Vita vya kugombania jimbo la Bumbuli yaiva....

MtazamoWangu

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
313
7
Katika majimbo ambayo tayari moto umeanza kuwaka kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010 nafasi ya ubunge ni jimbo la bumbuli....

Wiki magazeti mengi yamekuwa yakiongelea kuhusu mzee shelukindo...jana gazeti la rai liliandika wa bumbuli wamemuambia mhe.shelukindo basi...leo kuna gazeti la mkakati..lina habari kama hiyo..linasema, mhe. Aitwa aagwe....kazi ipo..lakini magazeti yote yamekuwa yanaelekea sehemu moja tu...kumchafua mzee shelukindo, sijajua kama kuna mkono wa wakubwa juu ya hili lakini kuna ajenda juu ya hili....
Mpaka sasa wamejitokeza vijana wawili wanaotaka kuchuana na mzee shelukindo jimboni hapo;
1. January makamba: Wengi tunamjua na wasifu wake, na ndie anayepewa nafasi kubwa ya kuchuana na mzee shelukindo..
2. Abdulkadir mgheni kaniki: Wengi hatumjui lakini nae ameonyesha upinzani mkali

wapo wanaosema january ndio chaguo la wana bumbuli lakini pia vita yake na mzee shelukindo imefikia hatua ambayo wameamua kuchafuana....wakati ambapo abdulkadir anaonekana kuwa neutral....wengi wamemsifia.....hata sisi huku dodoma tuliwaalika bwana january na abdulkadir kwenye kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu wanaotoka mkoa wa tanga ili tuwafahamu lakni alitokea abdulkadir na january alituma mwakilishi, lakni tulipata nafasi ya kumfahamu abdulkadir, wengi walivutiwa na wasfu wake na kwa kuzingatia ni kijana mdogo sana,kama nakumbuka ana umri wa miaka30. Tulimuomba atutumie cv yake....na hata baada ya kuongea nae tulijaribu kupiga simu jimboni na wengi walisema safari hiini vijana tuuu.
Ni kweli mzee shelukindo hakubalik tena na sisi kam vijana tumeamua kuwaunga vijana wenzetu mkono kwa namna zote.

Hata mzee shelukind mwenyewe ameshaoyesha dalili za kukata tamaa na ameelewa nini wananchi wanatakka mana hata vikao vyake vingi anakumbana na upinzani mkali pengine hata kuzomewa.....

Juzi mzee shelukindo amelalamikia baadhi ya wagombea kuanza kampeni kuanza kampeni kabla ya wakati....

Kazi ipo...
 
Kazi ipo sana na pia mimi naona hii ya mpya JF ni mambo magumu kutokana na yale mazoea na kuzoea yale ya zamani kabisa
 
Ushauri wa bure kwa wazee - ng'atukeni kwa heshima na si fedheha. Mmeshawatumikia wananchi vya kutosha waachieni na wengine hususan vijana nao wachukue nafasi waweze kudhihirisha uwezo wao katika uongozi. Mbona ninyi mliweza kupewa fursa ya uongozi mkiwa bado vijana?
 
Katika majimbo ambayo tayari moto umeanza kuwaka kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010 nafasi ya ubunge ni jimbo la bumbuli....

Wiki magazeti mengi yamekuwa yakiongelea kuhusu mzee shelukindo...jana gazeti la rai liliandika wa bumbuli wamemuambia mhe.shelukindo basi...leo kuna gazeti la mkakati..lina habari kama hiyo..linasema, mhe. Aitwa aagwe....kazi ipo..lakini magazeti yote yamekuwa yanaelekea sehemu moja tu...kumchafua mzee shelukindo, sijajua kama kuna mkono wa wakubwa juu ya hili lakini kuna ajenda juu ya hili....
Mpaka sasa wamejitokeza vijana wawili wanaotaka kuchuana na mzee shelukindo jimboni hapo;
1. January makamba: Wengi tunamjua na wasifu wake, na ndie anayepewa nafasi kubwa ya kuchuana na mzee shelukindo..
2. Abdulkadir mgheni kaniki: Wengi hatumjui lakini nae ameonyesha upinzani mkali

wapo wanaosema january ndio chaguo la wana bumbuli lakini pia vita yake na mzee shelukindo imefikia hatua ambayo wameamua kuchafuana....wakati ambapo abdulkadir anaonekana kuwa neutral....wengi wamemsifia.....hata sisi huku dodoma tuliwaalika bwana january na abdulkadir kwenye kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu wanaotoka mkoa wa tanga ili tuwafahamu lakni alitokea abdulkadir na january alituma mwakilishi, lakni tulipata nafasi ya kumfahamu abdulkadir, wengi walivutiwa na wasfu wake na kwa kuzingatia ni kijana mdogo sana,kama nakumbuka ana umri wa miaka30. Tulimuomba atutumie cv yake....na hata baada ya kuongea nae tulijaribu kupiga simu jimboni na wengi walisema safari hiini vijana tuuu.
Ni kweli mzee shelukindo hakubalik tena na sisi kam vijana tumeamua kuwaunga vijana wenzetu mkono kwa namna zote.

Hata mzee shelukind mwenyewe ameshaoyesha dalili za kukata tamaa na ameelewa nini wananchi wanatakka mana hata vikao vyake vingi anakumbana na upinzani mkali pengine hata kuzomewa.....

Juzi mzee shelukindo amelalamikia baadhi ya wagombea kuanza kampeni kuanza kampeni kabla ya wakati....

Kazi ipo...

Binafsi simfahamu Kaniki, lakini I would not pick January Makamba for the post. Kwa namna Januari na Salva wanavyomuingiza mjini JK, nisingeshauri apewe ubunge kwa sababu kuna uwezekano mkubwa akapewa uwaziri, na matokeo yake yakashangaza ulimwengu. Kuingizwa mjini kwa JK kwa mambo mengi kunatokana na ushauri mbovu wa Salva na Januari, nadhani mengi sana yemeandikwa hapa JF, sina haja ya kuyarejea! Januari hafai!
 
Abdul ni kijana makini na anafaaa....mkimpoteza huyu kijana sijui kama atapatikana kama huyo. January hafai na ana kiburi cha kujiona mkubwa kabla kwa vile yuko karibu na Rais
 
Wanagombea kupitia vyama au binafsi? Kama ni kupitia chama, ni vyama gani hao?
 
Nasikia huyo Januari ndo mwandishi wa hopeless speech za mkuu wetu! Kama ni hivyobasi let us say he is no useful in politics. Politics ni mpangilio wa maneno na siyo eti ni mtoto wa Makamba.
 
Januari did something funny.. ALimuandikia JK speech alafu akamquote Nixon... mtu ambae alikuwa shamed kama Rais,alichafua heshma ya Oval Office alafu eti mnaquote as moral authority kama vile yeye ni Gandhi.. a total disaster.. I thought that was a bad choice on his part.
 
habari nilizozipata kutoka jimboni Bumbuli ni kwamba kijana Abdul ameshapewa baraka zote na wazee na wamemuahidi watamtangaza na kuhakikisha anapita katika kura za maoni, wengi wamemuona ni hazina kwa taifa kwa sasa kwa kuwa ameonekana hana makundi na hata busara zake zimeonekana katika kuongea na watu, watu wengi walishangaa hapa dodoma kama mtu anayeongea ni kijana wa miaka 30, so humble.
hata viongozi wengi wa CCM jimboni wameonyesha kuvutiwa nae, kikubwa kinachowavutia watu ni kule yeye kuonekana na dhamira thabiti na safi ya kusaidia bila kutumwa na mtu, ni uamuzi wake mwenyewe kuingia katika kinyang'anyiro tofauti na January kuonyesha wazi kwamba ametumwa kwa nia tu ya kumuondoa Mzee shelukindo, wananchi wanajiuliza je akifanikiwa kumuondoa mzee shelukindo? si atakuwa amemaliza kazi yake?
viongozi wa ndani waliokaribu na mzee shelukindo wamesema mzee pia amevutiwa na kijana Abdul, anamsifia sana na anamuunga mkono, na kuna wanaosema huenda mzee akaamua amuunge mkono Abdul maana hata wafuasi wake wengi wameamua kumuunga mkono Kijana, inasemekana wapiganaji wengi wa mzee shelukindo ambao ndio waliomsaidia kumshinda Mzee Mkamba wakati akigombea Ubunge sasa wako upande wa kijana Abdul.
Pamoja na mzee makamba kutumia nguvu za ziada lakini bado anakabiriwa na kazi kubwa sana kwani wananchi wa bumbuli wanamuona ni mtu ambaye hakuwa na msaada kwao toka zamani....
 
Back
Top Bottom