Kaka hapa kuna habari za kusua sua hazina uhakika kabisaaaaaaaaaaa.
Kuna mmoja aliniambia walishaita zamani na wanapiga mzigo,
Mwingine akasema bado hawajaita kwani wanasubilia fungu toka............., sasa sijui nani mkweli????
Mwenye habari za uhakika hapa tunaomba atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.