Vita Kuu ya Dunia inanukia!

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Ukisoma kwa makini kitabu cha Daniel na Ezekia katika agano la kale utagundua utabiri wao ulilenga nyakati tulizo nazo,vitabu hivi vinatabiri vita ya tatu ya Dunia itaanzishwa na Mfalme wa kusini (Israel)
Mfalme wa Kusini atashambulia mfalme wa kaskazini (Iran)au kwa jina lingine Persian empire ndipo hapo vita kuu ya kuingamiza dunia itakapo anza rasmi
najiuliza kama kuna connection kati ya vita tunayosubiri ya Israel na Iran juu ya utabiri huu,nafikiri kuna haja ya kujadili madhara yatakayoletwa na vita hii hasa ukizingatia sisi waafrica tupo tunahangaika zaidi na kupambana na hali ngumu ya maisha na ukosefu wa viongozi bora wakati wenzetu wanajiandaa na madhara ya vita
Waafrica mara nyingi tumekuwa watu kudharauliwa zaidi na ushahidi ni pale Marekani alipotuonya juu ya Uchina kuja kututawala tena
kama una point za kusaidia kuelewa zaidi madhara ya hii vita tunaomba share na sisi ili ikiwezekana tujiandae mapema
 
Ukisoma kwa makini kitabu cha Daniel na Ezekia katika agano la kale utagundua utabiri wao ulilenga nyakati tulizo nazo,vitabu hivi vinatabiri vita ya tatu ya Dunia itaanzishwa na Mfalme wa kusini (Israel)
Mfalme wa Kusini atashambulia mfalme wa kaskazini (Iran)au kwa jina lingine Persian empire ndipo hapo vita kuu ya kuingamiza dunia itakapo anza rasmi
najiuliza kama kuna connection kati ya vita tunayosubiri ya Israel na Iran juu ya utabiri huu,nafikiri kuna haja ya kujadili madhara yatakayoletwa na vita hii hasa ukizingatia sisi waafrica tupo tunahangaika zaidi na kupambana na hali ngumu ya maisha na ukosefu wa viongozi bora wakati wenzetu wanajiandaa na madhara ya vita
Waafrica mara nyingi tumekuwa watu kudharauliwa zaidi na ushahidi ni pale Marekani alipotuonya juu ya Uchina kuja kututawala tena
kama una point za kusaidia kuelewa zaidi madhara ya hii vita tunaomba share na sisi ili ikiwezekana tujiandae mapema

Sijui ulisoma jiografia wewe? Kasakazini na kusini unazielewaje?

menewzz.gif
 
Sijui ulisoma jiografia wewe? Kasakazini na kusini unazielewaje?

menewzz.gif

Naomba tueleweshe juu ya hii ramani na utabiri uliowekwa kwenye kitabu cha daniel kama vinafanana??Je Biblia inaposema kaskazini au kusini inamaanisha upande gani?
 
Naomba tueleweshe juu ya hii ramani na utabiri uliowekwa kwenye kitabu cha daniel kama vinafanana??Je Biblia inaposema kaskazini au kusini inamaanisha upande gani?

Exactly ndio ninachokuuliza weye........hapo kwenye ramani Iran iko kasakazini ya Israel au Mashariki? Na wakati Biblia inaandikwa Iran na Israel kama nchi zilikuwepo?
 
Exactly ndio ninachokuuliza weye........hapo kwenye ramani Iran iko kasakazini ya Israel au Mashariki? Na wakati Biblia inaandikwa Iran na Israel kama nchi zilikuwepo?

wakati Biblia inaandikwa hizi nchi zilikuwepo labda majina yake yalikuwa tofauti,lakini hapa naona Iran ipo kaskazini mashariki mwa israel na isarel ipo kusini magharibi
 
Ukisoma kwa makini kitabu cha Daniel na Ezekia katika agano la kale utagundua utabiri wao ulilenga nyakati tulizo nazo,vitabu hivi vinatabiri vita ya tatu ya Dunia itaanzishwa na Mfalme wa kusini (Israel)
Mfalme wa Kusini atashambulia mfalme wa kaskazini (Iran)au kwa jina lingine Persian empire ndipo hapo vita kuu ya kuingamiza dunia itakapo anza rasmi
najiuliza kama kuna connection kati ya vita tunayosubiri ya Israel na Iran juu ya utabiri huu,nafikiri kuna haja ya kujadili madhara yatakayoletwa na vita hii hasa ukizingatia sisi waafrica tupo tunahangaika zaidi na kupambana na hali ngumu ya maisha na ukosefu wa viongozi bora wakati wenzetu wanajiandaa na madhara ya vita
Waafrica mara nyingi tumekuwa watu kudharauliwa zaidi na ushahidi ni pale Marekani alipotuonya juu ya Uchina kuja kututawala tena
kama una point za kusaidia kuelewa zaidi madhara ya hii vita tunaomba share na sisi ili ikiwezekana tujiandae mapema

Hapo pekundu......tunadharauliwa kwa sababu tunadesa....kila kitu madarasani...au wenzetu wanafanya nini tuna copy tu...
 
Israel hapo ndio Philistine na Iran ni Perea au Persian

Are you sure that Philistine is Israel and Perea is Persia or you are just guessing?

The Philistines , Pleshet or Peleset, were a people who as part of the Sea peoples appeared in the southern coastal area of Canaan at the beginning of the Iron Age (circa 1175 BC), most probably from the Aegean region. According to the Bible, they ruled the five city-states (the "Philistine Pentapolis") of Gaza, Askelon, Ashdod, Ekron and Gath, from the Wadi Gaza in the south to the Yarqon River in the north, but with no fixed border to the east.The Bible paints them as the Kingdom of Israel's most dangerous enemy.

Perea (Holy Land), a region of Ancient Israel east of the Jordan river
 
Are you sure that Philistine is Israel and Perea is Persia or you are just guessing?

The Philistines , Pleshet or Peleset, were a people who as part of the Sea peoples appeared in the southern coastal area of Canaan at the beginning of the Iron Age (circa 1175 BC), most probably from the Aegean region. According to the Bible, they ruled the five city-states (the "Philistine Pentapolis") of Gaza, Askelon, Ashdod, Ekron and Gath, from the Wadi Gaza in the south to the Yarqon River in the north, but with no fixed border to the east.The Bible paints them as the Kingdom of Israel's most dangerous enemy.

Perea (Holy Land), a region of Ancient Israel east of the Jordan river

Kumbuka kuna nchi inaitwa Palestine??huoni kama majina yanafanana na lazima kutakuwa na uhusiano wa karibu,Israel walipotoka Misri waliingia nchi ile ya Philistine na Mungu aliwaambia ndio nchi niliyowapa kwa sababu ilikuwa ni nchi ya baba zenu Ibrahim na Yakobo,kuna uhusiano wa karibu sana ndio maana Israel walirudi tena mara baada ya vita kuu ya pili ya dunia na ku settle pale,kuna uhusiano wa karibu sana lakini vilevile unaweza kunisahihisha kwenye hilo
 
Kumbuka kuna nchi inaitwa Palestine??huoni kama majina yanafanana na lazima kutakuwa na uhusiano wa karibu,Israel walipotoka Misri waliingia nchi ile ya Philistine na Mungu aliwaambia ndio nchi niliyowapa kwa sababu ilikuwa ni nchi ya baba zenu Ibrahim na Yakobo,kuna uhusiano wa karibu sana ndio maana Israel walirudi tena mara baada ya vita kuu ya pili ya dunia na ku settle pale,kuna uhusiano wa karibu sana lakini vilevile unaweza kunisahihisha kwenye hilo

The Bible paints them as the Kingdom of Israel's most dangerous enemy.

Hawa ndio WAFILISTI kwa taarifa yako....ndugu wa DELILA yule mke wa SAMSONI.....na walikuwa hawatahiriwi sasa watakuwaje WAISRAELI?

Unexpectedly, the Philistines first appear in the Table of Nations in Genesis 10:13-14: "Mizraim [a son of Ham] begot Ludim, Anamim, Lehabim, Naphtuhim, Pathrusim, and Casluhim (from whom came the Philistines [Philistim, KJV] and Caphtorim)."1 Mizraim is the Hebrew word that is commonly translated as "Egypt," thus the Philistines are ethnically related to the Egyptians.


However, note that the Casluhim are divided into the Philistines and Caphtorim (in fact, the Philistines are frequently identified with Caphtor, the Hebrew name for at least the island of Crete and perhaps for the whole Aegean region; see Amos 9:7; Jeremiah 47:4). This indicates that their origins lie in the area of Crete, western Asia Minor, and the Aegean Sea, and modern archeology bears this out. For instance, Philistine pottery resembles that of the Minoan and Mycenaean (Homeric Greek) civilizations to the point that a material connection is beyond question. Other substantial links to the area include early Greek weapons, armor, dress, burial methods, military tactics, government, religion, etc.


How did these Aegean people end up settling in southwestern Canaan? The story is a long one, beginning in the days of Abraham. Being a restless, warlike, trading people, the Philistines frequently attempted to expand their influence, first through setting up trading colonies in distant lands and then by force of arms, if necessary. Genesis 21:34 records, "Abraham sojourned in the land of the Philistines many days," referring to the area around the town of Gerar, where Abimelech2 was king (see Genesis 20). This means that by the early nineteenth century bc, at least a small colony of Philistines had already gained a foothold in the land of Canaan.


After Isaac's similar experience with them, they are next mentioned in passing in Exodus 13:17:


Then it came to pass, when Pharaoh had let the people go, that God did not lead them by way of the land of the Philistines, although that was near; for God said, "Lest perhaps the people change their minds when they see war, and return to Egypt."


The "way of the land of the Philistines" describes a small portion of the route later known as the Via Maris, "the Way of the Sea." This coastal road connected the Nile Delta region with Canaan, Syria, and beyond that to Mesopotamia. Although the naming of this portion of the road after the Philistines may be a slight anachronism (perhaps a later emendation), Philistines already lived along its southern course in Canaan.


However, more significant is the Philistines' connection with war. Evidently, the people who lived along that road were a hostile group, easily provoked into armed conflict, and at the time of the Exodus, on a war footing. The fledgling nation of Israel, God knew, was not yet prepared to fight any people as aggressive as the Philistines, no matter what their numbers were at the time.


Nevertheless, this passing mention in Exodus 13 alludes to the fact that the Philistine presence in southern Canaan had not remained static. From a trading outpost in Gerar, they had expanded in the intervening four centuries to control a large area. Perhaps they were not the most populous of the ethnic groups there, but they were certainly the dominant one. It is thought that their numbers were steadily increased by new colonists from their homeland in the Aegean. In addition, it seems to have been a conscious policy to assimilate to a large degree with the native population, which would include intermarriage3 and adoption of local deities. In this way a minority people could quickly rise to prominence.






Read more: Who Were the Philistines?
 
Then it came to pass, when Pharaoh had let the people go, that God did not lead them by way of the land of the Philistines, although that was near; for God said, "Lest perhaps the people change their minds when they see war, and return to Egypt."

ina maana hiyo ndiyo Israel ya leo?
 
Back
Top Bottom