Ki-bongo-bongo nadhani hii issue inaweza kuwa ngumu kidogo maana kukiwa na tetesi kwamba wajeda wanataka kutingisha kidogo basi ujue hata ofisi za mawaziri siku hiyo zitahamishiwa makambini kwenda kupiga magoti. WAJEDAAA...! mko wapi? Kwani sukari wenzetu bado bei poa eee...? Bia je..!?huwa hawagomi..., wanapindua serikali