hayo!
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana in accordance to your definition, wenye akili ni wale wanaosapoti UTUMBO unaouamini! Haiihitajiki kuwa hata na certificate kujua weakness na failure ya hicho CHAMA CHAKO WEWE CHA WENYE AKILI, what surprise me you are the only one left the other side of the bridge. Hata watoto wadogo wanajua chama chako ni wabangaizaji, they dont know even where they are heading, yet unatukana watu hapa mtandaoni! What do u want to tell us? To be a ccm follower means a great thinker? Nadhani ni afadhali wanaopigania matumbo yao kuliko wanaofikiri kwa matumbo yao. After all you are right .. we are fighting for our stomach to have something, kwasababu chama chako kimeshindwa kutulisha!

Another shallow thinker!This post does not merit any meaningful response.

Nina wasi wasi kama unaelewa hata unachokiongelea!
 
Soma haki za vyama vya siasa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa 1992 Ibara ya 11.

Note kuwa kufanya mikutano na maandamano ni haki ya vyama kwa mujibu wa sheria hii. (Angalia maandishi mekundu)

Sheria haidai vyama viombe ruhusa kwa polisi bali vitaarifu jeshi la polisi kwa ajili ya kupewa ulinzi.

Jeshi la polisi linapozuia, ni kutokana na amri ya watawala, jambo ambalo ni ubabe tu kinyume cha sheria na tayari Kikwete alishawaambia wasiendelee kubebwa.

Anayeua anajulikana, ndio maana kesi iliyofunguliwa mauaji ya Mwangosi wewe mwenyewe unamjua mshtakiwa. Ni askari polisi, ingawa wamemwonea mdogo, RPC na OCD walipaswa kuwa ndani.

Unataka kutwambia kuwa serikali ni dhaifu kiasi inashindwa kukamata wauaji?

Uwe mkweli japo unaipenda CCM.

Mkuu naona umekomalia HAKI ya kwako kuandamana na si WAJIBU wako kwa mwananchi wa kawaida.

Kama utashindwa kuelewa tofauti kati ya hayo mambo mawili basi wala hufai kuwa mwanachama wa chama chochote.
 
Yaelekea nawe ni mpanga mipango na ndiyo maana povu linakutoka kuficha ukweli, pole sana. Kama Chadema walipanga na polisi mauaji ya Morogoro na Iringa kwanini washinikize hatua zichukuliwe dhidi polisi waliohusika? Kwanini isiwe serikali na rais wa chama tawala ambao pamoja na kushinikizwa wamegoma kuwachukulia hatua wahusika?
Uamuzi wa kuwatumikia wananchi kama chama cha kisiasa kwa CDM ni wa wana CDM wenyewe.

Mkiamua kuwa sparring partners wa polisi ruksa!
 
Mkuu naona umekomalia HAKI ya kwako kuandamana na si WAJIBU wako kwa mwananchi wa kawaida.

Kama utashindwa kuelewa tofauti kati ya hayo mambo mawili basi wala hufai kuwa mwanachama wa chama chochote.
Kwani unadhani mabilioni ya EPA yaliyorudishwa ni sababu ya nini kama si kutimiza wajibu wa kusimamia utumiaji mzuri wa rasilimali za serikali?

Kwani mabadiliko ya uongozi TBS na kwenye uwaziri wa Viwanda na biashara ni kwa ajili ya nini kama si kwa CDM kutimiza wajibu wake wa kuangalia mwenendo mzuri wa utumishi wa serikali?

Kuna wajibu wa uwakilishi unaotetea maslahi ya mtu wa kawaida bungeni, huo watu wanaona.


Yapo mengi tu, ila macho yako hayako tayari kuona.
 
Back
Top Bottom