G.MWAKASEGE
Senior Member
- Jun 29, 2007
- 153
- 15
Unajua kama ni mwanafunzi huwa wanashauliwa"answer what you are required by the question but not everything that you know which will automatically be nonsense"
Issue apa ni masuala mazito ya kitaifa ambayo Slaa amaeyaraise sasa kumcrash kwa kutumia private affairs zake ni kushiwa kifikra na hoja as well.
Nina wasiwasi na iyo mail isije ikawa imepandikizwa!!!!!!!!!!!???????.
Issue apa ni masuala mazito ya kitaifa ambayo Slaa amaeyaraise sasa kumcrash kwa kutumia private affairs zake ni kushiwa kifikra na hoja as well.
Nina wasiwasi na iyo mail isije ikawa imepandikizwa!!!!!!!!!!!???????.