Huu umekuwa ndio ulevi mpya, asilimia kubwa ya watu wa kawaida wakiwemo boda boda siku hizi wanatumia ulevi huu wa kuchanganya soda aina ya coca cola au pepsi na viroba vya konyagi au valuer, naomba kujua kitaalamu kuna faida au madhara gani?
na mimini miongoni mwao, si uwongo, mifupa inasagika tu humo, sbb any coce ina nicotine, ukitaka kujua jaribu kuweka konyagi na kisoda kwenye chupa yenye pepsi halafu kaa 24 hrs uone.......
Huu umekuwa ndio ulevi mpya, asilimia kubwa ya watu wa kawaida wakiwemo boda boda siku hizi wanatumia ulevi huu wa kuchanganya soda aina ya coca cola au pepsi na viroba vya konyagi au valuer, naomba kujua kitaalamu kuna faida au madhara gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.