tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Kila ninayekutana naye na nikamwambia nichosomea, ananiuliza "umeamua kuwa mwizi"? Hii ni kutokana na fani yangu kuhusika na "manunuzi na ugavi",, hivi ni kweli katika fani hii wizi haukwepeki? Mwenye uzoefu naomba anijuze.