SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Natumaini wengi wenu mtakuwa mmegundua hali ambayo si nzuri katika biashara ya ushindani kati ya maji yenye chapa ya KILIMANJARO na maji kama UHAI na mengineyo.
Hali iliyopo ni kuwa katika sehemu nyingi hapa Dar Es Salaam kama vile Baa maarufu mbalimbali, Kumbi za Starehe, Club za Usiku, Mahoteli, Migahawa mbalimbali pamoja na mikutano na semina mbalimbali utakuta sehemu zote hizi maji yanayouzwa ni ya KILIMANJARO. Binafsi nimeishazuiwa kuingia na maji ya UHAI katika baadhi ya sehemu hizi kwa kuambiwa kuwa maji hayo hayaruhisiwi kwa maelezo kuwa maji yanayoruhusiwa ni ya KILIMANJARO tu? Je hii ni haki? na Je FAIR COMPETITION COMMISSION wanalijua hili? na kama wanalijua hili tatizo, je ni hatua gani wamechukua ili kuleta usawa katika ushindani wa biashara hii ya maji ya kunywa?
Hali iliyopo ni kuwa katika sehemu nyingi hapa Dar Es Salaam kama vile Baa maarufu mbalimbali, Kumbi za Starehe, Club za Usiku, Mahoteli, Migahawa mbalimbali pamoja na mikutano na semina mbalimbali utakuta sehemu zote hizi maji yanayouzwa ni ya KILIMANJARO. Binafsi nimeishazuiwa kuingia na maji ya UHAI katika baadhi ya sehemu hizi kwa kuambiwa kuwa maji hayo hayaruhisiwi kwa maelezo kuwa maji yanayoruhusiwa ni ya KILIMANJARO tu? Je hii ni haki? na Je FAIR COMPETITION COMMISSION wanalijua hili? na kama wanalijua hili tatizo, je ni hatua gani wamechukua ili kuleta usawa katika ushindani wa biashara hii ya maji ya kunywa?