Watu wasiojulikana wamesambaza vipeperushi wakitaka kuiitishwe kura ya maoni ya kuvunja mfumo wa serikali ya Umoja wa Kitaifa iliyoasisiwa Novemba 2010.
Vipeperushi hivyo vyenye kichwa cha habari Tamko la watu wa Waunguja kwa Wawakilishi wote wa CCM kutoka majimbo yote ya Unguja vimekuwa vikisabazwa katika maeneo ya mikusanyiko na baadhi ya wananchi kupenyezewa katika milango yao.
Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) imeshindwa kudumisha na kulinda amani na umoja wa kitafia wa wananchi wa Zanzibar, sehemu ya vipeperushi vimeleeza.
Vipeperushi hivyo vimetoa mapendekezo matatu wakitaka serikali kuangalia upya mabadiliko ya 10 ambayo yanaruhusu kuudwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Wametaka viongozi dhamana waliopewa majukumu ya kusimamia sheria wafukuzwe akiwemo Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar kutokana na vurugu zinazofanywa na kikundi cha Uamsho kila mara Visiwani humo.
Kwa muono wangu wakujiuzulu kwanza bora wangesema Emanuel Nchimbi mana yeye ndie mwenye Dhamana ya Kulinda Raia na wala sie Waziri wa Katiba na Sheria-Zanzibar. Ila yote haya wanaofanya ni Usalama wa Taifa.
Vipeperushi hivyo vyenye kichwa cha habari Tamko la watu wa Waunguja kwa Wawakilishi wote wa CCM kutoka majimbo yote ya Unguja vimekuwa vikisabazwa katika maeneo ya mikusanyiko na baadhi ya wananchi kupenyezewa katika milango yao.
Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) imeshindwa kudumisha na kulinda amani na umoja wa kitafia wa wananchi wa Zanzibar, sehemu ya vipeperushi vimeleeza.
Vipeperushi hivyo vimetoa mapendekezo matatu wakitaka serikali kuangalia upya mabadiliko ya 10 ambayo yanaruhusu kuudwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Wametaka viongozi dhamana waliopewa majukumu ya kusimamia sheria wafukuzwe akiwemo Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar kutokana na vurugu zinazofanywa na kikundi cha Uamsho kila mara Visiwani humo.
Kwa muono wangu wakujiuzulu kwanza bora wangesema Emanuel Nchimbi mana yeye ndie mwenye Dhamana ya Kulinda Raia na wala sie Waziri wa Katiba na Sheria-Zanzibar. Ila yote haya wanaofanya ni Usalama wa Taifa.