Visa na vioja makazini

Didododi

JF-Expert Member
Jul 21, 2023
321
426
Habari wanajukwaa,

Leo tugusie kidogo visa na vioja makazini. Kama mnavyojua kazini ni sehemu ya kutafutia riziki na wahenga walisema penye riziki hapakosi fitina Vimekuwa vikishuhudiwa visa na vioja mbalimbali makazini ikiwa ni pamoja na baadhi yawafanyakazi kujipendekeza kwa bosi na kumpelekea taarifa za kuwachongea wengine.

Baadhi ya maboss kutaka mahusiano ya kimapenzi na wafanyakazi, ndumba, kuwekeana uzibe nk. Hii inaathiri ufanisi kwa ujumla #Katika eneo lako la kutafutia riziki (au hata kutokana na uzoefu) visa na vioja gani hurindima kiasi cha kuwa kero na hata kupunguza ufanisi? Tupia hapo tujifunze na kujirekebisha👇
 
Ukabila bhana. Kuna kampuni kubwa tu nilifanyaga kazi baada ya mwaka nikaja kugundua karibu ofisi nzima ni ndugu tena wa karibu tu wengine niliwajua mapemaa kutokana na majina ya ukoo kufanana.

Basi bhana upendeleo ukawa nje nje hadi kero na wenine kujihisi inferior,
Ila changamoto sasa wakawa wanabweteka sana kwa kujua wana backup, mm nikatumia fursa hii kupiga kazi sana hadi wakanikubali na kunipa best employee kabsa then nikasepa walivyokataa kuongeza mchele.

Unaambiwa kila mtu kaletwa pale😌
 
Ukabila bhana
Kuna kampuni kubwa tu nilifanyaga kazi baada ya mwaka nikaja kugundua karibu ofisi nzima ni ndugu tena wa karibu tu wengine niliwajua mapemaa kutokana na majina ya ukoo kufanana.
Basi bhana upendeleo ukawa nje nje hadi kero na wenine kujihisi inferior,
Ila changamoto sasa wakawa wanabweteka sana kwa kujua wana backup, mm nikatumia fursa hii kupiga kazi sana hadi wakanikubali na kunipa best employee kabsa then nikasepa walivyokataa kuongeza mchele

Unaambiwa kila mtu kaletwa pale😌
😂✋
 
Ukabila bhana
Kuna kampuni kubwa tu nilifanyaga kazi baada ya mwaka nikaja kugundua karibu ofisi nzima ni ndugu tena wa karibu tu wengine niliwajua mapemaa kutokana na majina ya ukoo kufanana.
Basi bhana upendeleo ukawa nje nje hadi kero na wenine kujihisi inferior,
Ila changamoto sasa wakawa wanabweteka sana kwa kujua wana backup, mm nikatumia fursa hii kupiga kazi sana hadi wakanikubali na kunipa best employee kabsa then nikasepa walivyokataa kuongeza mchele

Unaambiwa kila mtu kaletwa pale😌
Una akili dogo, utafika mbali
 
Enzi hizo nipo kijana kampuni flani kubwa tu nchini Dasalaam ilikuwa ni full kuwania watoto wa field.
Sasa ile paap likaja kontena la watoto wa field miongoni mwao kulikuwa na kamnzi kakali kakimbulu aise kumbe ile pisi tulikuwa tunafukuzia karibia vijana wote wa pale ofisini.
 
Tulimwagia utelez wa yai HR kwenye pahala pake baada ya kumuwekea kisungura ktk bia wakat wa hafla ya mwisho wa mwaka alaf akatumiwa picha surual yake ikiwa magotin pembezon mwa sinki la choo huku kukiwa na ujumbe "ole wake aache kazi"


Jamaa alikazimika kuwa mpole ukali ulimwisha
 
Back
Top Bottom